Habari za muda huu wanajamvi
Nikijielekeza kwenye mada, nimekuwa nikisikiliza Clouds na hii bahati nasibu Yao Kwa kila kipindi.
Changamoto ninayoiona hapo ni kwenye kupatikana Kwa mshindi na kumtangaza, ambapo mshindi huwa anatajwa Kwa namba chache za mwanzo au za Mwisho.
Sasa najiuliza, mbona bahati nasibu nyingine zinazochezeshwa kwenye TV huwa namba za washindi zinaonekana zote? Kwanini wao wanapata kigugumuzi kutaja namba Kamili za washindi.
Au washindi hao huwa ni WA michongo pia,hivyo wanaogopa wasijulikane?
Nikijielekeza kwenye mada, nimekuwa nikisikiliza Clouds na hii bahati nasibu Yao Kwa kila kipindi.
Changamoto ninayoiona hapo ni kwenye kupatikana Kwa mshindi na kumtangaza, ambapo mshindi huwa anatajwa Kwa namba chache za mwanzo au za Mwisho.
Sasa najiuliza, mbona bahati nasibu nyingine zinazochezeshwa kwenye TV huwa namba za washindi zinaonekana zote? Kwanini wao wanapata kigugumuzi kutaja namba Kamili za washindi.
Au washindi hao huwa ni WA michongo pia,hivyo wanaogopa wasijulikane?