Kila msanii anaweza kuwa msomi lakini siyo kila msomi anaweza kuwa msanii,hii ni kwa sababu elimu unaipota darasani lakini usanii unazaliwa nao na unakwenda kusomea sanaa kama sehemu ya kuongezea nyenzo za sanaa yako.
Ipo hivi,mtu kuwa msanii haimaanishi kuwa siyo msami landa kama tu ulikuwa ufahamu ipo hivi,Mwalimu Nyerer alikuw ana kipaji cha sanaa ya uandishi wa mashairi na leo ni mtu muhimu katika bara la Afrika,meya wa kwanza muafrika Kaluta Abeidi alikuwa na kipawa cha kuandika mashairi lakini alivunja rekodi kubwa ya uongozi Tanganyika na hata Afrika.
Kaa uelewa kuwa uongozi siyo elimu,uongozi ni kipawa kingine,hata usomi mpaka mwalimu akimbie na ubao kama hauna kipawa cha kuwea kiongozi hata upewe uongozi wa ubalozi wa nyumba kumi utafeli kuongoza
Heshimu sanaa acha kukariri maisha.