Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,411
[QUOTE="
Kenge (Eng) said: ↑
Huyu mnayemuongelea ni mhaya wa Kamachumu, wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera. Ni mzaliwa wa pale ambapo kuna hata kaburi la Babu wa Babu yake.
Kwa kifupi history ya migration wahaya wote ni wakuja pale lkn ni kabla ya mwaka 1850 hivi. Sasa huyu atakuwa raia wa nchi gani. Histori ya ukoo inaonyesha walitokea RWANDA.
Amesoma shule ya msingi Rwanga, Kamachumu
Secondary Ihungo ambapo kulingana na vipaji vyake kwenye michezo ndo kapewa nick name(s) Jenerali Ulimwengu, yeye ni TWAHA Byeshurilo Ismail.
Amesoma darasa moja na FREEMAN MBOWE pale Ihungo Secondary.
.[/QUOTE]
Huyu naye katuwekea uongo wake hapa. Ni ushabiki tu. Twaha hakuwahi kusoma sekondari ya Ihungo bali Nyakato. Mbowe alisoma Ihungo high school kati ya 1981/82-82/83 wakati Twaha alisoma Nyakato miaka ya 1960. Tusiemuke!
Kenge (Eng) said: ↑
Huyu mnayemuongelea ni mhaya wa Kamachumu, wilaya ya Muleba mkoa wa Kagera. Ni mzaliwa wa pale ambapo kuna hata kaburi la Babu wa Babu yake.
Kwa kifupi history ya migration wahaya wote ni wakuja pale lkn ni kabla ya mwaka 1850 hivi. Sasa huyu atakuwa raia wa nchi gani. Histori ya ukoo inaonyesha walitokea RWANDA.
Amesoma shule ya msingi Rwanga, Kamachumu
Secondary Ihungo ambapo kulingana na vipaji vyake kwenye michezo ndo kapewa nick name(s) Jenerali Ulimwengu, yeye ni TWAHA Byeshurilo Ismail.
Amesoma darasa moja na FREEMAN MBOWE pale Ihungo Secondary.
.[/QUOTE]
Huyu naye katuwekea uongo wake hapa. Ni ushabiki tu. Twaha hakuwahi kusoma sekondari ya Ihungo bali Nyakato. Mbowe alisoma Ihungo high school kati ya 1981/82-82/83 wakati Twaha alisoma Nyakato miaka ya 1960. Tusiemuke!