Wasafi TV wana shida gani?

Wasafi TV wana shida gani?

Sikumbuki mara ya mwisho kutune ilikuwa lini. Sijawahi tune na kuangalia zaidi ya dk 10
 
Mimi sio muangaliaji wa TV hiyo,kuna siku nilienda kwa jamaa yangu nikakuta wanaangalia Wasafi TV,tena kipindi hiko hiko cha Story book na walikuwa wanaongelea kuhusu WORMHOLE....sasa cha kusikitisha huyo host ambaye anajiita profesa alikuwa na ubao na chaki,katika uchambuzi wake wa hilo jambo akachukua chaki akaandika ubaoni WORMHALL..nikasema huyu anafafanua kuhusu wormhole kwenye TV lakini yeye mwenyewe hajui inaandikwaje,pili kipindi kina timu kubwa sana ya maandalizi,mpaka kinaruka hewani hakuna hata mtu mmoja aliyegundua profesa wao kakosea kuandika neno wormhole.
duh!! hi ni hatari
 
Jana majira Kama ya saa mbili usiku niliwasha Tv nikaamua kuweka wasafi Tv niangalie maudhui yao nikakutana na kipindi kimoja kimeunganishwa Live wasafi Radio watangazaji wamevaa t-shirts za zambarau alafu wako wengi sana studio na kila mtu anaongea lake bila kupeana nafasi nikajikuta ndani ya dakika 15 kipind kinaniongezea hasira na stress tu maana ni kelele Kama wako sokoni sijui hata Kama wana usimamizi sahihi wale nikabadili channel Wala hata sitamani kuwafatilia maana hiii Ni Mara ya tatu nakutana na vitu vya hovyo kila nikiweka hiyo channel
live mkuu,tena ukkuta wana tangaza yale ma kamali yao na washindi wa mchongo yani wana boa kinoma
 
Ni cha septemba 9 sio kilichoruka leo,
Kuna baadhi yaliyoongelewa si ya kweli
Uzuri profesa alisema inasemekana
Wamekuwa waungwana sana kuomba Radhi huu ndio weledi wa kazi.
 
Japo wametoa lakini nahitaji watulipe fidia kwani mimi ni miongoni mwa jamii hiyo kwa kweli wametuzalilisha
 
Back
Top Bottom