Wasichana wasichana ugali tu

Wasichana wasichana ugali tu

kwani kupika mpaka ujue ugali? wote mnatakiwa mjue kupika sy mke tu acha ukandamizaji mke akiumwa unakula wapi?
 
wanaume bana!..
mnataka mwanamke awe mjuzi kunako chumbani
afahamu mapishi mbalimbali
awe msafi nyanja zote--asiachie housegal kufua nguo za mumewe
ajishughulishe..kipato nacho kimekua muhimu sana siku hizi
ajue kuwaheshimu,kuwanyenyekea
na mengine mengi..mnataka yote hayo,na yakipungua mnalalamika ''wanawake wa siku hizi''
hizo jitihada za kufanya hayo wanawake wanazifanya sana,lakini hamridhiki tuu
yani kikipungua kimoja tu apo mtalalamika wee,ivi nyie mnafanya jitihada zipi kua wakamilifu kwa hao mnaowapenda?
 
ha ha ha ha acheni uongo wadada wa mjini wanajua sana kupika ugali tatizo mda wajameni na sisi wadada tumekuwa watafutaji
 
mfundishe atajua........!!!!!!!!!!!
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman
 
Back
Top Bottom