Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Hivi nyinyi wanaume kwanini kila kitu unarefer kuolewa? acheni ubinafsi bhana, kwani mtu anatakiwa kufahamu vitu kwa sababu tu ya kuolewa? mbona nyinyi hamjifunzi vitu ili mkioa muwafurahishe wake zenu? huu ndo utumwa tusio utaka sisi. By theway, kama mkeo hajui kitu si umfundishe? sio rahisi kufahamu vitu vyote. na isitoshe kila mtu anapreference zake katika maisha, so inatekemea unaemwoa anaprefer nini katika maisha yake kama wewe ulivyo na preference zako.
Siku hizi mnaoa wake au wapishi??
Kama hakuna ugumu kupika ugali si upike mwenyewe?
ugal rahis sana kupika hata leo tu kama hujui kupika ukiamua kujifunza unaweza kua mpishi mzuri tu,ingekua pilau ama vyakula vingne vinavyohitaj process nying na ndefu sawa lakin ugal hata dakika tano haichukui oneni aibu kidogo
Tuna kula chips kuku, kwanini tupike ugali? Halafu kusonga ugali inatoa viazi vya mikono......aaaagh
mimi mwenyewe sijui kusonga ugali.lakini mahanjumati mengine mengi tu naweza.nilivyokuwa mdogo katika chakula nilichokuuwa sikipendi kilikuwa ugali,maybe imechangia.sie wa pwani ugali sio big deal.ukijua kupika maandazi,chapati,mikate ya ufuta,biriani,na mahanjumati mengineyo inatosha,na wewe mtoa mada kama mwenzako hajui si umfundishe?
Siku hizi mnaoa wake au wapishi??
Kama hakuna ugumu kupika ugali si upike mwenyewe?
correction.......mimi ni mke halali wa mtu na mume wangu si mpenzi sana wa ugali.....
I like cooking na mojawapo ya vitu
nijuavyo kupika ni Ugali ingawa kula siupendi.....
Nakumbuka enzi mama angu ananifundisha kupika
ugali niliwahi kujua kuupika.......
Big UP!!!!!
Baga ndo zinasababisha, japo nazo hawezi kuzitengeneza...Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman
Siku hizi mnaoa wake au wapishi??
Huyu mwanaume hajasema hajui kupika wala hajasema kupika ugali kuna ugumu. Ila kwa jinsi anayouona rahisi kupika ndicho kinachomshangaza kumwona Mwanamke asiyejua kuupika.
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman
... wasichana wa mijini siku hizi NI HOVYO KABISA... balaa ukute ana ka gari weee... mbona wwnawake wenzie watamkoma... kumbe kanauza mbunye tu hata ugali hawezi pika... mbunye yenyewe chafuuuu.... kila kitu zero...maneno machafu..mwili mchafuu....sura chafuuuu....nguo hadi za ndani chafuu..... akili chafuuu..... BUT WACHEKI WANAVYOJIFANYA WAJUAJI.... hadi chupi hawana....
wtf....