tahit said:By making conscious contact with God you will come to know the power of that source and you will use that power to attract any thing in your life. so if you wanna know who is GOD i suggest you better take your time to make conscious contact with God
GOD IS THAT ONE FORCE IN THE UNIVERSE WHICH IS IN DIVISIBLE IT IS ONLY ONE FORCE ONE POWER THAT U CANT DIVIDE
The only experience that u can have in your physical world which is in divisible is a matter of silence ...
waKama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?
Kwaio we umeacha kuamini ukrisro kisa wazungu! Duuh kweli duniani kuna mambo kwaio wazungu ndo walibeba msingi wa imani yako yote?Niaje bro, im in the quest for the truth, i am a free thinker, and I've just lost my religion (Christianity) ila bado nahitaji kujiridhisha zaidi kuwa kuna /au hakuna Mungu! Nimeacha kuamini Ukristo baada ya kugundua kuwa white supremacists wamebadili mambo mengi ya kihistoria na kueleza kuwa yamefanywa na wazungu ili tu tuwaone kuwa wao ni superior race that follows after Gld, kitu ambacho sio kweli. Wameweka uhusika wao katika dini na mambo mengi, ilimradi mtu mweusi aone hana nafasi katika hii dunia.
Nahitaji kujiridhisha kuwa hakuna Mungu, pendekeza vitabu au sources nyingine nipitie nijiridhishe Einstein Newton
Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
Sijajua ndo nataka nijuehujajua kama kakutumia bila wewe kujua?
Pls Einstein naomba uni dadavulie hayo mavitu
Ndiyo mkuuKuhusu uhusiano kati ya Yesu na horus?
hawa ni baadhi ya waafrika wanaojisikia inferior kwa rangi yao sasa wanataka kuifanya kuwa ina umuhimu kwa kutafuta watu muhimu wawe na rangi yao. mimi naipenda rangi yangu kwa kuwa ndo nliyo nayo na sihitaji niseme yesu alikuwa mweusi ili sasa ndo nitembee kifua mbele.
ni upumbavu kumkubali mtu kwa sababu ya rangi hata wazungu wakifanya hivyo watakuwa wajinga. Yesu alikuwa mweusi then wazungu ndo wakaja tena kutupa habari zake so kama wameamua kumfanya awe mweupe hilo mi sioni limeongezea nini. ni kama leo hii tunapobishana obama mweusi au mweusi watatuona ni kituko kwa sababu awe mweus au mweupe inatusaidia nini sisi?
waafrika wengi huwa hawawazi mambo ya msingi. wanawaza kuonewa,kuwa wanyonge... na kujikuta hawavumbui kitu wao ni kulalamika kuhusu wazungu miaka na miaka. huu ndo utajiri wa mwafrika kulalamika na kulaumu miaka yote.hawatafuti ufumbuzi...ukiwasikiliza hata akina mugabe utasikia tu wanalalmika kwnye hotuba zao. hawana solutions.
wa
KWASABABU WEWE NI WA MWILINI HUWEZI KUYATAMBUA MAMBO YA ROHONI WARUMI 8, PIA UPO GIZANI HUWEZI ELEWA VYA NURUNI
Mathayo 2:13-14
Na hapo walipokwisha kwenda zao,tazama,malaika wa bwana alimtokea Yusufu,katika ndoto akasema,Ondoka umchukue mtoto na mama yake,ukimbilie misri ukae huko hata nikuambie
Yusufu na mkewe hawakuambiwa wakimbilie Misri kwa sababu ya Military protection
Kama mkimbizi anavyokimbia nchi yake na kwenda nchi nyingine kwasababu ya usalama.Hapana!
Wakati ule hata Misri ilikuwa chini ya Roman empire
Herode bado alikuwa na uwezo wa kuwatafuta na kuwapata kwasababu bado walikuwa chini ya utawala wake
Lengo kuu la kukimbilia Misri,lilikuwa ni kujichanganya na Black wenzao
Kwahiyo ilikuwa ni vigumu kwa Majeshi ya kirumi kuwatambua
Kama wangelikuwa whites wangelitambulika kwa urahisi
Kwasababu Misri ilikuwa ni ya Blacks wakati ule
References
THE PHYSICAL APPEARANCE OF ANCIENT ISRAEL,THE HEBREW&SONS OF HAM
Kwa maelezo haya inaonekana kuthibitisha ili jambo lilikuepo na lilitokea ila labda useme wazungu walibadilisha wahusika baadae kutokana na mawazo yako! Nimependa ulivyo unganisha matukio kuthibitisha ukweli ulioandikwa kwenye biblia...kama ungekua ni uongo na hilo jambo halipo husingesema wakristo wamebadilishiwa wahusika baadae,kwani kwenye kitu cha kusadikika wenzako unaowanukuu wasingefuatilia swala la rangi ya Yesu kwani ni kitu cha kusadikika kwanini wautafute ukweli wake????
YOHANA 1:11-13 NIMEZALIWA SI KWA MAPENZI YA MWILI BALI KWA MAPENZI YA ROHO MTAKATIFU. WARUMI 10:9-10 UKIMWAMINI YESU MOYONI MWAKO NA KUMKIRI UTAOKOLEWA HIVYO UTAZALIWA MARA YA PILI KWA MAPENZI YA ROHO MTAKATIFU NAWE UTAKUA MWANA WA MUNGU NA KUEPUKA ADHABU YA MOTO WA MILELE. NI SIMPLE TUU KUA WA ROHONI.
Mkuu mbona unajichanganya??? Kama hukisema maandiko hayathibitishi uwepo wa Yesu weusi wake na weupe wake umekujaje sasa!!!!Ndo umeandika nini sasa?
Maandiko ndiyo yanayothibitisha uwepo wa yesu?
Huu uzi unawataka watu watafute asili halisi ya hizi dini na historia ya mtu mweusi sio rangi
Mkuu mbona unajichanganya??? Kama hukisema maandiko hayathibitishi uwepo wa Yesu weusi wake na weupe wake umekujaje sasa!!!!
Unasema yesu kulia. yesu yupo wapi hapo? kumbe hata uwezo wako wa kufikiri upo limited sana. mi sijawah ona picha ya yesu nimekuuliza wewe uliiona wapi picha ya yesu? hujanijibu hilo swali. miaka yangu yote sijui picha ya yesu ikoje wewe mwenzangu unayo au ulipewa sehemu?
mimi sijui rangi ya yesu na hata nikiijua hainihusu kwa kweli maana rangi yake si yake bwana....mi inanihusu nini? asili. unataka kujua asili. haya wazungu wanasema binadamu alitokana na nyani we unasemaje? au kwa upande huu nako unasemaje?
Kama we ni masikini usifikirie kuwa watu wote ni masikini, na kwasababu hiyo anzisha thread yako ujadili huo umasikini na angalia jinsi ya kutatua shida zako na sio kuja kulia lia hapa. Usisahau kuwa sio kila kitu ni kwa kila mtu hivyo ukiona hapa hapakufai unaweza kuendelea na mambo mengine.nashukuru umeyaona matatizo ya MIAFRIKA MINGI Yalivyo. miafrika inapoteza muda mwingi kwa kuwaza vitu vya kijinga tu. hayo unayo yasema ni kweli. kuwa weusi wanalalamika kuwa wahindi,waarabu hawatak kuolewa nasi...unajiuliza sisi la msingi kwetu nikuoa wahindi na waarabu?
sasa huyu mwingine kaona hiyo haitoshi kaja na theory kuwa yesu ni mweusi so kama alikuwa mweusi yeye inamsaidia nini? ni ule ule utumwa wa rangi.unachosema ni kweli wahindi wapo hapa miaka na miaka hawazungumzi kiswahili ila wanazungumza kihindi na kiingereza. kwa nini? kwa sababu washaona sisi ni watu ambao wenyewe tu hatujikubali na tuna udhaifu. udhaifu huu tunauonesha mpaka kwa wengine.
kulazimisha yesu alikuwa mweusi au mweupe sisi kwetu haina tija hata kidogo. tuangalie tunajikwamua vipi kwenye umaskini na utegemezi.
tunakaa hapa wapuuzi wanatuletea habari za rangi. mwingine alianzisha thread kuwa pyramids zilijengwa na mtu mweusi. nikasema sawa. kwa hiyo sasa? tufanyeje?