carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,273
Mmh haaya yangu mimacho tu. Ila fanya hivi ukiona kuna vyoda ingia na viroba vyako ukumbini ukiseviwa fanta unachakachua na viroba vyako ndo fasheni siku hizi
Halafu hata kama kuna bia hufaudu kabisa tubia twenyewe tuwili tutatu tu ndani ya masaa mane ya sherehe au saa ingine unataka kesto ya baridi unaletewa Kilimanjaro cha moto
Jambo la ajabu sana kulilia bia za kwenye sherehe. Kwanza unaweza usipate bia ya chaguo lako na pia unaweza kupata moja au usipate kabisa.
Na si lazima ukichangia utumie hela yote uliyo changa. Huko bar nani atakunywa kama mtu anataka kulewea kwenye sherehe?
Ganda la ndizi na kitonga bhana.....