Siku hizi mnaoa wake au wapishi??
... wasichana wa mijini siku hizi NI HOVYO KABISA... balaa ukute ana ka gari weee... mbona wwnawake wenzie watamkoma... kumbe kanauza mbunye tu hata ugali hawezi pika... mbunye yenyewe chafuuuu.... kila kitu zero...maneno machafu..mwili mchafuu....sura chafuuuu....nguo hadi za ndani chafuu..... akili chafuuu..... BUT WACHEKI WANAVYOJIFANYA WAJUAJI.... hadi chupi hawana....
wtf....
Wanawazingua tu, hawa wanawake ni wapishi wazuri sana wa ugali, na jinsi walivyowabahili hivi! Ukiwakuta akina lara 1, Kaunga na King'asti wanakata bondo mpaka wewe mwenyewe hutaamini!
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman
Umenichekesha wewe! Ha ha haaaaaa!ugali kale kwenu........
Sifa ya mtu anayetaka kuwa mama budi ajue kupika. Kama kile anachofanya Mwanaume ndicho mke anataka kufanya basi hamna haja ya kuoa. Ndoa imara ni ile ambaye mke anajitambua kuwa ni mke na siyo model au pambo la nyumba. Tukiendelea kujiuliza maswali ya kijinga namna hii itafika mahali watasema SIKUOLEWA KUZAA ZAA.
Waambie kuchatt mh hapo balaa
ugali kale kwenu........
Na mda si mrefu watahitaji kusafishiwa mbunye
Husband hata kuusikia ugali hataki
Yeye wali wali na yeye
atakuwa mpogoro huyo!