"mtu akijua kuwa una akili timamu na zakutosha akakuambia upuuzi na ukaukubali..atakudharau sana milele na milele ameen"....(haya maneno aliyasema hayati mwl. J.k. Nyerere)
ruge akijua mwanamziki wa bongofleva una akili...akakuambia upuuzi (wa kufanya shoo ulipwe tsh 100,000/- wakati dmx analipwa usd 300,000 (tshs 500,000,000/=) ukakubali..ruge atawadharau sanaaa milele na milele ...ameeen
Unashangaa afande sele, alitukanwa prof jay kama mtoto na dada b 12 kisa alichelewa basi wakati wanaenda show ya fiesta mbeya na jay akakaa kimya ka cameroon wasanii wa kibongo aibu tupu utaumiza kichwa kuwapigania wakat wao wenyew hawajui thamn yao
You nailed man......nimeamini wasanii ni sikio la kufa.......Mheshimiwa sana Bob Marley alishasema katika wimbo wake wa ukombozi (Redemption song) kwamba "Emancipate yourselves from mental slavery...none but ourselves can free our mind!
dj fetty alishamponda sana afande sele na kumwambia kuwa eti ajui kuvaa,maneno kibao aliongea juzi wamempa airtime kalapina naye anamponda sugu anasema yeye(kalapina)ndio mwasisi wa hip hop sasa hii kitu mbona kichekesho sana who cares? Umeongea point sana tatizo ni njaa za wasanii mtu kalapina kuna kipindi aliazisha hizi harakati ambazo sugu amezianzisha tena lakini alishindwa clouds wanamwita wanampa airtime kwa radio yao anaongea ujinga na kuwaponda wasanii wenzake.
Kazi ipo, hii vita nani atakuwa starring? Yangu majicho.
hah! We mgeni nn apa tanzania.kwa taarifa huyu dovoo ni mwanachama hai wa cuf na alishawahi kugombea udiwan akachemka baada ya wananchi kumtambua ni msalit mnafki,abcd za cuf unazijua nadhan so usishangae ya pina wakat ya cuf unayajua kaka
Huyu Ruge sijui ni mtu wa aina gani! Huwa ana bifu za kipuuzi sana,nafikiri mtu ambaye hajakosana nae ni Kusaga tu kwavile ni boss wake! Anapenda u king maker! Kibaya kitachokuja kumponza na hata kusaga kitamgusa ni kujiingiza kwenye siasa bora walivyokuwa wanachukuliwa mwanzo kama watu wa burudani wasio na ushabiki wa vyama.kokote duniani unapohusisha bness yako na siasa lazima hiyo siasa ikumalize once! Ruge anapenda sana visasi akigombana na mtu tena bness issues! Siasa zake anazipenyeza hadi kwa maofisa mahusiano wa makampuni makubwa! Mvuto wa Clouds unashuka kwa kasi kubwa,ingawa pengine mapato yanaongezeka lakini ni sababu ya goodwill waliyoipata siku nyingi kidogo ambayo nayo itakufa! Ile Tv yao bado wanasafari ndefu sana.Choice ndio inayokua sasa sababu ipo neutral na siasa na ndio kama Clouds ya zamani yaani imekaa kiburudani zaidi.Rugd acha fitina za kipuuzi na kujihusha na siasa chafu bila kusoma alama za nyakati ambapo vijana wengi mnaodili nao wanataka mabadiliko kisiasa na uchumi!Nakumbuka Dudu Baya,Chidi Benzi,TID walilazimishwa kuomba radhi Clouds wakati hata kosa halijui.Chidi na Dudu Baya waliambiwa wakorofi.Kitendo alichofanya Afande Sele ndio nimegundua kwamba njaa zitawaua wasanii wa bongo