petrinamwana
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 900
- 345
mhhho mbona mambo
c ndo hapo! Wanakaa kutusema tu! Oh kitandani zero,mapishi hamna ,hee! Kama unanipenda nifundishe hutaki UTAKULA WALI WA CHUYA!
Hivi nyinyi wanaume kwanini kila kitu unarefer kuolewa? acheni ubinafsi bhana, kwani mtu anatakiwa kufahamu vitu kwa sababu tu ya kuolewa? mbona nyinyi hamjifunzi vitu ili mkioa muwafurahishe wake zenu? huu ndo utumwa tusio utaka sisi. By theway, kama mkeo hajui kitu si umfundishe? sio rahisi kufahamu vitu vyote. na isitoshe kila mtu anapreference zake katika maisha, so inatekemea unaemwoa anaprefer nini katika maisha yake kama wewe ulivyo na preference zako.
Hahahaha kiboko yao waolewe na wakurya au wasukuma mbona watajua kuupika? Mwanamke jiko bwana, ujue mapishi ya bara na pwani, tena siku hizi tunaongezea na ya kiitaliano, kichina, kifaransa na mengineyo. Mwanamke wa ukweeee lazima ujue kulitawala jiko.........Hakuna mahali nilifundishwa kupika ila juhudi binafsi zimenifanya walau vyakula vya kitanzania niviwezee.
nendeni shule ya mapishi mbona mnakwenda driving schoolwewe unaona sawa mkikutana ndoani wewe hujui na mumeo hajui?
na mda si mrefu watahitaji kusafishiwa mbunye
hause girls tatizzo! wazazi tatizo!
house boys tatizo!
Kama hakuna ugumu kupika ugali si upike mwenyewe?
nendeni shule ya mapishi mbona mnakwenda driving school
hongera kwa hilo kwani umefanya vema ku declare interest yako kw umma, lakini wengine mpaka kukata kucha zake tu hawezi mpaka aweke kwa wale jamaa wa kitaa wamshugulikie.I like cooking na mojawapo ya vitu
nijuavyo kupika ni Ugali ingawa kula siupendi.....
Nakumbuka enzi mama angu ananifundisha kupika
ugali niliwahi kujua kuupika.......
hongera kwa hilo kwani umefanya vema ku declare interest yako kw umma, lakini wengine mpaka kukata kucha zake tu hawezi mpaka aweke kwa wale jamaa wa kitaa wamshugulikie.
Ukibishana na midada ya humu utapata tabu nataka kujua mama zao hawajui kupika? Mbona wanajua na wamesoma na wengine walikuwa mamodol wazuri tu eti yanajishauwa chipsi kuku ndio maana hamuwezi kudhibiti waume zenu kila siku mnalalamikia nyumba ndogo lazma ile kwenu tu hamjitambui, kazi ni kuweka makucha kama majini mume akienda pembeni kimepikwa na kinanukia akija hm kashima mana atakuta vituko mezani, jiangalieni msidhani ndoa za wazazi wetu zimedumu kwa sex tu
Ukibishana na midada ya humu utapata tabu nataka kujua mama zao hawajui kupika? Mbona wanajua na wamesoma na wengine walikuwa mamodol wazuri tu eti yanajishauwa chipsi kuku ndio maana hamuwezi kudhibiti waume zenu kila siku mnalalamikia nyumba ndogo lazma ile kwenu tu hamjitambui, kazi ni kuweka makucha kama majini mume akienda pembeni kimepikwa na kinanukia akija hm kashima mana atakuta vituko mezani, jiangalieni msidhani ndoa za wazazi wetu zimedumu kwa sex tu