Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wewe ujawahi kuwa na akili zaidi ya kubaka under 18.. makonda tunajua ni mganga njaa aliyefeli chuo zaid ya mara 5 akapata hisani ya kina nape..sta..malechela..mwakyembe....na membe wakati Walipoanzsha CCJ wakamfanya makonda mhudumu/attendant wa kugawa chai kwa viongoz feki wa CCJ wakati wachumia tumbo hao apo juu walipoona upepo wao ni mbaya ndan ya ccm ni mbaya ndio maana dhambi ya usaliti inawatesa akiwemo baba yako ambaye ndye aliyekua mtanzania wa kwanza kumsaliti nyerere na kusilimu ili apate urais na akaukosa akfuatiwa na membe ambaye nae amesilimu ili awe rais ila ataukosa....mwsho makonda cv yake ni kuwa ana laana ya kumpga warioba na pia ana laana ya kumtukana lowasa kwa maagzo ya membe na nape

Mia mia Mkuu
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
LEMUTUZZ... hahahahahaaa....
kimyaa babaaa!!! nadhani ukimya wako haukutofautiana na wa MAKONDA ila mmetofautiana kwa mwenzio kufaulu kuteuliwa kuongoza KINNO.. hii ni kutokana na makeke aliyoyaonyesha kwenye harakati zake za kukitetea chama na hatimae kuambulia u-DC.
SASA ! wewe ndg yangu hukujitoa muhanga kwa ajili ya chama hivyo umeonekana ni 0 hamna kitu japo ilibidi wakubebe kupitia BABA lkn mchezo ukabadilishwa na hatimae ulichotegemea kupata wewe ndio kimepelekwa kwa mama yako wa kambo. shukuru kwa hilo.
 
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika

Duuuuuh we jamaaa kweli noma hata Mimi Nina degree 1 yenye GPA ya kumzidi makonda lakini slaa sio wa kumchezea ana phd acha ushabiki vuuuuuuuziiiii
 
Wewe ujawahi kuwa na akili zaidi ya kubaka under 18.. makonda tunajua ni mganga njaa aliyefeli chuo zaid ya mara 5 akapata hisani ya kina nape..sta..malechela..mwakyembe....na membe wakati Walipoanzsha CCJ wakamfanya makonda mhudumu/attendant wa kugawa chai kwa viongoz feki wa CCJ wakati wachumia tumbo hao apo juu walipoona upepo wao ni mbaya ndan ya ccm ni mbaya ndio maana dhambi ya usaliti inawatesa akiwemo baba yako ambaye ndye aliyekua mtanzania wa kwanza kumsaliti nyerere na kusilimu ili apate urais na akaukosa akfuatiwa na membe ambaye nae amesilimu ili awe rais ila ataukosa....mwsho makonda cv yake ni kuwa ana laana ya kumpga warioba na pia ana laana ya kumtukana lowasa kwa maagzo ya membe na nape

mkuu samahani hebu nijuze hapo... KWANI MEMBE alikuwa muslim? jina lake halisi ni nani?
 
Makonda fundi wa kutukana, kwa CCM ni mtaji mkubwa. Hii ndio CV yake
 
LEMUTUZZ... hahahahahaaa....
kimyaa babaaa!!! nadhani ukimya wako haukutofautiana na wa MAKONDA ila mmetofautiana kwa mwenzio kufaulu kuteuliwa kuongoza KINNO.. hii ni kutokana na makeke aliyoyaonyesha kwenye harakati zake za kukitetea chama na hatimae kuambulia u-DC.
SASA ! wewe ndg yangu hukujitoa muhanga kwa ajili ya chama hivyo umeonekana ni 0 hamna kitu japo ilibidi wakubebe kupitia BABA lkn mchezo ukabadilishwa na hatimae ulichotegemea kupata wewe ndio kimepelekwa kwa mama yako wa kambo. shukuru kwa hilo.

- hahahahaha nilidhani tatizo lenu ni Makonda kumbe na mimi hahaha nifungulie thread basi hii ni ya makonda mimi sijaomba kuwa DC wa Mufindi hahahaha I love downtown nina nafasi 3 ndani ya CCM Taifa zinanitosha leo jioni Skylight Thai Village hahahah kama kawa sitaki kazi ya kuniharibia my lifestyle hahaha tulia sasa mtapigwa tu Kinondoni hahaha

Le Mutuz
 
hapo kwenye red:halafu unatuambia una digrii tatu,yes unaweza kuwa nazo lakini lazima itakuwa john malecela alipiga simu utunukiwe hizo shahada.Kubwa jinga linaongea kama darasa la pili.

Zinaweza zikawa degree za kuosha vyombo...
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Wewe ulichotakiwa kufanya ni kuweka CV yake kama unayo, la kama huna CV ya hawa wengine nawe uiweke sio unajitekenya mwenyewe then unacheka mwenyewe tena, hivi vyeo visivyo na interview ni shidaaaaaaaa
 
Le Mutuz nahisi bwabwa. Maana nikiangalia body lake na matendo yake haviendani,Hv huko kwenye danguro lenu la CCM una cheo gani vile?
 
Wewe ulichotakiwa kufanya ni kuweka CV yake kama unayo, la kama huna CV ya hawa wengine nawe uiweke sio unajitekenya mwenyewe then unacheka mwenyewe tena, hivi vyeo visivyo na interview ni shidaaaaaaaa

- Ungweka CV za Sugu na Mwenyekiti wako kwanza ndio uulizie za CCM hahahahaha au huwezi nikusaidie? hahahah

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom