sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.
Wasanii wa bongo na classic songs
- Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
- Mbosso - Nadekezwa
- Rayvanny ft Zuchu - Number one
- Zuchu- Nisamehe
- Ali Kiba - Mack Muga
- Prof Jay - Piga makofi
- Lady Jaydee - Machozi
- Mwana Fa - Mabinti
- Mandojo& Domokaya - Wanoknok
- Mpenzi - Dudubaya
- Nenda - Macvoice
- Kazi yake mola - Madee
- Tutakukumbuka - Crazy GK