Hongera kwa namna unavochunguza maandiko amelina nimependa sana hii. iko hivi:
Pete inayoongelewa hapa siyo hiyo ya kidoleni. Hii ni pete wanazovishwa wanyama kwenye pua zao na kunakuwa na kamba ambayo mpandaji wa huyo mnyama anapoivuta basi mnyama anasikia maumivu na kukimbia sana au anelekea kule bwana wake anapotaka aende.(biblia ya kingereza imeeleza vizuri)
" So it was, when the camels had finished drinking, that the man took a golden nose ring weighing half a shekel, and two bracelets for her wrists weighing ten shekels of gold,..."
Sasa lengo la huyu mtu aliyetumwa kutafuta mwanamke kwa ajili ya mtoto wa Ibrahimu (Isaka) kumbuka aliweka ahadi/maombi namna ya kumpata binti bikra na Mungu akamwahidi kumsaidia. Hivyo alipoona ishara alizoomba zimetimia alimpa vile vitu ili asije kumsahau au kumpoteza ujue walikuwa wakienda warembo wengi tu pale kisimani nyakati zile alizoenda pale.(soma hiyo Mwanzo 24 yote).
Sgjmjt kaq sholind kamiwomi shugq ndigmbo hkhg tiko tiko tungulu wo! Wo! Puk.shanda baba korooro! Ameeeen! Ndio maombi gani hayaaaaaaaaa!
Ukiangalia Agano la kale hata Waislam wanazungumzia yaliyomo, ukiona jinsi msisitizo wa ufuataji wa sheria ulivyo kwa Waislam hata Wasabato ni hivyo hivyo, wasabato si wakristo! kama watasema wanamkiri kristo hata Waislam wanamkubali (Nabii Issa). Acha kuvutiwa na upande mwingine, wala usisikilize maongezi yao kwa kuwa ni shetani. Yesu aliahidi kuleta msaidizi hakuahidi kutukuza Sabato kwa kuwa alijua ukiongozwa na roho mtakatifu umewekwa huru kwelikweli wala hufungwi na sheria utakuwa mtenda mema na mcha MUNGU si wa unafiki bali wa kweli. Siku imewekwa na wanandamu kuitwa jumamosi au jumapili lakini roho mtakatifu imewekwa na MUNGU mwenyewe kupitia ahadi ya YESU KRISTO mfufuka. Waache wadanganyane kwa kufuata maneno ya aliyeingiwa na pepo Ellen G. White. MUNGU akufungue macho ya Rohoni uweze kutambua ukweli wake.
Mkuu kuna lugha za wanadamu na za malaika 1kor 13:1. Sasa Roho mt anenaye kwa ajili ya kuijenga nafsi ya mtu mmoja unataka aongee kisw au kiingereza ndipo ujue kua mtu ananena.Paulo amefafanua vizuri kuwa kama uko ujumbe wa watu wote utafsiriwe.Naam sihitaji uhame hiyo sabato but ufahamu siri ya Roho mt usijawe na mafundisho yakimapokeo.
Lengo la mabandiko kama haya ni nini hasa?
.
.
.
Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.
Wasabato ni sawa na Mafarisayo...
Mm sio msabato ila nakushaur usisome biblia kama gazet ama kitabu cha shigongo.soma tafakar na kuelewa
Wapi umesikia wakatoliki wananena kwa lugha ficha upumbavu wako...Nikiwa nasoma seminari flani ya Kilutherani alikuja mchungaji wa kike wa kilokole, alikuwa ananakorokocha hivi:
Sinda kala, rinda kala, kaka nalo saika....
Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.
Wapi umesikia wakatoliki wananena kwa lugha ficha upumbavu wako...
Msabato hana upendo na dini yeyote ile ndo maana ukisoma kwenye chuo chao wanawalazimisha watu wote kusal sabato na kukashfu madheheb mengne wakiwa wanahubir.mi si washangai kwa hlo.huwa wanaona wakombinguni. Niher uish na mtu ambae hajui mlango wakanisa lolote wala msikit kuliko msabato. Msabato ni kero na nikikwazo ogooa mtu anaependa kuone wengne anamatatzo yeye pekeake ndo yupi sawa
Pete asili yake ilikuwa ishara kwa mtu aliyebakwa kabla ya ndoa ama mwanaume aliyeingiliwa kinyume.Ni kama leo unavyoona wanaume wanavaa Hereni tunashangaa lakini usishangae vizazi vijavyo wakawa wanavalishwa kanisani kama ishara ya ndoa.Haya mambo tunayaiga tu ulaya bila kujua asili yake nini!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums