King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Ndugu, mihangaiko ya maisha ni tofauti na yua kwako. Mihangaiko yako ni ya masomo, amin amin nakuambia, mihangaiko yako ya masomo ni myepesi sana kuliko ya maisha. Ukimaliza chuo ndo utaelewa povu la wana-jf dhidi ya jk na sirikali yake!
Duuh?Huu ubize alafu mavuno hafifu,eti sijasikia hicho kisa akati nipo hall 2,mihangaiko ya maisha inatufanya kukosa news..Sasa mkuu huyo Mshikaji amefariki?Nijuze tafadhali.