Mbowe ana zero kabisa lakini mmemuamini awaburuzehahahaaaaa kumbe makelele yote yale kumbe hamna kitu
Wewe na Makonda na mwenye akili
Mbowe ana zero kabisa lakini mmemuamini awaburuzehahahaaaaa kumbe makelele yote yale kumbe hamna kitu
U know hii ndio CV yako?
William can't believe this? are you the one criticising Freeman? of his integretity and associated,really? OK go ahead but we living in this same world which one day shall be judged,good thing truth shall remain as truth and hypocrisy shall end up in shame this is philosophical, it could be better if you could just stay with no comments rather than tarnishing bad your very last of uelewa- Ok unaulizwa CV ya Mwenyekiti wako wewe unaleta matusi? hahahahahahaha wewe wacha kuwa mjinga weka CV ya MWenyekiti hapa tuone kaishia wapi kwenye Elimu, sasa kama Mwenyekiti CV majangaz na nyie nyumbu itakuwaje? hahahahaha
le Mutuz
Jibu hoja acha kejeli.Hilo jibu lilitakiwa lijibiwe na 16 years old sio old man with 56 kama wewe!
Mtu ameuliza wasifu wa DC mpya, wewe unadai wasifu wa Sugu.
Ndo ulivyojifunza namna ya kujibu maswali kwenye hzo degree tatu?
William can't believe this? are you the one criticising Freeman? of his integretity and associated,really? OK go ahead but we living in this same world which one day shall be judged,good thing truth shall remain as truth and hypocrisy shall end up in shame this is philosophical, it could be better if you could just stay with no comments rather than tarnishing bad your very last of uelewa
Personally nimetishika sana na ufahamu wako kwa hiyo hapa huzungumzii impact ya Freeman bali umeamua kumu attack personally for a very cheap reason of education?simply because makonda was touched in this?kwa hili umenisikisha sana na MUNGU akusaidie wewe mwenye digree 3!sisi wote na vyama vyetu tutapita lakini TZ itaendela kuwepo umeongea utumbo sana which doesn't match hizo degree zako sijui 3 au 6!kwa hili umejidhalilisha sana which makes even those degrees are genuine
Sitta yupo wapi siku hizi?alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
ukapimweKwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
Mtoe huyo wa kwanza ww .....................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
rais wa zamani wa vyuo vikuu,toa ushahidi la sivyo nawe ni mropokaji na mkurupukaji mahiri- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Hujielewi wewe umri ushakutupa mkono Kwa uyafanyayo- I know ya Batazzz Batannn na le Wabebezzz U know hahahahahahha and I lov IT!!
le Mutuz Nation

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
Kwanza unatakiwa kufahamu kwamba Makonda anawizidi Elimu watu wafatao!
-Slaa
-Mbowe
-Lema
-Sugu
-Msigwa
-Mnyika
Usinikumbushe muke yaMuzunguHujielewi wewe umri ushakutupa mkono Kwa uyafanyayo![]()
![]()