Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.

Hiyo hiyo Biblia inasema hivi hivi kuhusu amri. Amri zinatumika mfano wa kioo, kwa zenyewe hata zijapoona udhaifu katika uso wa anayejitazama kwa hizo, hawezi kujisafisha. kwa hiyo sheria zinaonyesha kosa, lakini hazina uwezo wa kuondoa kosa. Na anaposema mkiongozwa na roho hampo tena chini ya sheria anamaanisha kwamba, Roho hutoa nguvu ya kushika sheria na hivyo hauwezi ukawa mhukumiwa na hizo sheria maana unazifuata kama inavyoelekezwa.
 


rosemaria acha kupanic relaax, HAya mambo yanamwenyewe anaitwa Yesu. Unawazo zuri lakini mawazo yako yanaonekana umechukia na unahasira na hawa watu. Hata wakristo wa zamani walipishana ila walibishana kwa hoja hadi wakaelewana.

nimeipenda signature yako lakini
 

Kwan roho mtakatifu ndio nani haswa?
 
Niko kazini sina Biblia hapa karibu ila kama wewe ni msomaji wa Biblia jaribu kuangalia 1 corinth

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hapana, Naona Mungu amekubariki una simu nzuri tu na unaingia kwenye mtandao, kwa nini usiangalie tu hapo ukairusha hewani ili tuifanyie kazi mpendwa? Angalia comments zangu zinaenda na ushahidi wa kile ninachokisema mimi!
 
Dada Rose soma vizuri biblia vizuri Mitume walinena kwa lugha zinazoeleweka pia mwöngozo wa kunena kwa lugha dada
 

Labda lugha ambazo huwa wananena ni za asili...!! Niliwahi hudhuria kanisa moja la kilolkole na mnenaji mmoja alikuwa anaongea lugha ya kwetu kiufasaha kabisa.
 
Wasabato si ndo wale wanaotaka kwenda marejani kuhubiri bila visa,pasport tena bila nauli.?

Kanisa la kweli ni katoliki tu,mengine makelele tu.
La kweli katika mtizamo upi? kama ni katika Biblia nakupinga, ila kwa mafundisho yanayopingana na bible hapo sawa. Kwa hiyo bila chenga nasema kanisa la katoliki ni la kweli katika kufundisha uongo.
 
Niko kazini sina Biblia hapa karibu ila kama wewe ni msomaji wa Biblia jaribu kuangalia 1 corinth

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums



Nikusaidie Mkuu

Ni 1 corinthians 14:1-40 Lkn Bado inasisitiza kufasiriwa kwa lugha hasa ule Mstari Wa 26,27,28. Ili Watu wengine waelewe! Na hapa kinachozungumziwa ni lugha mbalimbali Ktk ufundishaji au upelekaji Wa habari njema!
 

Kwa kwa kwa kwa....Aisee...Ngoja nikae kimya hapa maanaaaa!!!!
 
Kwan roho mtakatifu ndio nani haswa?

Roho mtakatifu ni nafsi ya tatu katika uungu(sorry maana wewe huamini katika trinity). Ni mmoja katika kutenda na Mungu baba pamoja na Mungu mwana. Yesu akikaribia kumaliza safari yake hapa duniani aliacha ahadi kwamba Nitamwomba Baba naye atawapa msaidizi(huyo roho mtakatifu), atauaminisha ulimwengu katika habari ya DHAMBI, HAKI na HUKUMU. Swali zaidi kama lipo.
 
Hapana, Naona Mungu amekubariki una simu nzuri tu na unaingia kwenye mtandao, kwa nini usiangalie tu hapo ukairusha hewani ili tuifanyie kazi mpendwa? Angalia comments zangu zinaenda na ushahidi wa kile ninachokisema mimi!



Mkuu tayari nimeshamsaidia ni Wakoritho Wa kwanza 14 yote! Lkn Hana cha kujitetea Ktk Hilo!
 
Ni rahisi sana kama mtu ameamua kumuelewa.



Nimehisi Mkuu watu8 labda ako na hoja nzuri! Nimemuomba aje atuambie huo ugumu uko wapi? Wakati Yesu anasema Sheria zake si nzito?!!!

Mkuu Ebu Rudi tuone hoja yako tujifunze wote!
 
Last edited by a moderator:
Mimi niliwahi sema, wasabato wanawachukia wakatoliki kuliko hata shetani mwenyewe. Kumbe wanawachukia na walokole pia.
Wasabato wanawachukia wote ambao sio wasabato, na wanaamini kuwa wakristo wengine hawataweza kwenda mbinguni isipokuwa wasabato.
 
Labda lugha ambazo huwa wananena ni za asili...!! Niliwahi hudhuria kanisa moja la kilolkole na mnenaji mmoja alikuwa anaongea lugha ya kwetu kiufasaha kabisa.



Je Ktk maombi hakuna mazogo km Watu waliopagawa?
 
La kweli katika mtizamo upi? kama ni katika Biblia nakupinga, ila kwa mafundisho yanayopingana na bible hapo sawa. Kwa hiyo bila chenga nasema kanisa la katoliki ni la kweli katika kufundisha uongo.

Leo siko katika moody....

xxxxxx Mangwarung'waru xxxxxxxx
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…