martial arts
Senior Member
- Jun 26, 2014
- 191
- 100
kuna kabila gani hapa tz lenye wasichana warembo kama wachaga na wapare(kilimanjaro kiujumla)
kuna kabila gani hapa tz lenye wasichana wazuri kama wachaga na wapare(kilimanjaro kiujumla)
Mada za kibaguzi zimeanz..a
Nimezunguka Tanzania baraa aa sijawaona wasichana bomba aa wenye kujipamba wakapambika aax5
Uzuri wa msichana unaupimaje?
kuna kabila gani hapa tz lenye wasichana warembo kama wachaga na wapare(kilimanjaro kiujumla)
wazuri wa sura, ni zero kwa six by six.....
Kwanza utoe vigezo vya kumtambua huyo nsichana mzuri
kabila langu afu mi ndo mzuri na mrembo kuliko wooooote..........njoo