maonomakuu
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 2,516
- 1,198
Unajua ingekuwa vizuri viongozi wakubwa wote CV zao zinatakiwa ziwekwe hadharani kama bunge linavyofanya.Sina ubaguzi wala sitakuwa nao.Ili iweje?
Ni ubaguzi au?
Unajua ingekuwa vizuri viongozi wakubwa wote CV zao zinatakiwa ziwekwe hadharani kama bunge linavyofanya.Sina ubaguzi wala sitakuwa nao.Ili iweje?
Ni ubaguzi au?
Faiza this time lazima ulambe ukuu wa wilaya ...hapa hapa jijini ...nimeotaIli iweje?
Ni ubaguzi au?
Baba'ko, mama'ko au mlezi wako ni viongozi wako wa msingi. Umeshawahi kuwauliza wasifu wao?
Alihitimu form six mwaka gani na shule gani..Miaka kadhaa iliyopita wakati anagombea UVCCM kuna mdau alitoa historia yake humu!! Kutokana na maelezo ya mdau, at least kwa wakati ule hakuwa shabiki wa Hapi hata chembe!
Kilichonifanya nisiisahau historia ile ni kwamba Hapi O-Level alisoma tech school (Bwiru Boys). Kama ujuavyo, tech hawasomi history!
Alipofanya mtihani wa Form IV jamaa akaharibu Physics kwahiyo akakosa selection na badala yake akaenda private school akasoma HKL! Remember, hapo kabla hakusoma history O-Level! Lakini pamoja na yote hayo, A-Level akaondoka na Div I Point IV.
Hili la mtu ambae aliikuta History A-Level na bado akaondoka na Point IV ndilo lililonifanya nisimsahau unless kama jamaa alidanganya though haionekani hivyo!
Ngoja Mimi niwahi kwa Gwajima akanidownlodie material ya huyu DC,maana kuna ka harufu kama na yeye kapitia njia ya Daud Albert Bashite.Amani kwa wote...
Natumaini huku wapo wajuvi wa mambo na wanaowajua vizuri viongozi tulionao na hata kuwa na wasifu sahihi wa hawa viongozi!
Mwenye wasifu wa huyu mkuu wa wilaya kinondon Ally Hapi atuwekee hapa tafadhali!!
Sikumbuki kama alitaja shule na kama alitaja basi nimesahau!!Alihitimu form six mwaka gani na shule gani..
Usisite kuleta mrejesho mkuu..Ngoja Mimi niwahi kwa Gwajima akanidownlodie material ya huyu DC,maana kuna ka harufu kama na yeye kapitia njia ya Daud Albert Bashite.
Ni kwa kuwa huna vigezo vya kuajiriwa..
Utasema umejiajiri wakati hata genge huna, kwi kwi..!!
kwani cv za public leaders ni siri?
acha kufikiri kwa kiwango cha chini ya kiwango cha mbweha atampata vp huyo kiongozi?Hapana ila kama kweli anazihitaji si angemuo
mba mwenyewe tu, hizi za mtandaoni ni fake.
acha kufikiri kwa kiwango cha chini ya kiwango cha mbweha atampata vp huyo kiongozi?