Wasanii wa Bongo waliofanikiwa kutengeneza Classic songs

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,522
7,370
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic. Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka. Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs
  • Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
  • Mbosso - Nadekezwa
  • Rayvanny ft Zuchu - Number one
  • Zuchu- Nisamehe
  • Ali Kiba - Mack Muga
  • Prof Jay - Piga makofi
  • Lady Jaydee - Machozi
  • Mwana Fa - Mabinti
  • Mandojo& Domokaya - Wanoknok
  • Mpenzi - Dudubaya
  • Nenda - Macvoice
  • Kazi yake mola - Madee
  • Tutakukumbuka - Crazy GK
 
Hujielewi wewe.
Unaleta watoto wakina zuchu na mac voice? Are you serious bro? Au unaleta uchawa wa wcb?
Classic inatengenezwa na yoyote awa unaoona watoto wameshafanya makubwa kuliko your favourite artists
 
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic.

Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka.

Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs

Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
Mbosso - Nadekezwa
Rayvanny ft Zuchu - Number one
Zuchu- Nisamehe
Ali Kiba - Mack Muga
Prof Jay - Piga makofi
Lady Jaydee - Machozi
Mwana Fa - Mabinti
Mandojo& Domokaya - Wanoknok
Mpenzi - Dudubaya
Nenda - Macvoice
Kazi yake mola - Madee
Tutakukumbuka - Crazy GK

Juma nature - Kamanda
 
"Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka."

Nimejaribu kunukuu maneno yako.

Zuchu
Mac voice
Mbosso
RayVan

Hawa Vijana hawana hata 10yrs kwenye game umejuaje nyimbo zao ni Classic,

Ili nyimbo iwe classic inabd ipite Generation zaidi ya Moja.
 
Ni wasanii wachache sana bongo waliofanikiwa kutengeneza nyimbo ambazo ni classic.

Classic ni zile nyimbo zenye uhai mrefu na uzuri wake uwa haupotei miaka na miaka.

Sio kila hit song ni classic.

Billie Jean ya Wacko jacko ni classic, happy birthday ya Steve Wonder ni classic.

Wasanii wa bongo na classic songs

Diamond Platnumz - Lala salama, Ukimwona, Kesho.
Mbosso - Nadekezwa
Rayvanny ft Zuchu - Number one
Zuchu- Nisamehe
Ali Kiba - Mack Muga
Prof Jay - Piga makofi
Lady Jaydee - Machozi
Mwana Fa - Mabinti
Mandojo& Domokaya - Wanoknok
Mpenzi - Dudubaya
Nenda - Macvoice
Kazi yake mola - Madee
Tutakukumbuka - Crazy GK
Wewe una miaka kumi na ngapi?
 
Nipo radhi-banana zorro

Alikiba-mwana

Kassim mganga-somo,awena

Ben paul-nikikupata

Ray c- mapenzi matamu

Rame dee-kipendacho roho

Dully-sikufahamu

Lady j dee-ule wasibabaishwi na sura

Harmonise-Matatizo

Gozbert-nimesamehe
 
Back
Top Bottom