starboy09
JF-Expert Member
- Apr 20, 2017
- 284
- 183
HujielewiAlikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?
Mmmmmmh,,Mungu Yupo.Mkuu bado unaamini kuwa Mungu yupo?
Yesu mwenyewe ni masihi wa 16 kusurubiwa kwa ajiri ya mwanadam
Wa kwanza alikuwa ni horus na wote walizaliwa na Bikra na kufa wakiwa na miaka 33
Though both are Anecdotal tales lakini zinaweza kuwa na ukweli
Lakini mungu hayupo,kama utakuwa Intellectually honest kukubali ukweli utaelewa kwanini tunasema mungu hayupo
Hakuna mzungu angeweza kubeba ule msalaba kwa umbali ule..!!!

Mkuu nipe hii list ya masihi 16 nipate jipya.Mkuu bado unaamini kuwa Mungu yupo?
Yesu mwenyewe ni masihi wa 16 kusurubiwa kwa ajiri ya mwanadam
Wa kwanza alikuwa ni horus na wote walizaliwa na Bikra na kufa wakiwa na miaka 33
Though both are Anecdotal tales lakini zinaweza kuwa na ukweli
Lakini mungu hayupo,kama utakuwa Intellectually honest kukubali ukweli utaelewa kwanini tunasema mungu hayupo
Hee yesu mungu tena?!Inasaidia nini kujua kuwa alikuwa black? Yesu ni Mungu, na Mungu ni Roho. Hayo ya rangi hayana maana na injili ya kishetani.
Ni injili moja tu inapaswa kuhubiriwa, "Tubuni kwa maana ufalme wa Mungu umekaribia."
Siku zote vya ukweli lazima viwe ujinga endelea na kubwabwaja kwako kila mtu na imani yake mkuu.nashukuru umeyaona matatizo ya MIAFRIKA MINGI Yalivyo. miafrika inapoteza muda mwingi kwa kuwaza vitu vya kijinga tu. hayo unayo yasema ni kweli. kuwa weusi wanalalamika kuwa wahindi,waarabu hawatak kuolewa nasi...unajiuliza sisi la msingi kwetu nikuoa wahindi na waarabu?
sasa huyu mwingine kaona hiyo haitoshi kaja na theory kuwa yesu ni mweusi so kama alikuwa mweusi yeye inamsaidia nini? ni ule ule utumwa wa rangi.unachosema ni kweli wahindi wapo hapa miaka na miaka hawazungumzi kiswahili ila wanazungumza kihindi na kiingereza. kwa nini? kwa sababu washaona sisi ni watu ambao wenyewe tu hatujikubali na tuna udhaifu. udhaifu huu tunauonesha mpaka kwa wengine.
kulazimisha yesu alikuwa mweusi au mweupe sisi kwetu haina tija hata kidogo. tuangalie tunajikwamua vipi kwenye umaskini na utegemezi.
tunakaa hapa wapuuzi wanatuletea habari za rangi. mwingine alianzisha thread kuwa pyramids zilijengwa na mtu mweusi. nikasema sawa. kwa hiyo sasa? tufanyeje?
Tena wakatupangia na vitabu kwenye bible walivyoona wao vinafaa...Ni mfumo wa ibada uliofanywa na watu kwa dhumini la kumuabudu Mungu.

Hebu nielimishe kidogo, kwani wayahudi ni black?![]()
Idadi kubwa ya wakiristo na wasiyo wakristo wamedanganywa kwa kuaminishwa kuwa yesu ni white[Mzungu]
Hata michoro mingi inayotumika kumwakilisha yesu imekuwa ikimsadifu kama whiteman
Jaribu kugoogle tu neno "Jesus",99.999% ya picha utakazoletewa ni za mzungu anayefananishwa na Yesu
Hizo zote si picha za Yesu,ni picha za mtoto wa Pope Alexander wa sita aitwaye Casera borgia
Sad-fact ni kwamba,si tu Yesu alikuwa ni Black au African Hebrew
Bali characters wote wa kwenye Biblia kuanzia Adam mpaka Paul walikuwa ni Blacks
Huo ndiyo ulikuwa ukweli kabla ya miaka ya 1400
Mambo yalianza kubadilika wakati wa Renaissance period,kuanzia karne ya 14 mpaka ya 17 chini ya Pope Alexander VI
Ndipo Europeans walipoanza kumsadifu[Depict] Yesu kama Whiteman
Casera Borgia
[Casera Borgia kushoto Yesu kulia]
![]()
Inaendelea page ya kwanza
Mi hata simuelewi tu!ngumu kumeza hii.
Ndio bosi.Je Daudi alikuwa mweusi? Yesu ni kizaz toka lea mfalme daud. Je daud alikuwa ni black?
Siku zote vya ukweli lazima viwe ujinga endelea na kubwabwaja kwako kila mtu na imani yake mkuu.
Well saidThat's due to a global system of white supremacy, a black woman is really a mature of creation..
We really need to wake up, or this white supremacist system will always suppress our race.
Black people have been programmed to feel and inferior to white people. While the truth is we are the superior race, and the most resilient
This is fascinating kwa kweliMkuu bado unaamini kuwa Mungu yupo?
Yesu mwenyewe ni masihi wa 16 kusurubiwa kwa ajiri ya mwanadam
Wa kwanza alikuwa ni horus na wote walizaliwa na Bikra na kufa wakiwa na miaka 33
Though both are Anecdotal tales lakini zinaweza kuwa na ukweli
Lakini mungu hayupo,kama utakuwa Intellectually honest kukubali ukweli utaelewa kwanini tunasema mungu hayupo