Tabia za kishamba kuomba cv za viongozi wetu..?Hizi Tabia za kishamba sijui mtaendelea nazo mpaka lini!
Hebu tupe wasifu wake basi mkuu....huyo yuko vizuri mkuu,
kasoma vipaji maalumu na udsm
Mbona unatoa povu mkuu, cv za public leader ni dhambi kuziweka hadharani..?Anataka CV ya nn kma anashida nayo siamtafute mwenyew amuonyeshe hatutaki unafki
Sasa kama hata std 5 hawakufika walijuaje kuna kitu kinaitwa CV..?Kautafiti kangu kadogo kanao esha vijana wengi wa chadema wanaoomba CV hapa za watu mbalimbali...wao hata std 5 hawakufika.
Kwani huwa ni ya nini?Ya nini?
tabia za kimama wemaAmani kwa wote...
Natumaini huku wapo wajuvi wa mambo na wanaowajua vizuri viongozi tulionao na hata kuwa na wasifu sahihi wa hawa viongozi!
Mwenye wasifu wa huyu mkuu wa wilaya kinondon Ally Hapi atuwekee hapa tafadhali!!
Tabia za kibashite..tabia za kimama wema
hata icho feki sina,ila acha umamaa wemaTabia za kibashite..
Bila shaka unacheti feki...
mtoa mada domo zege alishazoea kwenda corner barKisa kafunga hoteli ilokuwa inajaza mashoga na machangu...tukosoe pale mtu anapokosea sio kilajambo. Hakuna bar yenye kibali cha kufanya biashara chafu,Kama mmiliki kashindwa kusafisha baa yake afungiwe mpaka atapoleta mkakati unaoeleweka wa kusafisha baa yake
Amani kwa wote...
Natumaini huku wapo wajuvi wa mambo na wanaowajua vizuri viongozi tulionao na hata kuwa na wasifu sahihi wa hawa viongozi!
Mwenye wasifu wa huyu mkuu wa wilaya kinondon Ally Hapi atuwekee hapa tafadhali!!
Mkuu hata mm nilipojiunga UDSM nilimkuta jamaa, lile sakata la KIPARA alikua anaongoza pale level squareAli nakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza mwanzon mwishoni mwa mwaka 2008, yeye alikuwa mwka wa 3 pale mlimani, na alikuwa mwanaharakati wa ukweli, alipambana kwa kila namna enzi za kina Odwangi..!ila alikuwa na mising na ukereketwa wa chama cha mapinduz...
ila pia ashawahi kugombea uenyekiti wa uvccm yeye na makonda, Ali alishika nafasi ya 2, makonda ya 3...
nyingne watakuwa wanaleta wadau wanayemfahamu, mm nimeweka kipande kidogo kwa namna ninavyomfahamu
Kuomba cv ni kukosoa.??Kisa kafunga bar ilokuwa inajaza mashoga na machangu...tukosoe pale mtu anapokosea sio kilajambo. Hakuna bar yenye kibali cha kufanya biashara chafu,Kama mmiliki kashindwa kusafisha baa yake afungiwe mpaka atapoleta mkakati unaoeleweka wa kusafisha baa yake. Nawaagiza wakuu Wa wilaya kote nchini wasimamie hili!!
watetezi Wa ujinga wakidai vyeti/Cv waambieni waende kumwuliza aliyewateua.
Pamoja mkuu...Ali nakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza mwanzon mwishoni mwa mwaka 2008, yeye alikuwa mwka wa 3 pale mlimani, na alikuwa mwanaharakati wa ukweli, alipambana kwa kila namna enzi za kina Odwangi..!ila alikuwa na mising na ukereketwa wa chama cha mapinduz...
ila pia ashawahi kugombea uenyekiti wa uvccm yeye na makonda, Ali alishika nafasi ya 2, makonda ya 3...
nyingne watakuwa wanaleta wadau wanayemfahamu, mm nimeweka kipande kidogo kwa namna ninavyomfahamu
Mbona unatoa sana povu, au ni kwamba unahisi anatumbuliwa?hata icho feki sina,ila acha umamaa wema
mtoa mada domo zege alishazoea kwenda corner bar