Ndo maana nikakuuliza kuna tatizo kwani? Snura kulia upweke na kutaka mwanaume kuna ubaya gani?Nimewaona wakihangaika kutafuta wanaume, kama Snura huoni anasema mwenyewe. Samahani kama na wewe ni mhanga wa hii hali maana inaweza isikupendeze. Wanaume wengi hawapendi wakuooe tayari una watoto wawili. Siyo mimi tu. Uliza humu ndani utapata jibu kama unafikiri ni mawazo yangu tu.
Ambao hawajaolewa mara nyingi wana vigezo vya wanaume ambao hawako duniani. Labda watakutana nao ahela. Kwa kawaida mwanamke hawezi kukosa mme ila jinsi alivyojiweka juu na wanaume kuwaacha chini.Uyo ni snura acheni habar zakuunganisha matukio,ndoa nimipango ya Mungu hakuna mwanamke anaeweza lazimisha aolewe na vilevile wapo wasio kuwa na watoto/mtoto nampaka leo hawajaolewa na umri wao umekwenda......sasa nao mtawaweka upande upi!!!!.
Nimekuelwa.Ambao hawajaolewa mara nyingi wana vigezo vya wanaume ambao hawako duniani. Labda watakutana nao ahela. Kwa kawaida mwanamke hawezi kukosa mme ila jinsi alivyojiweka juu na wanaume kuwaacha chini.
Asikuumize kichwa mtu wa aina hii,mwanaume mzima anasoma gazeti la udaku/risasi n anakuja post his opinion hapa abt women.. Tena a generalized opinion,.. Ye km nani..Inakera sana vile watanzania tunayachukulia maisha
Kama unalijua hilo basi acha kufatilia maisha ya wanawake, acha kuwahukumu, acha waishi maisha wanayoyaona yanawafaa.Ndivyo jamii ilivyo siyo vyote vitakupendeza.
Kwahio unataka kwny listi waweke kigezo cha mwanaume msoma magazeti ya udaku nini..haha SMH...Jiangalie kabla hujarushia mawe wengineAmbao hawajaolewa mara nyingi wana vigezo vya wanaume ambao hawako duniani. Labda watakutana nao ahela. Kwa kawaida mwanamke hawezi kukosa mme ila jinsi alivyojiweka juu na wanaume kuwaacha chini.
Hata mi nimeona hili tatizo la timing linawasumbua sana. Kuna wakati msichana anakuwa peak na wachumba wengi ila hili hushindwa kujua ndo muda wake. Baadae huja kujilaumu. Linalonishanganza hili hata uongee namna gani wataona kama porojo mpaka siku yuko kwenye hali ya kutaka kurudi nyuma lakini anajikuta hawezi. Najiuliza kwanini huwa huwajifunzi kutoka kwa wenzao waliowatangulia mpaka usubiri yakukute?Wanawake wanafikiria Kwa asilimia kubwa kutokana na hca zao za mda ,mazingira na nyakat huchelewa kujua usahihi wa maisha mapema
Na wewe utakua wale wale mleta mada anaowazungumzia! Ngoja jua lizame ndo utaelewa!Wewe umejuaje kama wanajidanganya?
Kuna ubaya mtu akichagua kuishi maisha fulani kwa wakati fulani?
Ndo wanaume wetu hawa. Kaazi kweli kweliAsikuumize kichwa mtu wa aina hii,mwanaume mzima anasoma gazeti la udaku/risasi n anakuja post his opinion hapa abt women.. Tena a generalized opinion,.. Ye km nani..
Mtoa mada grow up with the kind of readings you expose urself to kwanza.... Ukidhani some women are dreaming, kila siku people are actually achieving what they want in life..km mtu kakukataa hujafikia level zake jipange upya tu nadhani
Jua likizama nitakufata unioe....[emoji23]Na wewe utakua wale wale mleta mada anaowazungumzia! Ngoja jua lizame ndo utaelewa!
Single mother kapanic ameguswa na somo .....Kuna ubaya gani leo mtu akawa hataki kuolewa na kesho akataka kuolewa? Wewe huwa hubadilishi misimamo na mitazamo katika maisha yako?
Na hao wadada unaodai 'umeshuhudia' walikufata wakakwambia walidanganyika na umri?
Halafu usiwasemee wanaume wengine, jisemee wewe.
huyu hii mada inamuhusu ndio maana kawakaNimewaona wakihangaika kutafuta wanaume, kama Snura huoni anasema mwenyewe. Samahani kama na wewe ni mhanga wa hii hali maana inaweza isikupendeze. Wanaume wengi hawapendi wakuooe tayari una watoto wawili. Siyo mimi tu. Uliza humu ndani utapata jibu kama unafikiri ni mawazo yangu tu.
sasa kilichokufanya ulipuke na kumwaga povu utadhani mwanaharakati wa wajane ni nini?!Sipo upande wowote hapo