Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Chakusema sina maana magazeti blog,mitandao ya kijamii,kila kitu sasa hakuna kitakachobadilika zaidi ametwishwa zigo zito bila ya yeye kujitambua kwani akiongoza kwa itikadi ya ccm na kuonyesha wapinzani wake kuwa yeye ni ccm basi tusubirie maafa zaidi ila inabidi apate ushauri kwa Mh Mwiguru jinsi anavyofanya kazi za kiserikali na za chama bila kuingiza itikadi iliyopitiliza katika kazi za kiserikali!.Tumuombee kijana wawatu ndoto yake aliyoiota siku nyingi imetimia sasa kazi kwake asipojiangalia atafifia kama jua la jioni katika siasa.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Dunia ndio shule gani, au chuo gani Ndugu le le le?
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Rais wa wauaji wa albino. ..
Labda wa nyumbani kwao
 
le mutuz upo mkuu dah nimekumbuka kitabu cha wasaka tonge cha mzee seif khatibu.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

We umeambiwa utoe CV take na sio kuana na upuuzi wako
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Wewe kweli mlevi mbwa! Mtu kauliza swali tayari umeshamhusisha na Chadema. Mdio maana wanakuhusisha na ushoga kwa vile mashoga ndio tabia zao kushadadia hata yasiyo husika. Kwani kila anayepinga kinacho endelea ndani ya system ni Chadema? Tumia akili mtu mzima wewe!
 
Dr Slaa udokta wake hauna na hauwezi kuwa na tija kwa taifa ..Kimsingi Dr slaa ameishia kidato cha sita..elimu ya dini inatija kanisani tuu!

Mbona "bwana wenu" aliogopa mdahalo na huyo "kidato cha sita" ? Kweli ujinga mzigo, haujifichi kamwe.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Ila we jamaa ni boya saana aisee
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
mutuz wewe ukuu wa wilaya sahau.sababu hii ndio ilikuwa nafasi yako ya mwisho,baada ya uchaguzi tunafuta huo ujinga
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Nikikumbuka hoja zako pale bungeni kugombea ubunge wa EAC ukashindwa na wanawake kina Shy. Nachekaga sana.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

We jamaa ndio hukumbukwagi kabisa hata viti maalum na ushafika umri wa kustaafu.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
hata ujipendekeze kiaje damu yenu ya jumanne haitapewa cheo chochote. hata ufanywe vibaya kiasi gani hutafutwa machozi
 
Wakuu sor naomba kuuliza,kuna jamaa mwili mkubwaaaa na kichwa pia lakini mambo yake kama ANADIMBA na watoto wanaojipikilisha anaitwa nani vile?
 
Back
Top Bottom