Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
visheria vya ajabu mara kutokusuka na kunyoa vipanki..
Kwani kusuka ktk maandiko Ni wapi imeruhusiwa?
visheria vya ajabu mara kutokusuka na kunyoa vipanki..
Kwani kusuka ktk maandiko Ni wapi imeruhusiwa?
na ni wapi imekatazwa!?
Nimekuuliza kwanza unijibu Wewe! Km huns Jibu ndio uulize swali lako!
Nakuuliza Ni wapi ktk maandiko kumeruhusu kusuka? Km huna Jibu sema sina Jibu nikujibu swali lako! Sawa Remote?
ww unaesema imekatazwa ndio unatakiwa uoneshe hilo kanusho!!??
la sivyo utaniomba hadi andiko la wapj imeruhusiwa tutumie jf
Oya usibadilishe maneno!
Wewe ndio ulikua unawakosoa wasabato ukisema eti visheria vya kutokusuka! Mimi nikakuuliza andiko gani linaruhusu kusuka? Umeshindwa kunipa majibu umebaki unapiga chenga tu! Sema huna Jibu Na Mara ingine ujifunze kutokukosoa wenzako bila Kua na chochote kinachokusapoti!
Ebu soma Wakorintho Wa kwanza 11:3-16. Soma vzr taratibu umuuelewe Paul anachokisema!
we toa tu mkuu yawe wazi ,si wote tunajifunza ili jamii iwe secularteh teh teh ..dah ..inanikumbusha kisa kimoja hivi cha masabato lakini ntamezea kwa leo..
siyo kila kitu kimeandikwa kwenye bible.basi na wewe nijibu ni wapi kwenye bible kumeruhuru riba?Kwani kusuka ktk maandiko Ni wapi imeruhusiwa?
kuto nyoa panki ni kimaadili ya kawaida na kiheshima tu .visheria vya ajabu mara kutokusuka na kunyoa vipanki..
mi hapo sikubaliani nao wanaokataza kusuka nyele ,hakuna sehemu kwenye bible inapokataza kusukua nyele.bali hawajapaelewa vizuri pale paulo anapoeleza.pia paulo alikuwa anaongea na wana wa islael ambao walikuwa wananywele ndefu ,so alikuwa haongei na watu wenye nywele fupi kwahiyo asingeweza kukataza kwa upande wa kuweka wazi kichwa ni mira na desturi za islael tu ,usilazimishe ziwe world wide.kuna sheria kuu na nyingine ni specific ilimradi zote zinaendana na maadali tu.... anaekataa atoe ushahidi logically.
nilikuwa nazungumzia upande wa kusuka nywele.kuna msabato alinihubiri mahubiri mengi,mojawapo lilikuwa ni miiko na akanitajia miiko ya kusuka nywele.sijamuelewa mpaka leo ndugu yangu.nkajiuliza je hii ni sabato mpya?Bado sijakufahamu Ebu rudia tena hizo fafanuzi zako tafadhali!
nilikuwa nazungumzia upande wa kusuka nywele.kuna msabato alinihubiri mahubiri mengi,mojawapo lilikuwa ni miiko na akanitajia miiko ya kusuka nywele.sijamuelewa mpaka leo ndugu yangu.nkajiuliza je hii ni sabato mpya?
Ni wafuasi wa mwanamama mmoja anayeitwa Hellen G. White.......Aleyesababisha maelfu ya vifo kwa utabiri feki wa mwisho wa Dunia...
Wasabato ndio kabila gani jamani hebu tuwekane sawa
teh teh teh ..dah ..inanikumbusha kisa kimoja hivi cha masabato lakini ntamezea kwa leo..