Nashangaa ... !!! huo ni uzalendo wa Shetani bilieve me!!!Hivi kuna mijitu inamtetea.Kufoji vyeti ni uhalifu ambao hauwi justified kwa lolote.
we nawe akili yako tope tu.. kwendraa kule na hoja zako chakavu zisizo na mashikoUnafiki Wa watanzania.....juhudi zake ndo zimemfikisha hapo ikumbikwe miaka ya zamani watu walikuwa na tabia ya kurudia darasa la saba ili wapate nafasi ya naenda kidato cha kwanza!! Unakuta mtu akiamua kurudia darasa la sita au la saba Mara nyingi Mwl Mkuu alikuwa akiwapatia majina ya wanafunzi walioacha kazi na mtu anapopewa lile jina urudia shule!! Na kama atafanya vyema na kuendelea utasema ye ni jipu!! Tuache unafiki Wa ki****
HahahahaaHahahahaaaa...acha movie iendelee...lkn jamani hv kuna wa kumtumbua makonda kweli?? Naona hata mtumbuaji mwenyewe vyeti havija timia ....teh teh teh teh , hakyamungu dunia duara

Ndo mana cku ya msiba wa 6 jamaa alilia sana na it's like alikua ndugu yakealifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
Hukusikia crackdown ya Mama le Peof Ndali? Kwani alisema hao wamesamehewa? Ila hy kanunua hakurudia , ni mifano miwili tofauti.....Unafiki Wa watanzania.....juhudi zake ndo zimemfikisha hapo ikumbikwe miaka ya zamani watu walikuwa na tabia ya kurudia darasa la saba ili wapate nafasi ya naenda kidato cha kwanza!! Unakuta mtu akiamua kurudia darasa la sita au la saba Mara nyingi Mwl Mkuu alikuwa akiwapatia majina ya wanafunzi walioacha kazi na mtu anapopewa lile jina urudia shule!! Na kama atafanya vyema na kuendelea utasema ye ni jipu!! Tuache unafiki Wa ki****


- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Kwani nani hajui kuwa Viongozi wetu wengi na wanaccm wanavyeti vya kuchakachua hata Mbunge wa NZG vjjn Kigwangalla sio majina yake yeye anaitwa Hamisi.NASSORO.Bagaire.hayo majina mengine ya Andrew.Hamisi Kigwangalla anajua yeye alikoyayoa! Sio ajabu Akina makonda nao wakawa ktk mfumo huo!teh teh..sugu, mtu mkora kwenye kazi ya heshima.

Marinda FC msipanickjamaa anakimbiza nyumbu mbaya mno mbona mnamgwaya hivyo![]()



Mmmmmmmh kwa pumba zile amewazid kweliKwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
namna hiyo tunamfananishaje na wasomi kama mbowe maana mbowe elimu yake kubwa mno kama unabisha lete data