Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

Wasabato msituchangishe kama hamtaki bia

Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi.

Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.


Kwani unalazimishwa kuhuzuria harusi zao? Tafuta zako zisizo na pombe na sio pombe tu wasabato pia hawavuti sigara na wala hawali nguruwe kama walivyo waisalamu in matter of fact hawali mnyama yeyote asiye na kwato kama mbwa, sungura nk na wala ambaye hacheui kama nguruwe ambaye ana kwato lakini hacheui, sungura na ngamia hanacheua lakini hawana kwato mnyama anatakiwa kuwa na vyote awe na kwato na pia anacheua mfano wa mbuzi, kondoo na ng'ombe. hii ni kwa mujibu wa imani yao soma zaidi (Mambo ya Walawi 11:1-47 & Kumbukumbu ya torati14:1-29)


Na si wao tu pia kwenye harusi za kiisilamu hakuna nguruwe wala pombe sawa na wasabato



Ni imai yao zaiwa
 
Huyo Miller kwani alikuwa M-baptist, au Mormon....? Jibu alipata baraka zote kwa muanzilishi wa dhehebu lenu mwanamama Hellen G. White...

Maana waliokufa mwaka ule sio Catholics, Lutherans, Baptist but that massive killing the history will remember for ever ni SDA's......

Baada ya kuona mambo ya utabiri wa siku na tarehe ya mwisho wa dunia yataliua Kanisa la SDA mkabadili stail ya mahubiri....

Hii Great Dis-appointment ilifanya kanisa kugawanyika kukawa na SDA Reformer na nyie wa mwanzo......




Miller alikuwa Babtist sio Mormon
 
Mkuu mbona unaongea sn?

Unafahamu biblia inazungumza juu ya maarifa kuongezeka? Sasa Km maarifa kuongezeka hakuna shida kuendesha Gari? Kusafiri kwa huko na huko kwa haraka! Hoja hapa jee wasabato kwa kutokuruhusu kusuka nywele wanakosea?

Hayo maarifa kuongezeka pia yanamuhusu mwanadamu kujipamba(Hasa mwanamke)...ila kwastaha na heshima......

Waafrika tuna tamaduni zetu moja wapo ni kusuka, wamasai Kina mama wa nyoa Kipara na wanaume wanasuka nywele.......Kristo anatakiwa kuhubiriwa katika mazingira na tamaduni zetu......Biblia kwa kiasi kikibwa inaongelea wana wa Israel na makanisa yake wa mwanzo.....Huenda hizo ndo tamaduni zao....Nass tunazakwetu....

Kristo anataka upendo kati yetu tuu...
 
Huyo Miller kwani alikuwa M-baptist, au Mormon....? Jibu alipata baraka zote kwa muanzilishi wa dhehebu lenu mwanamama Hellen G. White...

Maana waliokufa mwaka ule sio Catholics, Lutherans, Baptist but that massive killing the history will remember for ever ni SDA's......

Baada ya kuona mambo ya utabiri wa siku na tarehe ya mwisho wa dunia yataliua Kanisa la SDA mkabadili stail ya mahubiri....

Hii Great Dis-appointment ilifanya kanisa kugawanyika kukawa na SDA Reformer na nyie wa mwanzo......


Kumbe ndugu yng unaongelea chuki tu! Miller alikua Wa kwanza kufanya kz za kabla ya E G White na ata ule Utabiri Wa Miller ulifanyika kabla ya G White kz yake ikiwa Ndoho sn! Na Miller alikua Ni mbabtisti Wa sio msabato! Kasome tena vzr!
 
Unasumbuka nn hakikisha unaingia na chupa yako ya kilimanjaro kubwa unajaza Yote sminorf AMA konyagi unakaa nayo kwann usienjoi harusi na ili pombe iingie vzr hqkikisha kila kikundi kinachoenda kushangilia AMA kupiga show unakuwa pqmoja nao hata wosia wa wazazi unakuwa nyuma yao
 
Miller alikuwa Babtist sio Mormon

Huyo Miller alitoa utabiri ulioua Wasabato....Unawazimu wewe...Yani muumini wa Jeheva Witness atoe utabiri uje uwaue Wasabato....Kichekesho hiki...

Soma Historia ya Dhehebu lenu mkuu....Pitia hata Wikipedia utaona imeelezea jinsi the Great Dis-appointment ilivyotokea...
 
Kumbe ndugu yng unaongelea chuki tu! Miller alikua Wa kwanza kufanya kz za kabla ya E G White na ata ule Utabiri Wa Miller ulifanyika kabla ya G White kz yake ikiwa Ndoho sn! Na Miller alikua Ni mbabtisti Wa sio msabato! Kasome tena vzr!


Mkianza mambo ya kuchambua mambo ya dini na madhehebu hapa sijui mtafika wapi Maana Cathorics ya warumi, Anglcan ya waingereza,Lutheran ya Luther wa Ujerumani, Mormon hata hawaeleweki na Nabi wao Smith, Jevohah Witness nao ndio hivyo dunia ni mbingu yao nk
 
Huyo Miller alitoa utabiri ulioua Wasabato....Unawazimu wewe...Yani muumini wa Jeheva Witness atoe utabiri uje uwaue Wasabato....Kichekesho hiki...

Soma Historia ya Dhehebu lenu mkuu....Pitia hata Wikipedia utaona imeelezea jinsi the Great Dis-appointment ilivyotokea...


Miller alikuwa Babtist mambo mengine usilazimishe ingia google basi
 
Kumbe ndugu yng unaongelea chuki tu! Miller alikua Wa kwanza kufanya kz za kabla ya E G White na ata ule Utabiri Wa Miller ulifanyika kabla ya G White kz yake ikiwa Ndoho sn! Na Miller alikua Ni mbabtisti Wa sio msabato! Kasome tena vzr!

Kwahiyo Miller Mbaptist alitoa utabiri uliofanya mauaji wa Wasabato.....? Hiki mbona ni kichekesho Ntunzu...
 
Hayo maarifa kuongezeka pia yanamuhusu mwanadamu kujipamba(Hasa mwanamke)...ila kwastaha na heshima......

Waafrika tuna tamaduni zetu moja wapo ni kusuka, wamasai Kina mama wa nyoa Kipara na wanaume wanasuka nywele.......Kristo anatakiwa kuhubiriwa katika mazingira na tamaduni zetu......Biblia kwa kiasi kikibwa inaongelea wana wa Israel na makanisa yake wa mwanzo.....Huenda hizo ndo tamaduni zao....Nass tunazakwetu....

Kristo anataka upendo kati yetu tuu...



Maarifa kuongezeka hakuhusiani na mambo ya kusuka!

Usipotoshe watu!
 
Huyo Miller alitoa utabiri ulioua Wasabato....Unawazimu wewe...Yani muumini wa Jeheva Witness atoe utabiri uje uwaue Wasabato....Kichekesho hiki...

Soma Historia ya Dhehebu lenu mkuu....Pitia hata Wikipedia utaona imeelezea jinsi the Great Dis-appointment ilivyotokea...






"William Miller (February 15, 1782 – December 20, 1849) was a Baptist preacher, from the United States, who is credited with beginning the mid-nineteenth century North American religious movement now known as Adventism. Among his direct spiritual heirs are several major religious denominations, including Seventh-day Adventists and Advent Christians. Later movements found inspiration in Miller's emphasis on Bible prophecy. His own followers are known as Millerites" Wikipedia


Wikipedia inaanza hivyo kaendee kusoma hapa ni facts Miller hajawahi kuwa Mormon


[h=2][/h]
 
"William Miller (February 15, 1782 – December 20, 1849) was a Baptist preacher, from the United States, who is credited with beginning the mid-nineteenth century North American religious movement now known as Adventism. Among his direct spiritual heirs are several major religious denominations, including Seventh-day Adventists and Advent Christians. Later movements found inspiration in Miller's emphasis on Bible prophecy. His own followers are known as Millerites" Wikipedia


Wikipedia inaanza hivyo kaendee kusoma hapa ni facts Miller hajawahi kuwa Mormon


[h=2][/h]


Bora umwambie Wewe manaana tukimwambia Sisi wasabato anaona Sisi Ni waongo!
 
Nimekuuliza kwanza unijibu Wewe! Km huns Jibu ndio uulize swali lako!

Nakuuliza Ni wapi ktk maandiko kumeruhusu kusuka? Km huna Jibu sema sina Jibu nikujibu swali lako! Sawa Remote?

Hivi kwenye maandiko ni wapi wameruhusu kuperuzi JF..!'?
 
Ebo we punguani nini.....Hilo ndo jibu lililojotosheleza.......

SDA ni dhehebu la Mwanamke Hellen G. White...


Unaufahamu unabii Wa Kanisa kukimbilia nyikani? Km haufahamu sabato ilikuwepo tangu bustani ya Edeni!
 
mkuu kwanini umerudia tena kuvuta bange wakati daktari alisema uache kabisa!!!!?
 
Mkianza mambo ya kuchambua mambo ya dini na madhehebu hapa sijui mtafika wapi Maana Cathorics ya warumi, Anglcan ya waingereza,Lutheran ya Luther wa Ujerumani, Mormon hata hawaeleweki na Nabi wao Smith, Jevohah Witness nao ndio hivyo dunia ni mbingu yao nk



Hayo ndio anayataka Tedo!
 
Mi harusi ikiwa haina mziki halaf ni kwayaa tu hua naborekaa hata hamna rahaa,!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom