Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,376
Kama kule hakuna basi unachotafuta hakipo dunia hii.... Hao wachimbaji wa jamvini watakupa majungu... Mara, anatoka na kajala mara utaskia waarabu wa gsm watu wake mara utaskia ana beef na wauza shisha mara utaskia alimpiga warioba mara utaskia anawaonea wivu mashougaaaaa kisa, waligombea bwana ..... Yani hapa jiandae kubeba majunguuuuuuuu.
Nakushauri rudi gugoooo.... Huko utapata kweli tupuuuu
Nakushauri rudi gugoooo.... Huko utapata kweli tupuuuu