Husband hata kuusikia ugali hataki
Yeye wali wali na yeye
hapwayi smtms?
Husband hata kuusikia ugali hataki
Yeye wali wali na yeye
Tuna kula chips kuku, kwanini tupike ugali? Halafu kusonga ugali inatoa viazi vya mikono......aaaagh
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman