Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Poa poa mkuu nilijua nawewe ni mfuasi wa papa
No! Mi Si Wa huko!
Poa poa mkuu nilijua nawewe ni mfuasi wa papa
No! Mi Si Wa huko!
mimi sikuhz hata nikichanga sihudhurii
Acha uongo Mkuu! Mara ya ngapi Leo unazungumza uongo juu ya mama White?
Mkuu kuna kitabu nasoma hapa kinaitwa The Four Cult.......Kimeandikwa na Pastor aliye toka SDA na kuwa Baptist Minister huko USA.... Anaelezea the kwa ufasaha "The Great Dis-appointment"........
Ntuzu sasa wewe unahusikaje, si uniache nitakuja kuhukumiwa mimi? kwa mtindo huu sitashangaa siku moja mkavamia bar na kuzuia watu kunywa bia, isitoshe ni chakula gani utakula kisichoharibu hekalu la bwana? harusini tunakula kuku wa wiki 6, au hao hawaharibu hekalu la bwana?JEKI uko wapi? Mimi msabato niko hapa nakusikiliazia!
Au nianze kukupa neno ufahamu Maana ya kutoa? Au nikufahamishe kwamba mwili wako Ni hekalu la Bwana hivyo hutakiwi kuutia unajisi Wa ulevi etc? Maana Mungu hukaa ndani yetu! Sasa Km unalitia unajisi hekalu la Bwana, bila Shaka Mungu hawezi kukaa ndani yako!
Nakusubiri Mkuu kwa hoja Zaidi!
Harusi za kisabato zimekuwa za kero kubwa, wanasema hawataki kuweka vinywaji vyenye alcohol kisa imani yao, hawajui kama hayo mambo yanzuiwa kanisani tu, mkitoka kanisani huku kwingine ukumbini ni kwa Kaisali lazima watuachie ya Kaisali na ya Mungu tunakuwa tushayamaliza kanisani, kinachoudhi zaidi wanachukua michango yetu halafu wanatuchagulia cha kutumia, ile michango siyo hela yao, nakuwa nimetoam mimi na wala hoja ya kusema wananua wao si sahihi.
Kama wanasimama kwenye imani yao basi wasichangishe pesa zetu bali watumie zao na sisi tutakuja kunywa soda na juice kama wanavyotaka na siyo mchango wangu wa pesa waupangie cha kuninunulia.
Acha uongo Mkuu! Mara ya ngapi Leo unazungumza uongo juu ya mama White?
Mhhhhhhhhhhhhhhhh
sasa niende nikanyweshwe FANTA si bora nilale tu..
ko we harusini unafata kunywa tu
Kwani mkuu anayeoa anakuwa wa imani hiyo au wanakuja kwenye harusi yako wanaleta imani zao?
Na hapa ifahamike kuwa kuchangia harusi,haimaanishi wewe kwenda kula na kunywa,ni zaidi ya hapo
ni ishara ya kuunga mkono kile anachoenda kufanya huyo unayemchangia iwe umehudhuria au hukuhudhuria,sasa kama issue ni kunywa
watu wana uwezo wa kunywa hata nje ya kumbi za harusi,kwanini usubiri harusi ya mtu ndo unywe au ndo yale ya kutokula matunda mpaka uandikiwe na daktari?
Hii tabia ikiendekezwa tutafika mahali tutamwomba bwana arusi atupe bibie alale kwetu coz tumemchangia,sasa hela tunazochanga zinafanya kazi gani kama sisi wachangiaji hatufurahii?
Ntuzu sasa wewe unahusikaje, si uniache nitakuja kuhukumiwa mimi? kwa mtindo huu sitashangaa siku moja mkavamia bar na kuzuia watu kunywa bia, isitoshe ni chakula gani utakula kisichoharibu hekalu la bwana? harusini tunakula kuku wa wiki 6, au hao hawaharibu hekalu la bwana?
kwani uongo Hellen G White hauwahi waingiza watu chaka juu ya mwisho wa dunia!!!???