jesca ndio nani hebu twambie mbowe alisoma wapi???Mimi nataka nijue historia ya ndoa ya baba jesca na mama jesca kama hutojali mkuu!
jibu hoja mkuu sasa ile dhana ya wabunge kuwa na at least form four,ilikuwa ya nn ???CV ya mtu inakuhusu nini!? Mbona wenye phd walinunua mabehewa feki kivuko kibovu,ufisadi wote unafanywa na hao mnaowaita wasomi kama ni cv nenda katafute ya Ole sendeka kinana na wenzake
sina hakika kama Mbowe alipata zero , ila nnachojua alimaliza form 6 na aliajiriwa benki kuu iliyo chini ya serikali ya CCM kwa qualification ya form 6Ukiwa na zero ya form 6 ni sawa na aliyeishia form 4 tu. Na hapo bado hatujajuwa matokeo yale ya form 4.
Upo hapo ulipo?
thread ya ndagote ,ipo mzee jibu hoja ,mbowe alisoma wapi mkuu??Dangote anafunga kiwanda watu wanakosa ajira..wewe unaleta mambo ya elimu ya mtu huku itasaidia nini kwa mfano. Hao wenyewe PhD wanakusaidia nini labda mbona wengi tu alakini kilakitu ni mwendo kasi na on behalf of my self.
Acha izo bhana
elimu ya mbowe ,kama hujaelewa bado ,rudi shule ,utakuwa chizisijaelewa huu uzi unataka nini!?
sina hakika kama Mbowe alipata zero , ila nnachojua alimaliza form 6 na aliajiriwa benki kuu iliyo chini ya serikali ya CCM kwa qualification ya form 6
Kindly mkuu..Twambie usomi sospeter muhongo umesaidia nini maana mpaka dangote anafunga kiwanda kwa ajili take!
ElimuWewe achana na Mbowe, Malizeni kwanza madeni mnayodaiwa ya Tshirt na Kofia za kampeni, watu walikopa benki sasa mwaka mzima na ushee hiyo riba nani atacover kama si kufirisiana huku jamani.
Basi ndo nijuze ati,hapana hakuajiriwa na serikali ya CCM, aliajiriwa na mkwewe Mtei.
Kama hauna uhakika uliza upewe uhakika kabla hujaaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.
Weka CV hapa! Acha kuruka mkojo na kukanyaga ki#####Please be informed that elimu yake ni ya maana sana kuliko ile PHD ya Push ups...
Nilijua tuu mtaanza kuimba Taarabu...!CV ya mtu inakuhusu nini!? Mbona wenye phd walinunua mabehewa feki kivuko kibovu,ufisadi wote unafanywa na hao mnaowaita wasomi kama ni cv nenda katafute ya Ole sendeka kinana na wenzake




