@W.J. Malecela
Sioni sababu za msingi za"
le mutuz" kumsifia Makonda huku unashambulia wabunge wa cdm kama Joseph mbilinyi na Lema etc.
Kwakua ishu hii haiitaji uvyama.
Bali uadilifu.
Fahamu hata wabunge wa CCM wameshakua pissed off na makonda hata mkuu wa nchi ameshampiga ban asitaje hovyo majina ya watu kuonyesha kua hayuko naye katika hilo.
Ni wazi unajaribu kupoteza muelekeo wa Uzi.
Kwa kuwagawa wachangiaji kulingana na mitazamo na itikadi zao za uvyama. Najua hutaweza.
Ama unataka umuonyeshee makonda kua wewe ni rafiki wa kweli unaempigania had I kwenye media. Ili angalau mambo yako yakunyookee.
Hata kama unapenda kua "Controversial" fahamu kua ulishaishusha thamani yako way back kwa kugombana na wanawake katika ushilawadu.
So Huna weight wala impact kubwa sana katika siasa za nchi hii.
Taiga hili Lima rekodi nzuri ha kuteua vihiyo katika nyanja mbalimbali.
So kua rais wa wanavyuo is not a big deal.
Katika umri wako, Unaweza kuonekana mpiga porojo tu. Usie na thamani.
Ni vyema ungejenga hoja constructive ili uturudishe kwenye Mood.