mums
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 213
- 205
Wakuu msinijibu vibaya naomba mnieleweshe kirefu cha muccobs ni chuo gan hichoAlipataga GPA ya 2.9 kwa kusaidiwa pale muccobs baada ya kufeli na kurudiarudia mana alikuwa hamalizi
Wakuu msinijibu vibaya naomba mnieleweshe kirefu cha muccobs ni chuo gan hichoAlipataga GPA ya 2.9 kwa kusaidiwa pale muccobs baada ya kufeli na kurudiarudia mana alikuwa hamalizi
Makonda anakuhemea nini
Bado unaamini katika haya?
Mmmmmmalifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
We mzee tumbo tumbooo- Ijumaaa mnatakiwa kuripoti kusudi tujue ukweli mengine nonsense!!
le Mutuz
Utachumbiwa na mako .. maana umezidi kujipendekeza- Ijumaaa mnatakiwa kuripoti kusudi tujue ukweli mengine nonsense!!
le Mutuz
Sasa hivi hichi chuo kinaitwa MOcUWakuu msinijibu vibaya naomba mnieleweshe kirefu cha muccobs ni chuo gan hicho
Utachumbiwa na mako .. maana umezidi kujipendekeza
Unajiita king of social media na millard ayo aitwe nani?- utakuwa ulishachumbiwa tayari hahahahahahhahaha unajisema mwenyewe duh
le Mutuz
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Haisaidii na haitamvunja nguvu RC wetu. Ulikuwa wapi siku zote mbona hukusema hayo kabla!!Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.
Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.
Vyuo vikuu vya ccm- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz

Anataka kujuamtu anayetaka kujua maisha ya mwenzake,anataka nn?
Kubwa jingazzz wewe ndiio mpuuzi namba moja kati ya watoto wa viongozi nchi hii.Nawewe CV yako na mange nani yupo juu.umeka America miaka mianane hujarudi hata na toyo.
Hili ni taifa LA mazombi ndo maana hata wajinga wanatutawala
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Umri wako na lugha yako tofauti, unatia kinyaa mkubwa mzima- kumbe unahemewa duh wewe mtoto wakiume unahemewa?
le Mutuz
Hajamfikia Slaa wewe yule ni Dr.Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika