Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

Mmmmmh ni Wasabato tu? Na wale wa Ijumaa? 😛eep::lock1::behindsofa:
 
Nimekuuliza kwanza unijibu Wewe! Km huns Jibu ndio uulize swali lako!

Nakuuliza Ni wapi ktk maandiko kumeruhusu kusuka? Km huna Jibu sema sina Jibu nikujibu swali lako! Sawa Remote?

Kwenye Biblia wapi imeamdikwa kuvaa suti na Tai, kuendesha gari, kunyoa nywele, kula na kijiko.....Mkuu ukitaka kuuliza maswali ya kishe.nzi kama haya hatutapata muafaka....

Hizo ni taratibu za kanisa lenu..
 
yah..masabato. masabato masalia .. mie nilisha-reach enlightment , I'm free from your exported arranged religions.


Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes! Proverbs 26:5.

Unataka tukujibu kutokana na kanuni ya maandiko inavyosema?
 
Mkuu hiyo ni historia na dunia haita isahau kamwe....

Soma hicho kitabu cha "The four Cult"


Ellen G White hausiki na iko wazi tu Kua bwana Miller ndio anahusika!
 
Hivi kuna dini inaruhusu ulevi? Na kama ipo inaruhusu kwa mujibu wa andiko lipi? Msaada tafadhali
 
Kwenye Biblia wapi imeamdikwa kuvaa suti na Tai, kuendesha gari, kunyoa nywele, kula na kijiko.....Mkuu ukitaka kuuliza maswali ya kishe.nzi kama haya hatutapata muafaka....

Hizo ni taratibu za kanisa lenu..


Mkuu mbona unaongea sn?

Unafahamu biblia inazungumza juu ya maarifa kuongezeka? Sasa Km maarifa kuongezeka hakuna shida kuendesha Gari? Kusafiri kwa huko na huko kwa haraka! Hoja hapa jee wasabato kwa kutokuruhusu kusuka nywele wanakosea?
 
kila wazo na kila tendo litaletwa hukumun (beer & liquor drinking). ombi langu kwa Mungu wangu ni kuwa alie post hii post, ajue side effects za pombe, ili ajisalimishe miguun pa Yesu. kwa Neema ya Yesu @ the end of this year atakuwa shemas wa kanisa la SDA.. karibu kwenye shule ya 7to, karibu kusikiliza nyimbo za wa7to

Unajua the four Cult Religion..
 
Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes! Proverbs 26:5.

Unataka tukujibu kutokana na kanuni ya maandiko inavyosema?
Uko na nani unataka kunijibu? sasa wewe ushaufunua upumbavu wako tayari..
 
Kimsingi unachangia ili kufanikisha malengo na mapendekezo ya harusi kwa mujibu ya wenye harusi walivyopanga na sio kwa ajili nyingine. Labda ilitakiwa ujue unachanga mahali ambapo pombe hakuna ili uwe na hiari.

Sawa kabisa mkuu. Huu utamaduni wa mtu kutaka ashibe na kunywa sana, eti kwa vile alichanga, ni tenge. Harusi zetu Tanzania zinashupalia mno chakula na vinywaji!
 
Ulitakiwa kujibu swali kwanza kama ni kabila ama siyo kabila ndo uanze kutapika na kuhara kama ulivyojitapikia.

Ebo we punguani nini.....Hilo ndo jibu lililojotosheleza.......

SDA ni dhehebu la Mwanamke Hellen G. White...
 
Mkuu Usijali! Waache watuite watakavyo! Lkn wanatakiwa kufahamu Kua kamwe hatutoacha kusimamia ukweli!

Tatizo huo kweli waweza kuwa kweli kwako....Mm nakula ugali maharage naishi na kufurahi huwezi ukaja kuniambia nile mavi eti nikola ugali maharage nitakufa.......Huo kweli wacha ss tuuone kupitia matendo yenu.....Siyo kuandika vitabu na majarida ya kukashifu watu wengine wanacho amini........
 
Ellen G White hausiki na iko wazi tu Kua bwana Miller ndio anahusika!

Huyo Miller kwani alikuwa M-baptist, au Mormon....? Jibu alipata baraka zote kwa muanzilishi wa dhehebu lenu mwanamama Hellen G. White...

Maana waliokufa mwaka ule sio Catholics, Lutherans, Baptist but that massive killing the history will remember for ever ni SDA's......

Baada ya kuona mambo ya utabiri wa siku na tarehe ya mwisho wa dunia yataliua Kanisa la SDA mkabadili stail ya mahubiri....

Hii Great Dis-appointment ilifanya kanisa kugawanyika kukawa na SDA Reformer na nyie wa mwanzo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom