Tukishazipata hizo sample pia tutaestablish gharama kisha tutafanya cost sharing....huwezi jua na hata sample zaweza kuchangia gharama....
Yeah sure thing lakini sample tuziache kwanza tuangalie sisi wenyewe tunani mkononi Mimi nitaleta mvinyo bora lita tatu, na vitanda bora kabisa 6 kwa 6
Jamani kama kuna mwana-mmu aliyebatika kupewa neema kama hiyo tafadhali naomba anifate pm, au kama kuna mtu ana ndgu yake ana mwanya asiache kunijuza.
nimewaoja wengi sana wakina-dada wa namna hii ni watamuuuuuu, sijui nitumie lugha gani tu, ili nieleweke utamu unaopatika kwa wakinadada kama hawa.
View attachment 214285
subri niku pm, usije ukasema unajipendekeza. nitakueleza huko huko!!!!
kumbe wanawake wenye mwanya wana utamu wa tofauti eeh? basi namimi natafuta mke mwenye mwanya, awe mweupe kiasi & mrefu kiasi. ANGALIZO: mimi sio muonjaji kama Bush land, mimi ni muoaji kabisa. teh teh teh. kichunafk wangu usiwaze, wewe utaendelea kuwa nyumba kubwa with all due respect & huduma mpaka kifo kitapotutenganisha.
CC to my sweet dada Evelyn Salt
huyo mwenye mwanya ntamuongezea mwanya kwa kipigo ntachompatia.
Mie nakaba kote, nyumba kubwa na mchepuko
Uchaguzi aiseeee
hahahaa, nami napenda ukabe hivyo hivyo mwanzo mwisho, ndo raha yangu mie. Ila upunguze wivu, usije ukaua mtu kwa kipigo. Haya nimeghaili kutafuta mwenye mwanya. wewe ni AIRTEL kwangu, a.k.a YATOSHA! apo vipi mke. :teeth:
uuuhhhh, nahisi naelea kwa air yaani.
Chezea yatosha wewe
unatamani urudi tena mdogo hapo, lakini waweza kuutengeneza...!Nilipokuwa mdogo nlikuwa nao baada ya kung'oa meno ukapotea loh
unatamani urudi tena mdogo hapo, lakini waweza kuutengeneza...!