Wasifu wa Ally Salum Hapi

Kijana huyu si Mwadilifu na si Mzalendo na anaweza kununuliwa kwa bei rahisi sana kiasi cha kuuza uzalendo kwa wenye pesa. Kwa sasa anafanya kazi “Crest Attorneys” ofisi ambazo ziko jingo la Coronation, mtaa wa Samora/Azikiwe. Ukitaka kuwaona utawapata katika jengo hilo ghorofa ya pili. Pamoja na kufanya kazi pale, Salum Ally Hapi amekuwa akifanya kazi kwa ukaribu sana na ofisi za Ridhiwani Kikwete za GRK Advocates.

Ni uwazi usioshaka kuwa kijana huyu ana nguvu ya Riz1 katika kinyang’anyiro cha nafasi ya Umakamu Mwenyekiti Taifa-UVCCM. Huyu ndiye Salumu Ally Hapi anayeonekana kupererusha vyema nafasi hiyo katika masikio ya walio wengi, huku ikiwa ni Kinyago kilichochongwa na wenye Pesa kuwakilisha maslahi yao ndani ya Umoja!

Huyu ndiye Ally Salum Hapi. Kila la Heri!


Hapa Kazi tu!
 
Amani kwa wote...
Natumaini huku wapo wajuvi wa mambo na wanaowajua vizuri viongozi tulionao na hata kuwa na wasifu sahihi wa hawa viongozi!
Mwenye wasifu wa huyu mkuu wa wilaya kinondon Ally Hapi atuwekee hapa tafadhali!!
 
Anataka CV ya nn kma anashida nayo siamtafute mwenyew amuonyeshe hatutaki unafki
 
Amani kwa wote...
Natumaini huku wapo wajuvi wa mambo na wanaowajua vizuri viongozi tulionao na hata kuwa na wasifu sahihi wa hawa viongozi!
Mwenye wasifu wa huyu mkuu wa wilaya kinondon Ally Hapi atuwekee hapa tafadhali!!

Ya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom