Was Jesus Black?

Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
Hebu jaribu kufikiri umecheleweshwa kutakriban Miaka 500 kwa kumfanyia kazi mtu halafu baada ya hio miaka anakuachia ujianzishia maisha yako huku wakati nakumonitor karibu kila nyanja ya maisha yako.

Ujanja ni kule kujaribu kukumbuka kabla ya kucheleweshwa nilikuwa nimeaccomplish vitu gani? ili nianze kuelewa najinasua vipi na mitego ya mifumo ya alienichelewesha.

Wao walishindwa kufuta mengi maana wazee wetu waliacha ushahidi kwenye majengo ya mawe. ukidanganya kwenye karatasi tunaenda kufanya reference kwenye mawe.
Aibu ni kwa wale wajinga.

kuujua ukweli utatufanya tujiamini na kuanza upya. HAYO WALIONAYO NI SISI TULIWAPELEKEA. KAMA UMESHAENDA ULAYA. JARIBU KUPITIA KWENYE MESEUMS NA CASTLE ZAO. UTASHANGA NA MICHOZI ITAKUTOKA..... NITAFUTE NIKUONYESHE USHAHIDI.
Binadam. (Bin -Adam) au Mtoto wa Adam.
Binadam
Kisayansi Unaweza kumuita Homo sapiens ili kumtofautisha na viumbe wengine.

Na katika upimaji wa DNA inaonesha ni dhahili kuwa Binadam Wote walitokea Bala La Africa miaka 200,000 ilinipita

Lakini pia upimaji wa DNA mvuringo ambayo kila Mtu anarithi kwa mama inaonesha watumishi wa kwanza walizaliwa na Mama Mu-Africa alieishi miaka 130,000 Ilio pita.

Ueneaji wa hawa Binadam kutoka Africa ulianzia
Kuelekea Asia ndipo Australia na Ulaya kisha Amerika ya Kaskazini na kusini.
Hatimaye katika karne ya 20 watu walifika mpaka bara la Antaktika kufanya utafiti.

_______________________________
Ki-Mungu Sasa (Imani)

Binadam zamani walikuwa Weusi tu. Na ilipotokea tofauti ilibidi iainishwe...
Kuanzia Ibrahim baba wa Amani baba wa Mataifa alikua mweusi.

Na kumbuka ' Mungu akasema ' Natufanye Mtu kwa mfano wetu akatawale. Akamuumba Adam akampa kuitawala Dunia na vilivyomo. Nk

Sasa mtoto wa Ibrahim wa kwanza kwa Sara ISAKA alipata mke (Rebeka) nae akawa kama mama yake Isaka (Sara)
Yaani hakupata mtoto kwa wakati.
Sasa mara alipopata mimba , Ikawa ni mimba ya watoto mapacha .

Kama mama ajuavyo .ili watoto waoneshe uhai waoga tumboni inawalazimu kucheza-cheza. Ila kwa Rebeka haikuwa hivyo Bali watoto wale Walipigana tumboni. Ndipo ikatabilika kuwa ni mataifa ma 2 .

#Siku ya kuzaa ilipowadia Rebeka
Akamza Esau mtoto wa kwanza akiwa na Ngozi nyekundu na yenye vinyweleo (malaika) lakini katika kutoka Kwake tumboni wakati miguu ikimalizia kutoka
Mtoto wa pili Yakobo akafuata ilihali kamshika Esau kizigino.
Tofauti Kati ya ESAU NA YAKOBO
Esau alikuwa Mwekundu na Yakobo alikuwa na Rangi kama baba yake Isaka (nyeusi)
Rangi ya Esau ilikuwa ndo mpya kutoka Dunian. Ila kama familia zingine uonavyo huwa hawatupi mtoto mlemavu.
So kikawaida ESAU ni mlemavu.

Mnepha Tupe vitu bwana tulio tayari kuelewa sio kuamini

Einstein Newton Endelea kaka
 
Kujielezea kwenyewe hujui,unaandika hovyo hovyo

Mods muwe mnawapima members wenu akili kabla ya kuwaruhusu

Sio kila mwenye email basi anafaa kuwa member wa JF kama huyo dada hapo juu

So what,so what,so what!!so olewa upate mme wako

Sio kutwa unamvalia kanga moja shemeji yako

Kaka taratibu maana nacheka hadi baasi. Naomba nenda nae taratibu. uzuri wa watu wetu wako potential to change. maana DNA zetu huactivated to a clear consciousness only once na there must be an event to trigger for the manifestation.

WATAELEWA TU. BIG UP SANA.
 
Mi napenda kujua Yesu alikimbilia wapi alipotaka kuuliwa? Sababu historia yake ya miaka 2 mpaka 11 haijazungumziwa alikuwa wapi?
 
nenda ethiopia pale ulipo mlima sayuni ambao Musa alisimama na kuiona promise land biblia ilikuwepo hata kabla ya mkoloni,kuna mambo mengi yamebadilishwa hapo na kuna historia nyingi ya mtu mweusi imefutwa mfano tunapo ambiwa binadamu wa kwanza alikuwa nyani na alipatikana huko oldonyo lengai,wakati huohuo tunafundishwa uwepo wa mungu mzungu na mwanae yesu
Hakuna historia ya kibinadamu inayosema binadamu wa kwanza alipatikana Oldonyo lengai.
Historia ya wanahistoria yatuambia ya kuwa binadamu wa kwanza aliishi zaidi ya miaka 1,500,000 B.C na fuvu lake liligunduliwa 1959 na Dr Leakey Olduvai Gorge Ngorongoro na sio Oldonyo lengai.
 
Binadam. (Bin -Adam) au Mtoto wa Adam.
Binadam
Kisayansi Unaweza kumuita Homo sapiens ili kumtofautisha na viumbe wengine.

Na katika upimaji wa DNA inaonesha ni dhahili kuwa Binadam Wote walitokea Bala La Africa miaka 200,000 ilinipita

Lakini pia upimaji wa DNA mvuringo ambayo kila Mtu anarithi kwa mama inaonesha watumishi wa kwanza walizaliwa na Mama Mu-Africa alieishi miaka 130,000 Ilio pita.

Ueneaji wa hawa Binadam kutoka Africa ulianzia
Kuelekea Asia ndipo Australia na Ulaya kisha Amerika ya Kaskazini na kusini.
Hatimaye katika karne ya 20 watu walifika mpaka bara la Antaktika kufanya utafiti.

_______________________________
Ki-Mungu Sasa (Imani)

Binadam zamani walikuwa Weusi tu. Na ilipotokea tofauti ilibidi iainishwe...
Kuanzia Ibrahim baba wa Amani baba wa Mataifa alikua mweusi.

Na kumbuka ' Mungu akasema ' Natufanye Mtu kwa mfano wetu akatawale. Akamuumba Adam akampa kuitawala Dunia na vilivyomo. Nk

Sasa mtoto wa Ibrahim wa kwanza kwa Sara ISAKA alipata mke (Rebeka) nae akawa kama mama yake Isaka (Sara)
Yaani hakupata mtoto kwa wakati.
Sasa mara alipopata mimba , Ikawa ni mimba ya watoto mapacha .

Kama mama ajuavyo .ili watoto waoneshe uhai waoga tumboni inawalazimu kucheza-cheza. Ila kwa Rebeka haikuwa hivyo Bali watoto wale Walipigana tumboni. Ndipo ikatabilika kuwa ni mataifa ma 2 .

#Siku ya kuzaa ilipowadia Rebeka
Akamza Esau mtoto wa kwanza akiwa na Ngozi nyekundu na yenye vinyweleo (malaika) lakini katika kutoka Kwake tumboni wakati miguu ikimalizia kutoka
Mtoto wa pili Yakobo akafuata ilihali kamshika Esau kizigino.
Tofauti Kati ya ESAU NA YAKOBO
Esau alikuwa Mwekundu na Yakobo alikuwa na Rangi kama baba yake Isaka (nyeusi)
Rangi ya Esau ilikuwa ndo mpya kutoka Dunian. Ila kama familia zingine uonavyo huwa hawatupi mtoto mlemavu.
So kikawaida ESAU ni mlemavu.

Mnepha Tupe vitu bwana tulio tayari kuelewa sio kuamini

Einstein Newton Endelea kaka

Ndg, kiufupi sana kwanza inatakiwa kuelewa kitabu leo kinachoitwa BIBLIA ni mkusanyiko wa vitabu vya hadithi, sheria, utabiri (Unabii) na historia ya jamii fulani, zilizoandikwa na waandishi mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali kwa malengo ya kufundisha, kukumbusha na kulinda maslahi ya jamii hio.

Hadithi hizi zimeandikwa kwa lugha mbalimbali. But primary language was Aramaic (Classical Hebrew). Sasa ukisoma Biblia ya Kiebrania neno ADAMU (Linaandikwa אדם ('Adamah) likiwa na maana ya "to be red", yaani "to the ruddy colour of human skin or RED Ground". Sasa katika ulimwengu wa kale, hata kwa kiarabu mtu mweupe leo enzi hizo alikuwa anaitwa "RED MAN".

Kwa maana hio, ADAMU alieongelewa kwenye Biblia kwa tafsiri ya original language of the book (Classical Hebrew) ina maana ADAM HAKUWA MTU MWEUSI BALI NI MWEKUNDU. Na ukisoma kwa umakini SIMULIZI HILI LA UUMBAJI utagundua kuwa ADAMU hakuwa pia mtu wa kwanza kuumbwa kwa maana there were pre-adamites ambao ni ABORIGINAL PEOPLE (Original from the Creator). Ndio maana KAIN alioa mwanamke nje ya kizazi cha ADAM.

Hivyo tujiulize nani alimuumba ADAM? ni MUNGU au ABORIGINALS? maana Kitabu cha Mwanzo Sura ya 1:26-31 waliumbwa watu na sio ADAM. na hawa watu waliumbwa wakatawale kila kitu ndani ya dunia. Sasa Je ADAM aliumbwa wakati gani?

Twende Simulizi la pili: Kitabu cha Mwanzo Sura ya 2:4-25. Kiumbe kilichoumbwa hapa kilikuwa Kimoja na ALIPEWA SHERIA LA KULA MATUNDA YA MITI YA PEMBEZONI NA ASILE MATUNDA YA MTI WA KATIKATI YA BUSTANI. Lakini viumbe vilivyoumbwa mwanzo walipewa umiliki wa kila kitu na walipewa pia ruhusa ya kula majani ya miti na nyasi kama ndio chakula chao hapakuwa na conditions au restrictions za uwepo wao na wao ndio waliumbwa kwa mfano wa SURA na UTUKUFU pia. Swali la kujiuliza ni kwanini walioumbwa mwanzo walipewa umiliki wa kila kitu lakini walioumbwa baadae waliminywa wasijihusishe baadhi ya mambo. Hawa wa KWANZA ni NANI na hawa wa PILI ni NANI.

Kuhusu ESAU na YAKOBO, nimependa ulivyosema ESAU was born RED na nimekueleza maana ya neno ADAMU kwa kiebrania kuwa ni "to be red", sasa nini maana ya masimulizi haya? LETS DIVE DEEPER on the story.

The Lord said to her,

“Two nations are in your womb,
and two peoples from within you will be separated;
one people will be stronger than the other,
and the older will serve the younger.”

24 When the time came for her to give birth, there were twin boys in her womb. 25 The first to come out was red, and his whole body was like a hairy garment; so they named him Esau.b]">[b] 26 After this, his brother came out, with his hand grasping Esau’s heel; so he was named Jacob

Points to NOTE:
WHY 2 NATIONS, and also THESE 2 NATIONS WILL BE SEPARATED?
and THE OLDER WILL SERVE THE YOUNGER? why? Tutaendelea maana hii sio THEOLOGY ni GENEALOGY.
 
Hii mada ni nzito. Inahitaji umakini wa hali ya juu. This white image of Jesus already hv a place in our subconcise mind hatuwez kuelewa now cz we have the book bt we didn't have time read. BT my point is basing on history. History on what we know is a lie big lie. Kitabu cha James W Loewen kinachambua mambo mengi ya uongo tulilojifunza shuleni. in his book Lies My Teacher Told Me, Loewen criticizes modern World history textbooks for containing incorrect information about people and events such as Christopher Columbus, the lies and inaccuracies in the history books regarding the dealings between the Europeans and the Native Americans, and their often deceptive and inaccurate teachings told about America's commerce in slavery and black people. He proposes that when American history textbooks elevate american historical figures to the status of heroes and at the same time downgrade the truth on reality, they unintentionally give students the impression that these figures are superhumans who live in the irretrievable past. In other words, the history-as-myth.
wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa siku zote bible ipo open bt hatusomi we still belive in deception.
that is not the case my concern is abt these famous people namamisha wasanii wakubwa kama 2pac,kanye west na lil wyne. kwenye video za nyimbo zao wanaji depict kama jesus was blac na wanajifanya wanateswa msalabani what is this? wanamaanisha nn or its some kind of a cult manake we black people na red indians ndo tunaongoza kuteswa hapa duniani. cha kuwalaumu ni hawa tunaowaamini na kuwafanya viongozi wa dini. kazi yao ni mapepo,sadaka huwez skia wakiongelea hot topic kama hiz in church. Mm nasubir hata Christian Cleric mmoja atoe ufafanuzi juu ya hii kitu.
kama Jesus was blac wakabadili ili aonekane he is white inamana wazungu walitaka kuonekana superior than blacks.
Samahani kama kuna ambae nitamkwaza. I submit my views

HOW CAN THE JOURNEY CAME LATELY CAN AUTO SMART THE ELDERS? ALUTA CONTINUA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA. BLACK POWER !!!!!
 
Einsten Newton
wewe utakuwa ndg, yangu. Sema hatujuwani tu.

Kwa Uzi huu nimekuelewa sana. Na niseme tu nimefuatilia kuanzia ukulasa wa 1(kwanza) -27 na nimeona jinsi watu walivyo wagumu kuelewa au kuufuta uongo katika bongo zao na ku-save upya ukweli.
Pole sana kwa changamoto hiyo.

Awali niliwahi leta Uzi usemao, "Why Black People and White People" wengi walitilia maanani na wachache walibeza .(Sio Tija)

Tija ni Watu kuamka sasa na kujua nafasi yao na nivipi waitumie. Mwanzo tulikuwa na Dini hapa Afrika hatukuzitilia maanani wakaja watu kuichukua na kuibadili kwa masirahi yao kisha kutuletea kama kitu kipya na kwacho wakafanikiwa kututawala na kutuibia baadhi ya lasirimali zetu.
AFRIKA KUULISHA ULIMWENGU
sasa WANARUDI KWA NJIA YA UTANDAWAZI NA TEKNOLOJIA kutukomesha kabisaaa.

shida ni watu hatusomi na hatuulizi kwanini hiki na kile.
Hata vitabu vyetu vya imani vinatueleza wazi japo sio sana (kuna vingine imefeli) Ila bado hatuamki.

Wachungaji na Mashehe wametuibia sadaka kwa muda murefu sasa
staili ileile ya toa Mungu atakubariki ulipo toa. Yaani tungekuwa na dhahabu tungetoa dhahabu na tungekuwa na Almasi halikadhalika. Vyote walichukua sasa tunauza mahindi na nafaka zingine ili kukatoe Fedha.
(Kuna wakti nacheka nikitafakari kwa kina)
Hivi kuna watu hawajui kuwa Makao makuu ya Ukristo yapo wapi na makao makuu ya Uislama yapo wapi. Na migawanyo ya Sadaka zao huishia wapi?

Aibu juu yako......
maandiko yenyewe ya imani yamekataza viongozi wa waumini kuchukua sadaka..nitafute nikupe ushahidi....

Aisee ninamengi kwa kichwa nikisema niandike vidole vitachoka kuandika...
na

Asante sana #Einstein Newton

Hawatuwezi hata wakifanyaje, hizo technolojia zao ndizo zinatumika kusambaza CONSCIOUSNESS maana we are the nature, and you cant fight the nature. watawaweza watu kama akina KIKWETE na sio Akina MNEPHA, EINSTEIN NEWTON, NNJ7, MSHANA................ etc (endlessly).
 

Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?
Mkuu wewe hushangai hata ziwa Victoria waliligundua watu weupe peee/wazungu ilhali waafrika/wazinza, wasukuma, wakenya na waganda walikuwa wakiishi na kuvua samaki humo? Kwa asili yangu, huwa maneno ya wazungu siyaamini kabisa. Mugambe anamuamini mzungu aliyekufa tu, hata mimi ni hivyo.
 
Lengo ni nini ?!
Ni kuthibitisha kuwa Yesu ilikuwa black or white?! km ni hivyo so tunakubali kuwa He was the "Son of God ?! km ni hivyo so tunakubaliana "the existence of God ?! If yes do u this this omnipotent God would allow His only begotten Son earthly origin to be hidden?!
God lives, so does Jesus
 
Lengo ni nini ?! Ni kuthibitisha kuwa Yesu alikuwa black or white?! km ni hivyo so tunakubali kuwa He was the "Son of God ?! km ni hivyo so tunakubaliana "the existence of God ?! If yes do u think this omnipotent God would allow His only begotten Son earthly origin to be hidden?!
God lives, so does Jesus
 
Mkuu kanisa la kwanza dunia halipo Africa wala Ethiopia.

Kanisa la kwanza africa pia halipo Ethiopia mkuu...lipo Egypt
 
Shetani ni super intelligent creature katika ulimwengu huu.... Kamwe ukweli hautojulikana kwa deceptions zake zilivyo tamu kuziamini.
Mungu atusaidie... Myself nina mengi ambayo yananishida kuunganisha dots kuhusu historia katika kila civilizations zilizopita na hii tuliyopo... Kuna lots of contradictions.... Ila tupate kujua kinachotafutwa katika dunia hii ni power/authority... hii ni enzi na enzi.......... christ consciousness itasaidia
 

Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?

Wewe unaanzisha thread kwa kuweka vyanzo vya kihistoria halafu unauliza wengine maswali!
 
Ndg, kiufupi sana kwanza inatakiwa kuelewa kitabu leo kinachoitwa BIBLIA ni mkusanyiko wa vitabu vya hadithi, sheria, utabiri (Unabii) na historia ya jamii fulani, zilizoandikwa na waandishi mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali kwa malengo ya kufundisha, kukumbusha na kulinda maslahi ya jamii hio.

Hadithi hizi zimeandikwa kwa lugha mbalimbali. But primary language was Aramaic (Classical Hebrew). Sasa ukisoma Biblia ya Kiebrania neno ADAMU (Linaandikwa אדם ('Adamah) likiwa na maana ya "to be red", yaani "to the ruddy colour of human skin or RED Ground". Sasa katika ulimwengu wa kale, hata kwa kiarabu mtu mweupe leo enzi hizo alikuwa anaitwa "RED MAN".

Kwa maana hio, ADAMU alieongelewa kwenye Biblia kwa tafsiri ya original language of the book (Classical Hebrew) ina maana ADAM HAKUWA MTU MWEUSI BALI NI MWEKUNDU. Na ukisoma kwa umakini SIMULIZI HILI LA UUMBAJI utagundua kuwa ADAMU hakuwa pia mtu wa kwanza kuumbwa kwa maana there were pre-adamites ambao ni ABORIGINAL PEOPLE (Original from the Creator). Ndio maana KAIN alioa mwanamke nje ya kizazi cha ADAM.

Hivyo tujiulize nani alimuumba ADAM? ni MUNGU au ABORIGINALS? maana Kitabu cha Mwanzo Sura ya 1:26-31 waliumbwa watu na sio ADAM. na hawa watu waliumbwa wakatawale kila kitu ndani ya dunia. Sasa Je ADAM aliumbwa wakati gani?

Twende Simulizi la pili: Kitabu cha Mwanzo Sura ya 2:4-25. Kiumbe kilichoumbwa hapa kilikuwa Kimoja na ALIPEWA SHERIA LA KULA MATUNDA YA MITI YA PEMBEZONI NA ASILE MATUNDA YA MTI WA KATIKATI YA BUSTANI. Lakini viumbe vilivyoumbwa mwanzo walipewa umiliki wa kila kitu na walipewa pia ruhusa ya kula majani ya miti na nyasi kama ndio chakula chao hapakuwa na conditions au restrictions za uwepo wao na wao ndio waliumbwa kwa mfano wa SURA na UTUKUFU pia. Swali la kujiuliza ni kwanini walioumbwa mwanzo walipewa umiliki wa kila kitu lakini walioumbwa baadae waliminywa wasijihusishe baadhi ya mambo. Hawa wa KWANZA ni NANI na hawa wa PILI ni NANI.

Kuhusu ESAU na YAKOBO, nimependa ulivyosema ESAU was born RED na nimekueleza maana ya neno ADAMU kwa kiebrania kuwa ni "to be red", sasa nini maana ya masimulizi haya? LETS DIVE DEEPER on the story.

The Lord said to her,

“Two nations are in your womb,
and two peoples from within you will be separated;
one people will be stronger than the other,
and the older will serve the younger.”

24 When the time came for her to give birth, there were twin boys in her womb. 25 The first to come out was red, and his whole body was like a hairy garment; so they named him Esau.b]">[b] 26 After this, his brother came out, with his hand grasping Esau’s heel; so he was named Jacob

Points to NOTE:
WHY 2 NATIONS, and also THESE 2 NATIONS WILL BE SEPARATED?
and THE OLDER WILL SERVE THE YOUNGER? why? Tutaendelea maana hii sio THEOLOGY ni GENEALOGY.
Wow I like it. Let me find a good time to discuss more
 
Hawatuwezi hata wakifanyaje, hizo technolojia zao ndio zinatumika kusambaza CONSCIOUSNESS maana we are the nature, and you cant fight the nature. watawaweza watu kama akina KIKWETE na sio Akina MNEPHA, EINSTEIN NEWTON, NNJ7, MSHANA................ etc (endlessly).
Mnepha

We Break they're theory and Rise ours Up.

Ni wakati sasa wa Mu-Africa kufuta zile propaganda na kuutafuta Ukweli..
 

Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?
Stupid kabisa , hivi nani alikwambia ukiwa mweusi ni lazima uwe unaishi Afrika? unawajua aborigines Wa Australia? wale walikuwa weusi, kule nako ni Afrika?
 
Mi napenda kujua Yesu alikimbilia wapi alipotaka kuuliwa? Sababu historia yake ya miaka 2 mpaka 11 haijazungumziwa alikuwa wapi?

EGYPTAH - TWA LAND- LAND OF THE BLACKS- AFURAKA/AFURAITKAIT- ALKEBULAN- AFRICA-MOUNTAINS OF THE MOON WERE YHWH (GODS)
ALKEBULAN NATION.jpg
HAPPI DWELL
ALKEBULAN MAN.jpg
 
Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?

Barbarosa, Mtu mweupe hakumjua YESU mpaka pale tulipowapelekea maarifa. Ulaya sio ya wazungu. Ulaya ni ya weusi maana kabla Mzungu hajatoka mapangoni (Kumbuka WAZUNGU NI CAVE DWELLERS), MWEUSI alishajenga ULAYA.

CASTLE NA CATHEDRAL ZA ULAYA zimejengwa na weusi ambao walitawala ulaya kabla MZUNGU hajanawishwa uso.
Blacks are diverse people, the owner, the builder of world civilization. Wazungu hawakuwa na Lugha, hawakuwa wanajua kupika wala kuzika wafu wao. Utamaduni wa kijamii iliostaarabika wamefundishwa na WEUSI. Weupe walikuwa savage creatures.

Maandishi, sanaa, dini, lugha, elimu na sayansi tumewafundisha mara 3. Kwanza walipotolewa mapangoni kwa huruma ya wa Mungu, Mussa ndio alipewa jukumu lakuwafundisha angalao AMRI 10 wakati WEUSI walikuwa wanaziishi Sheria 42 ZA TOBA ya MAAT MIAKA 2500 BCE.

Pili: tukawapelekea Ustaarabu Enzi ya HELLENISTIC miaka 323 BCE, kwa kupitia wanaflasafa na wanahistoria wa kigiriki kama akina (Pluto, Aristotle, Socrates, Herodotus n.k) hawa wote walikuwa wanafunzi wa Misri na Kush (Ethiopia). WAGIRIKI ndio wakawastaarabisha WARUMI na ilipoanza dola ya kirumi hadi kuanguka kwake, ULAYA MAARIFA YAKAFA.

Tatu: Miaka ya 700 AD hadi 1454 AD, WAISRAEL (MOORS) wa Imani ya Kiislamu, walipeleka tena Elimu na Ustaarabu ULAYA. Hivyo wakatawala Ulaya miaka 800 na ndicho kipindi wazungu wanakiita DARK AGES IN EUROPE na karne ya 15 ndipo wakaanza kujitutumua kwa kujaribu kuwang'oa hawa WEUSI MOORS, ili wajitawale wenyewe. Kumbuka mwaka 1454 Jambazi "Kristofa Kolombas" (Sipendi kumwandika jina lake kizungu maana naandika kwa kiswahili ili watu waelewe) alipelekwa na WEUSI MOORS THE NAVIGATORS, VISIWA vya AMERIKA NA AMERIKA na huko akawakuta weusi wanaishi kipeponi kabisa AKADUWAA KUWAKUTA WEUSI HUKO AMERIKA.

Hivyo, Yesu wamepelekewa na ndio maana Cathedral zote ulaya zina watume na malaika WEUSI, Yesu na Maria wanaomuabudu ni Mweusi maana sanamu kuanzia Ureno hadi Urusi ni za weusi tupo.
 

Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?
Hahaha mbona ziwa nyanza pia lilikuwa kwetu lkn wazungu wakaja kulivumbua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom