Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Binafsi Mbowe nilisoma naye Ihungo, na mara ya mwisho tulikutana tena Ihungo katika kuchangia miundombinu ya shule, sina data zaid ya hapo
 
Nilijua tuu mtaanza kuimba Taarabu...!

Tunataka CV ! Whatever it will be...

Elimu

Elimu

Elimu
CV YA MWENYEKITI.


CV ya freeman mbowe

Member of Parliament CV


GENERAL
Salutation
Honourable Member picture
1260.jpg

First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth


EDUCATION
SCHOOL NAME/LOCATION
COURSE/DEGREE/AWARD START DATE END DATE LEVEL
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL
 
Kwan Olesendeka ana cheo gani CCM?
Ata hivyo yeye ni bora kwakuwa alifaulu vizuri o-level kuliko mbowe alotumia jina la masikini a-level kwakuwa hata o-level alifeli pia.


Hahaha! Jamani mbona mnamuumbua kamanda mwenyekiti .
 
Acheni unafiki wenu ninyi watu, mbona ninyi huwa mnahoji Phd ya Rais wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuli? Sasa na sisi tunataka kujua kiwango cha elimu cha Mbowe. Mleta mada umenifurahisha sana. Nikweli kabisa elimu ya Mbowe ni siri kubwa, but why?? Hii nchi bwana imejaa ujanja ujanja tu. Lakini ukweli utajulikana tu.
 
Ni rahisi kumpata ex classmate wa Kingunge Ngombale na si Mbowe.
Inawezekana shule zote alizosoma, wanafunzi wenzake na walimu pamoja na majengo, vilitoweka vyote kabisa kwenye uso wa dunia kama wale wanyama(dinosaurs) walivyotoweka. Ndio maana imekuwa vigumu kumpata classmate wake, mwalimu na shule aliyosoma. Baada ya kumaliza form 6 kila kitu kilitoweka akabaki yeye tu. Kwa hiyo hakuna haja ya kuangaika kutafuta historia ya elimu yake maana haitapatikana labda yeye tu mwenyewe aamue kueleza ukweli wa elimu yake.

Labda turudi nyuma kidogo, alipogombea urais sheria ya kuwa mgombea lazima awe na degree haikuwepo? Kama ilikuwepo aliruhusiwaje kugombea kama ni kweli hakuna historia ya elimu yake?
 
Inawezekana shule zote alizosoma, wanafunzi wenzake na walimu pamoja na majengo, vilitoweka vyote kabisa kwenye uso wa dunia kama wale wanyama(dinosaurs) walivyotoweka. Ndio maana imekuwa vigumu kumpata classmate wake, mwalimu na shule aliyosoma. Baada ya kumaliza form 6 kila kitu kilitoweka akabaki yeye tu. Kwa hiyo hakuna haja ya kuangaika kutafuta historia ya elimu yake maana haitapatikana labda yeye tu mwenyewe aamue kueleza ukweli wa elimu yake.

Labda turudi nyuma kidogo, alipogombea urais sheria ya kuwa mgombea lazima awe na degree haikuwepo? Kama ilikuwepo aliruhusiwaje kugombea kama ni kweli hakuna historia ya elimu yake?


Mkuu watu wa CCM ni wajinga

waambie tu ameishia darasa la kwanza
 
Ikiwa ni kweli huyu Mh, hajaenda shule, basi tukubali tu ana kipaji kikubwa sana.
 
Ikiwa kuna mtu ana elimu ya juu lakini kwa uwezo ns matendo yake unatafsirika kama hakusoma kabisa au ana elimu ya chini basi ni afadhali kjmheshimu mwenye elimu ya chini anayetafsirika kw Uwezo na matendo yake kuwa amesoma sana kwani tunahitaji uwezo mkubwa kimatendo sio elimu ys nadharia
 
Nini lengo lako hasa? Je elimu yake inasaidia nini katika maisha ya leo?

Ni kweli elimu yakehaina umuhimu wowote ule....lakini kinachotafutwa hapa historia ya maisha yake kielimu na hasa kwa kuwa ni kiongozi...Ni muhimu historia ya elimu yake iwekwe wazi....
 
Aliyekwenda shule huwa anajibu swali na si kubwabwanya upuuzi..
Aliyekwenda shule huwa anafocus kwenye kwenye maisha yake mwenyewe na jinsi ya kuyaendesha na kupata mafanikio ya mipango aliyojiwekea na sio kumchunguza jirani yake, kumchunguza jirani yako maisha yake ni dalili za udhoofu wa fikra na uoga wa kushindwa kimafanikio au kimaendeleo na jirani yako.
 
Hapa sitii mukichwa-majeshi yanapambana. Mtu anataka kujua lakini anaonyesha analake kwani ana andika mengi ya kesemekana au anasema anajua. Sasa unajiuliza kama anajua anataka ya nini? Upande wapili wanasema hawaoni umuhimi wa CV ya kiongozi wao kujulikana. Najiuliza tu huyu ni kiongozi wa umma kwa nini CV yake au kisomo chake kiwe tatizo kufahamu? Cha kushangaza zaidi ni pale BUNGE linapoweka CV vipande vipande au zilizopitwa na wakati. Endelezeni mapambano!!!
 
Anaandika Magoiga SN kutoka Mwanza

Hata Kama Elimu Yake Haina Umuhimu Lakini Historia ya Elimu Yake ni Muhimu Kwa Vizazi Vijavyo
Magoiga SN-Mwanza

Kama kuna kitu ambacho hakuna mtanzania anayekifahamu bayana ni elimu ya Freeman. Hakuna mtu yeyote ajuaye Freeman alisoma wapi elimu ya msingi, elimu ya sekondari wala chuo. Hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama chake anayeweza kusema bayana kuwa anaifahamu historia ya kielimu ya kiongozi wao.

Mwaka 2015 Mtatiro alijaribu sana kufuatilia elimu ya Freeman ili aweze kuandika makala yake iliyochapishwa ktk gazeti la Mwananchi bila mafanikio. Hakuna taasisi yeyote nchini inayoweza kudhibitisha kuwa Freeman aliwahi kusoma ktk shule yao.

Hii ni hoja ambayo hakuna anayeweza kuijibu wala kupinga kwa hoja, sana sana wakijaribu kuijibu wataanza matusi, na kusema kuwa elimu ya Freeman haina umuhimu wowote ule kuifahamu. Kwanini wanatumia nguvu kubwa ya kurasa 100 kusema na kuelezea jinai ambavyo elimu ya Freeman haina umuhimu huku wanaweza kutumia ukurasa mmoja tu KUIJIBU HIYO HOJA NA KUWAFUNGA MDOMO WANAOHOJI??

Hapo ndipo ujue kuna shida mahala.
Lakini wanasahau kwamba, hata historia ya marehemu huwa kuna kipengele kinachoelezea historia fupi ya safari ya kielimu ya marehemu hata kama aliishia darasa la nne.

Katika moja ya Makala nzito kuwahi kuandikwa na Mtatiro anasema "wasomaji wataniqia radhi maana taarifa za kielimu za mtu huyu haziko wazi, hata tovuti ya bunge haina taatufa zake. Nimejaribu kuwasiliana na ofisi yake na watu wake wa karibu ndani chama chake, ambao wengine ni marafiki zangu, waliniahidi kunisaidia kuupata wasifu huo wa kielimu lakoni baadae wakakataa kuwa hawawezi kuutoa.. ", mwisho wa kunukuu

Maelezo Zaidi BONYEZA Hapo Chini Kusoma Alivyoandika Mtatiro Kuhusu Historia ya Elimu ya Freeman http://www.mwananchi.co.tz/…/1625946-2738300-1dq…/index.html

JE KWANINI HISTORIA YA ELIMU YA FREEMAN NI SIRI??
Katika moja ya sababu zinazoweza kusababisha elimu ya mtu kuwa siri kubwa ni ENDAPO ELIMU HIYO ilikuwa na matatizo makubwa au mtu huyo hakuwahi kusoma kabisa.

Ukitaka kutafuta historia ya kielimu ya Freeman hutaweza kuipata, na hakuna anayejua lolote, ndiyo maana wengi wanajaribu kuhoji huenda Jina Freeman hakuwahi kulitumia katika masuala ya Elimu hata siku moja (Hayo ni baadhi ya majibu dhania unayoweza kuyawaza)

Au kama aliwahi kulitumia, kuna mahala atakuwa alibadili jina na kutumia jina la mtu mwingine nk??
Freeman alisoma wapi shule ya msingi?? Hilo linajibika
Je Freeman alisoma wapi elimu ya sekondari (o level)?? Na alikuwa akitumia jina gani sekondari??

Na ni kwanini hakuna mtu yeyote anayejitokeza kusema kuwa alisoma na Freeman ?? Utawasikia watu wakisema walisoma na Nyerere, Mwinyi nk lakini hakuna anayesema. Alisoma na Freeman. Why?? Kama wapo bado binafsi sijawaaikia huenda baada ya makala hii nitawasikia waliosoma na Freeman ili niwaulize maswali

Ndugu yangu mmoja amenitaarifu kuwa Freeman alisoma elimu ya kidato cha sita (Form Six) pale IHUNGO sekondari Bukoba, lakini INASEMEKANA HAKUWA AKITUMIA JINA LA Freeman. Why?? IKIWA ni kweli, Ilikuwa vipi aende kidato cha tano na sita kwa jina tofauti na jina analotumia sasa?? Je alibadili jina au ALIIBA JINA LA MWANAFUNZI ambaye alikosa uwezo wa kifedha wa kuendelea na masomo??

Kuna habari inayosema kuwa Freeman alipata Ziro 'Form Six' Pia kuna habari zinazosema kuwa Mwaka 2007/2008 Freeman alijiunga Chuo kimoja huko Uingereza ambapo alikuwa akisoma masomo ya ngazi ya Diploma, lakini Marehemu Wangwe alipoanza harakati za kutaka kugombea Uenyekiti wa Chama, Freeman alilazimika kukatisha masomo na kurejea nchini ili Kulinda Kiti chake kilichokuwa hatarini kunyakuliwa kidemokrasia. Hapo ndipo Wangwe alipovuliwa nafasi zake zote ndani ya chama na kuambiwa kuwa ni msaliti.

Freeman aliwahi kufanya kazi Benki Kuu katika kitengo muhimu kwa muda mrefu. Bado haijulikani aliweza vipi kupata kazi benki kuu ilihali kidato cha nne hakuwa amefaulu, na kidato cha sita inadaiwa kuwa alipata Ziro?? Lakini baadaye jibu likapatokana kuwa Aliyekuwa Gavana wa Benki kuu wakati huo alikuwa Baba Mkwe Wake Mzee Mtei, Mwasisi wa CDM ambaye baadae Kibwetere alimuoa binti yake, na Freeman akapewa uenyekiti wa chama.

Kitu pekee ambacho kinajulikana kuhusu elimu ya Mbowe ni kuwa ANAWEZA KUSOMA NA KUONGEA KIINGEREZA KWA WASTANI. Ingekuwa kiingereza ndiyo kipimo cha usomu Freeman angekuwa amefaulu vyema
Je umeelewa nini mpaka sasa kwa ufupi??
Je Freeman alifeli 'form four'?

Je ni kweli kuwa alijiunga' Form Six' kwa kutumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu ila hakuwa na fedha. Zamani ulikuwa ukinunua jina la mwenye akili asiye na pesa
Je ni kweli kuwa 'Form Six' alipata Ziro, ila huwezi kupata jina la Freeman maana hakuwa anatumia jina lake wakati huo. Kumbuka alikuwa anatumia jina la mwanafunzi mwingine.

Alifanya Kazi benki kuu kwa kupewa na Baba Mkwe wake wa Sasa, hakuwa na vigezo vya kitaaluma kufanya kazi aliyokuwa akiifanya Benki Kuu. Maana baba mkwe wa sasa ndiye aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Huyo huyo ndiye akiyemkabidhi chama baada ya kumuoa binti yake.

[HASHTAG]#Note[/HASHTAG]: Baada ya andiko hili, watu watajitokeza ili kuelezea jinsi wanavyoifahamu historia ya kielimu ya Freeman, tutaweza kulinganisha habari zao na hizi zilizoandikwa hapa mpaka tutakapoupata ukweli. Historia ni muhimu sana, vizazi vijavyo vitashindwa kuandika vitabu kuelezea Shujaa wao Freeman kwa kukosa taarifa muhimu sana kumhusu

[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormFour[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormSix[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormChuo[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#NaniAliwahiKusomaNaFreeman[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAlifauluVipi[/HASHTAG]??

Tutakuwa tukipokea majibu na kulinganisha na uhalisia, mpaka pale hoja nzima itakapopata majibu. Usishangae kuona wafuasi wengi wakijaribu kukwepa hoja kwa kuleta matusi, mzaha na dhihaka. Wengine watasema weka wewe CV yako kwanza nk wavumilie maana huo ndiyo uwezo wao

INAENDELEA.....................
Magoiga SN-Mwanza
Mwenyekiti wa Muda-CCM Tawi la Mitandaoni
Mafanikio yake kibiashara na Kisiasa yanatosha, na kama ni Lugha ya malikia anaongea vema kuliko Mtukufu au Mungu wa Wana CCM (Makonda) infact ameprove yupo vema na hatuhutaji mivyeti.
Sasa nyie vijana wa Lumumba tuambieni Vyeti vyenu vimewasaidia nini!? na mna kipi cha kutuonesha!?
 
Kwan Olesendeka ana cheo gani CCM?
Ata hivyo yeye ni bora kwakuwa alifaulu vizuri o-level kuliko mbowe alotumia jina la masikini a-level kwakuwa hata o-level alifeli pia.
Fikra zangu zinapata mkanganyiko hapa, kumbe majibu ya maswali yaliyowekwa kwenye mada hii tayri mshayatengeneza, kwanini muulize tena, mngeandika tu mnayoyajua kama mnauhakika.
 
Anaandika Magoiga SN kutoka Mwanza

Hata Kama Elimu Yake Haina Umuhimu Lakini Historia ya Elimu Yake ni Muhimu Kwa Vizazi Vijavyo
Magoiga SN-Mwanza

Kama kuna kitu ambacho hakuna mtanzania anayekifahamu bayana ni elimu ya Freeman. Hakuna mtu yeyote ajuaye Freeman alisoma wapi elimu ya msingi, elimu ya sekondari wala chuo. Hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama chake anayeweza kusema bayana kuwa anaifahamu historia ya kielimu ya kiongozi wao.

Mwaka 2015 Mtatiro alijaribu sana kufuatilia elimu ya Freeman ili aweze kuandika makala yake iliyochapishwa ktk gazeti la Mwananchi bila mafanikio. Hakuna taasisi yeyote nchini inayoweza kudhibitisha kuwa Freeman aliwahi kusoma ktk shule yao.

Hii ni hoja ambayo hakuna anayeweza kuijibu wala kupinga kwa hoja, sana sana wakijaribu kuijibu wataanza matusi, na kusema kuwa elimu ya Freeman haina umuhimu wowote ule kuifahamu. Kwanini wanatumia nguvu kubwa ya kurasa 100 kusema na kuelezea jinai ambavyo elimu ya Freeman haina umuhimu huku wanaweza kutumia ukurasa mmoja tu KUIJIBU HIYO HOJA NA KUWAFUNGA MDOMO WANAOHOJI??

Hapo ndipo ujue kuna shida mahala.
Lakini wanasahau kwamba, hata historia ya marehemu huwa kuna kipengele kinachoelezea historia fupi ya safari ya kielimu ya marehemu hata kama aliishia darasa la nne.

Katika moja ya Makala nzito kuwahi kuandikwa na Mtatiro anasema "wasomaji wataniqia radhi maana taarifa za kielimu za mtu huyu haziko wazi, hata tovuti ya bunge haina taatufa zake. Nimejaribu kuwasiliana na ofisi yake na watu wake wa karibu ndani chama chake, ambao wengine ni marafiki zangu, waliniahidi kunisaidia kuupata wasifu huo wa kielimu lakoni baadae wakakataa kuwa hawawezi kuutoa.. ", mwisho wa kunukuu

Maelezo Zaidi BONYEZA Hapo Chini Kusoma Alivyoandika Mtatiro Kuhusu Historia ya Elimu ya Freeman http://www.mwananchi.co.tz/…/1625946-2738300-1dq…/index.html

JE KWANINI HISTORIA YA ELIMU YA FREEMAN NI SIRI??
Katika moja ya sababu zinazoweza kusababisha elimu ya mtu kuwa siri kubwa ni ENDAPO ELIMU HIYO ilikuwa na matatizo makubwa au mtu huyo hakuwahi kusoma kabisa.

Ukitaka kutafuta historia ya kielimu ya Freeman hutaweza kuipata, na hakuna anayejua lolote, ndiyo maana wengi wanajaribu kuhoji huenda Jina Freeman hakuwahi kulitumia katika masuala ya Elimu hata siku moja (Hayo ni baadhi ya majibu dhania unayoweza kuyawaza)

Au kama aliwahi kulitumia, kuna mahala atakuwa alibadili jina na kutumia jina la mtu mwingine nk??
Freeman alisoma wapi shule ya msingi?? Hilo linajibika
Je Freeman alisoma wapi elimu ya sekondari (o level)?? Na alikuwa akitumia jina gani sekondari??

Na ni kwanini hakuna mtu yeyote anayejitokeza kusema kuwa alisoma na Freeman ?? Utawasikia watu wakisema walisoma na Nyerere, Mwinyi nk lakini hakuna anayesema. Alisoma na Freeman. Why?? Kama wapo bado binafsi sijawaaikia huenda baada ya makala hii nitawasikia waliosoma na Freeman ili niwaulize maswali

Ndugu yangu mmoja amenitaarifu kuwa Freeman alisoma elimu ya kidato cha sita (Form Six) pale IHUNGO sekondari Bukoba, lakini INASEMEKANA HAKUWA AKITUMIA JINA LA Freeman. Why?? IKIWA ni kweli, Ilikuwa vipi aende kidato cha tano na sita kwa jina tofauti na jina analotumia sasa?? Je alibadili jina au ALIIBA JINA LA MWANAFUNZI ambaye alikosa uwezo wa kifedha wa kuendelea na masomo??

Kuna habari inayosema kuwa Freeman alipata Ziro 'Form Six' Pia kuna habari zinazosema kuwa Mwaka 2007/2008 Freeman alijiunga Chuo kimoja huko Uingereza ambapo alikuwa akisoma masomo ya ngazi ya Diploma, lakini Marehemu Wangwe alipoanza harakati za kutaka kugombea Uenyekiti wa Chama, Freeman alilazimika kukatisha masomo na kurejea nchini ili Kulinda Kiti chake kilichokuwa hatarini kunyakuliwa kidemokrasia. Hapo ndipo Wangwe alipovuliwa nafasi zake zote ndani ya chama na kuambiwa kuwa ni msaliti.

Freeman aliwahi kufanya kazi Benki Kuu katika kitengo muhimu kwa muda mrefu. Bado haijulikani aliweza vipi kupata kazi benki kuu ilihali kidato cha nne hakuwa amefaulu, na kidato cha sita inadaiwa kuwa alipata Ziro?? Lakini baadaye jibu likapatokana kuwa Aliyekuwa Gavana wa Benki kuu wakati huo alikuwa Baba Mkwe Wake Mzee Mtei, Mwasisi wa CDM ambaye baadae Kibwetere alimuoa binti yake, na Freeman akapewa uenyekiti wa chama.

Kitu pekee ambacho kinajulikana kuhusu elimu ya Mbowe ni kuwa ANAWEZA KUSOMA NA KUONGEA KIINGEREZA KWA WASTANI. Ingekuwa kiingereza ndiyo kipimo cha usomu Freeman angekuwa amefaulu vyema
Je umeelewa nini mpaka sasa kwa ufupi??
Je Freeman alifeli 'form four'?

Je ni kweli kuwa alijiunga' Form Six' kwa kutumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu ila hakuwa na fedha. Zamani ulikuwa ukinunua jina la mwenye akili asiye na pesa
Je ni kweli kuwa 'Form Six' alipata Ziro, ila huwezi kupata jina la Freeman maana hakuwa anatumia jina lake wakati huo. Kumbuka alikuwa anatumia jina la mwanafunzi mwingine.

Alifanya Kazi benki kuu kwa kupewa na Baba Mkwe wake wa Sasa, hakuwa na vigezo vya kitaaluma kufanya kazi aliyokuwa akiifanya Benki Kuu. Maana baba mkwe wa sasa ndiye aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Huyo huyo ndiye akiyemkabidhi chama baada ya kumuoa binti yake.

[HASHTAG]#Note[/HASHTAG]: Baada ya andiko hili, watu watajitokeza ili kuelezea jinsi wanavyoifahamu historia ya kielimu ya Freeman, tutaweza kulinganisha habari zao na hizi zilizoandikwa hapa mpaka tutakapoupata ukweli. Historia ni muhimu sana, vizazi vijavyo vitashindwa kuandika vitabu kuelezea Shujaa wao Freeman kwa kukosa taarifa muhimu sana kumhusu

[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormFour[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormSix[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormChuo[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#NaniAliwahiKusomaNaFreeman[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAlifauluVipi[/HASHTAG]??

Tutakuwa tukipokea majibu na kulinganisha na uhalisia, mpaka pale hoja nzima itakapopata majibu. Usishangae kuona wafuasi wengi wakijaribu kukwepa hoja kwa kuleta matusi, mzaha na dhihaka. Wengine watasema weka wewe CV yako kwanza nk wavumilie maana huo ndiyo uwezo wao

INAENDELEA.....................
Magoiga SN-Mwanza
Mwenyekiti wa Muda-CCM Tawi la Mitandaoni
Kaomba kudahiliwa chuko kikuu?
 
Mimi nataka nijue historia ya ndoa ya baba jesca na mama jesca kama hutojali mkuu!
Kwa hiyo historia ya ndoa muhimu kuliko elimu? Pole sana kwa kushikiwa akili na Mbowe! tena amewaweza maana anawatumia anavyotaka!
 
Acheni unafiki wenu ninyi watu, mbona ninyi huwa mnahoji Phd ya Rais wetu mpendwa John Pombe Joseph Magufuli? Sasa na sisi tunataka kujua kiwango cha elimu cha Dj wenu Mbowe. Mleta mada umenifurahisha sana. Nikweli kabisa elimu ya Mbowe ni siri kubwa, but why?? Hii nchi bwana imejaa ujanja ujanja tu. Lakini ukweli utajulikana tu.
Kuna Tofauti ya Kujua kwamba flani amesoma na kujua mtu kwamba kweli ana PHD!!! Mbowe alisema ana elimu gani kwani? JPM ni Dr wa Falsafa,Je hiyo PHD ni ya kweli? Wewe unauliza Elimu ya mbowe na ndio maana tunakuuliza na wewe una elimu gani? Kwani Mbowe alisema ana elimu ya form four ,six,degree,masters,phd au prof?
 
Tuangalie zaidi Performance na cyo umiliki wa makaratasi yanayoitwa CV.NEWTON na ALBERT ENSTEIN Walifanya mambo makubwa sana na ya kukumbukwa vizazi na vizazi ktk Dunia hii japo elimu yao hata degree moja tu hawakuwa nayo, Tz tuna mtu tunayemuita kuwa ni msomi( PROF LIPUMBA) lkn mambo anayoyafanya ni ya kishenzi kiasi kwamba hata mtu wa darasa la saba hawezi kuyafanya.
Ndugu zangu haya makaratasi yanayoitwa Certificates tuwe nayo tu kadri kila mtu atakavyoona inafaa ila performance ya mtu katika Kazi yake ndo kitu cha muhimu zaidi.
SHIVIJI, LIPUMBA,MAGEMBE na KAPUYA Wote hawa ni ma Professor lkn performance zao zinatofautiana kwa kiasi kikubwa mno.
Uelewa wa mambo wa shivji uko juu mno ukilinganisha na ule wa LIPUMBA.
Kwa hiyo jamani tusipotoshwe na haya makaratasi.
Katika history ya Tanzania, kwa wenyeviti wa vyama vya siasa walioongoza vyama vyao kwa mafanikio makubwa ni NYERERE na MBOWE tu.Wenye timamu zao watakuwa wameelewa ila wale washabiki kamwe hawatakaa waelewe.
 
Back
Top Bottom