Wasabato ni genge la wahuni,wana mambo kama ya kiislam,eti elen g white ndie nabii wa mwisho kama mtume alivyo wa mwisho. Kwao mtu yeyote anaeitwa nabii baada ya white ni wa uongo, hawasomi biblia,wanasoma vitabu vya nabii white aliyewahi kusema watu weusi ni zao la shetani.
Wafuasi wa elen g white na wafuasi wa mtume wote akili yao ni moja.
Wasabato ni genge la wahuni,wana mambo kama ya kiislam,eti elen g white ndie nabii wa mwisho kama mtume alivyo wa mwisho. Kwao mtu yeyote anaeitwa nabii baada ya white ni wa uongo, hawasomi biblia,wanasoma vitabu vya nabii white aliyewahi kusema watu weusi ni zao la shetani.
Wafuasi wa elen g white na wafuasi wa mtume wote akili yao ni moja.
oooh! Renegade na Kaunga, wasabato hawachukii watu wa imani nyingine ila wanasoma na kuelekeza kwa mujibu wa biblia. Hebu angalia ujumbe huu katika biblia, si hata romani wanatumia biblia jamani na walokole? sasa fungu hili mnalisemaje wapendwa?hivi hii ni chuki kweli?? tusome pamoja hapa.....
Isaya 56:1....... "Bwana asema hivi, Shikeni hukumu, mkatende haki;kwa maana wokovu wangu u karibu kuja, na haki yangu kufunuliwa. Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikae sana; azishikaye sabato asizivunje,......" soma na tafakari hiyo Isaya 56 yote utaelewa! Karibuni kumtukuza Mungu wa kweli wala hapana chuki hapa, tunaeleweshana tu!
Mkuu Nafikiri mpk hapa swala la kunena kwa lugha litakua limeeleweka! Na bilashaka Hawa wenzetu walokole wameujua ukweli Leo!
Ndugu zangu wasabato.Msijenge imani yetu tu kwenye muujiza wa kufasiri.1korintho,14;2 iinasema hivi.maana yeye anaenaye kwa lugha hasemi watu bali na Mungu maana hakuna asikiaye.but anena mambo ya siri ktk roho yake.Marko 16:17 inaelekeza ishara za mtu aliyeokoka na kunena kwa lugha mpya.Nilisha waambia wasabato hawawezi kuyajua haya maana hawana Roho Mtakatifu ambae ni mwalimu wa maandiko.Rejeeni.yani ninyi akikosekana wa kutafsiri ni Roho chafu. Tubuni maana mnamkufuru Roho mtakatifu.
1.Romans:14:5-6
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=137109&d=1391510512
[SUP]5 [/SUP]One person considers one day more sacred than another; another considers every day alike. Each of them should be fully convinced in their own mind. [SUP]6 [/SUP]Whoever regards one day as special does so to the Lord. Whoever eats meat does so to the Lord, for they give thanks to God; and whoever abstains does so to the Lord and gives thanks to God.
2.Colossians:2:16-17
[SUP]16 [/SUP]Let no man therefore judge you in meat, or in drink, or in respect of an holyday, or of the new moon, or of the sabbath days:
[SUP]17 [/SUP]Which are a shadow of things to come; but the body is of Christ.
3.Galatians:4:9-10
9. But now that you know God--or rather are known by God--how is it that you are turning back to those weak and miserable principles? Do you wish to be enslaved by them all over again? 10 You are observing special days and months and seasons and years!
Mkuu kaka km karibu sn Ktk Uzi huu!
Naona tangu December last year tukutane Ktk Uzi wako Wa Mama white mpk Leo ndo twakutana tena!
Una hoja gani Leo Mkuu!
Maana hapa hatuongei kwa maneno tu Bali na ushahidi tosha Wa maandiko!
Kwa mfano!
Mimi naweza sema sabato ni utakaso na nikakupa kifungu km hichi
Moreover I also gave them my Sabbaths to be a sign between them and me, that they might know that I am the Lord who sanctifies them. Ezekiel 20:12
Kwahiyo sabato ni dalili ya utakaso! Sasa km unaipinga utapata vipi huo utakaso?
Kweli naona somo la leo limekwenda vizuri, Mungu awabariki wote waliohusika katika kujifunza somo hili leo. Rosemarie amesaidia sana katika kuhakikisha ujumbe huu unawapata watu wengine wengi ambao hawakuwa wamesikiliza radio morning star. Jamani mbarikiwe sana na kama kuna hoja kama hizi twende tu kwa maandiko tutaelewana. Mods pia wabarikiwe kwa kutoondoa uzi huu mapema!
Huu ugomvi wa mama mmoja yaani ndugu wa tumbo moja yaani toka Uzao wa Isaka mpaka Yesu mnazareth sasa nitashangaa kama wale pimbi wa Saudia wataingilia mjadala huu.
Huu ugomvi wa mama mmoja yaani ndugu wa tumbo moja yaani toka Uzao wa Isaka mpaka Yesu mnazareth sasa nitashangaa kama wale pimbi wa Saudia wataingilia mjadala huu.
Mkuu nipo,dah!unanikumbuka sana bwana Ntuzu,ni muda sana mkuu. Nakuelewa bwana Ntuzu,leo mimi ni mtazamaji tuuu mda mwingi,nadhani niwaache muendelee na mjadala mkuu ntuzu,au wewe unasemaje mkuu. Mjadala mzuri.
pimbi mwenyewe, ingekuwa ugomvi wenyewe atapatikana mshindi na kukubaliana ingekuwa sawa, lakini mabishano ya kidini hayanaga mshindi hata siku moja, mtabishana wee mwisho wa siku kila mtu atabaki na lake, zaid mtakuwa mnaendelea kuchochea uhasama.
Mkuu mbona maandiko yenyewe yanajitosheleza!! au wewe ulitaka yawe na maana gani tofauti na Hiyo?Mkuu Ktk haya maandiko una Maana gani? Ebu fafanua kile ulichokusudia Ili tuweze kukuelewa!
Ellen G.White: Alisema wapi kwamba watu weusi ni zao la shetani ni kitabu gani muheshiwa?? Acha kudanganya watu mchana kweupe wewe.
Mkuu nakukumbuka sn ndugu yng!
Kiukweli mjadala ni mzuri! Hizi ni changamoto ambazo tumekua tunakutana nazo Ktk maisha yetu ya kila Siku! Lkn pia tunajifunza mambo mengi Ktk ulimwengu huu!
Mi ningependa uwepo wako Mkuu hasa Ktk hoja yako ya mama White au hii ya kunena kwa lugha, km utapenda unaweza ukajumuika nasi na mimi na wenzangu ambao tu wasabato na ata wasio wasabato tukaweza kukujibu!
Au km hauko na muda au unapenda tu kusoma hoja mbalimbali karibu sn Mkuu!
Mkuu mbona maandiko yenyewe yanajitosheleza!! au wewe ulitaka yawe na maana gani?
Sorry Ameline netwk inanisumbua sana kufungua ninapoquote mtu; then here we go!!
Wasabato hawajisumbui na pete za ndoa kwa sababu hazina andiko lolote katika biblia. Mambo yanayofanyika pale katika ufungishaji wa ndoa yanafanyika kwa msingi wa maandiko. So usijetegemea kumsikia Mchungaji wa Kisabato anaitisha kuvishana pete pale madhabahuni maana hazina maana yoyote katika msingi wa ndoa takatifu! Fika pale kanisani ujifunze zaidi kila Sabato. Kuna vipindi vizuri vya kuuliza maswali ya namna hii kila Sabato kuanzia saa 4.00 hadi 4:45 na majibu yanatolewa pale!
Shukrani sana mkuu Ntuzu,mbarikiwe sana,leo ngoja niwe mtazamaji,siko kwenye mood nzuri mkuu. Ila mjadala wenyewe uko poa,unanifundisha mambo mengi hapa. Nawatakia kila la heri Bwana Ntuzu na wenzako,ombi langu kwa mods wawaache mpigane msasa.
Watakuwa wanalinda interest zao..Mimi niliwahi sema, wasabato wanawachukia wakatoliki kuliko hata shetani mwenyewe. Kumbe wanawachukia na walokole pia.