Wasichana katika chuo kikuu cha Ardhi wameendelea kuibuka vinara kwa ufaulu dhidi wavulana ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo jambo lililotajwa kuleta matumaini katika usawa wa kijinsia katika elimu ya juu.
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app