Was Jesus Black?

Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
duh kwa kweli jf naiheshimu sana hasa hili jukwaa
 
Mkuu bado unaamini kuwa Mungu yupo?

Yesu mwenyewe ni masihi wa 16 kusurubiwa kwa ajiri ya mwanadam

Wa kwanza alikuwa ni horus na wote walizaliwa na Bikra na kufa wakiwa na miaka 33
Though both are Anecdotal tales lakini zinaweza kuwa na ukweli

Lakini mungu hayupo,kama utakuwa Intellectually honest kukubali ukweli utaelewa kwanini tunasema mungu hayupo
Mungu hayupo?????? hizi imani zinngine bhana!!!! kwamba Yesu ni wa 16 wa kwanza alikuwa horus!!!?? duuuuu!
 
What is the colour of early Jews? If they looked like Falasha, then he was brown, if they looked like the real Jews, they he had dark hair, dark closed eyes like Einstein and long jaws. but not white or blonde.
 
jesus-3.jpg


Idadi kubwa ya wakiristo na wasiyo wakristo wamedanganywa kwa kuaminishwa kuwa yesu ni white[Mzungu]
Hata michoro mingi inayotumika kumwakilisha yesu imekuwa ikimsadifu kama whiteman

Jaribu kugoogle tu neno "Jesus",99.999% ya picha utakazoletewa ni za mzungu anayefananishwa na Yesu

Hizo zote si picha za Yesu,ni picha za mtoto wa Pope Alexander wa sita aitwaye Casera borgia

Sad-fact ni kwamba,si tu Yesu alikuwa ni Black au African Hebrew

Bali characters wote wa kwenye Biblia kuanzia Adam mpaka Paul walikuwa ni Blacks

Huo ndiyo ulikuwa ukweli kabla ya miaka ya 1400
Mambo yalianza kubadilika wakati wa Renaissance period,kuanzia karne ya 14 mpaka ya 17 chini ya Pope Alexander VI

Ndipo Europeans walipoanza kumsadifu[Depict] Yesu kama Whiteman

Casera Borgia
[Casera Borgia kushoto Yesu kulia]
tumblr_lyiztg63km1qisa2ko1_500.jpg


Inaendelea page ya kwanza
Tunaendelea kucheza lazy song
 
Alikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?
Issue ya msingi ni kuwa: it is illegal to steal another person's identity
 
Hii mada ni nzito. Inahitaji umakini wa hali ya juu. This white image of Jesus already hv a place in our subconcise mind hatuwez kuelewa now cz we have the book bt we didn't have time read. BT my point is basing on history. History on what we know is a lie big lie. Kitabu cha James W Loewen kinachambua mambo mengi ya uongo tulilojifunza shuleni. in his book Lies My Teacher Told Me, Loewen criticizes modern World history textbooks for containing incorrect information about people and events such as Christopher Columbus, the lies and inaccuracies in the history books regarding the dealings between the Europeans and the Native Americans, and their often deceptive and inaccurate teachings told about America's commerce in slavery and black people. He proposes that when American history textbooks elevate american historical figures to the status of heroes and at the same time downgrade the truth on reality, they unintentionally give students the impression that these figures are superhumans who live in the irretrievable past. In other words, the history-as-myth.
wengi tunaangamia kwa kukosa maarifa siku zote bible ipo open bt hatusomi we still belive in deception.
that is not the case my concern is abt these famous people namamisha wasanii wakubwa kama 2pac,kanye west na lil wyne. kwenye video za nyimbo zao wanaji depict kama jesus was blac na wanajifanya wanateswa msalabani what is this? wanamaanisha nn or its some kind of a cult manake we black people na red indians ndo tunaongoza kuteswa hapa duniani. cha kuwalaumu ni hawa tunaowaamini na kuwafanya viongozi wa dini. kazi yao ni mapepo,sadaka huwez skia wakiongelea hot topic kama hiz in church. Mm nasubir hata Christian Cleric mmoja atoe ufafanuzi juu ya hii kitu.
kama Jesus was blac wakabadili ili aonekane he is white inamana wazungu walitaka kuonekana superior than blacks.
Samahani kama kuna ambae nitamkwaza. I submit my views
 
Hii mada ni nzito. Inahitaji umakini wa hali ya juu.
kama Jesus was blac wakabadili ili aonekane he is white inamana wazungu walitaka kuonekana superior than blacks.
Samahani kama kuna ambae nitamkwaza. I submit my views

Mkuu humkwazi yeyote mwenye kutaka mambo ya uwazi. Video hii hapa:

 
Hii mada ni nzito. Inahitaji umakini wa hali ya juu.
kama Jesus was blac wakabadili ili aonekane he is white inamana wazungu walitaka kuonekana superior than blacks.
Samahani kama kuna ambae nitamkwaza. I submit my views

Mkuu humkwazi yeyote mwenye kutaka mambo ya uwazi. Video hii hapa:

 
Ata adamu alikuwa mtu mweusi fuvu lake lilipatikana oldvai george tena mtanzania teh teh teh
 

Kama ni kweli alikuwa ni mtu mweusi ina maana alikuwa ana asili ya kwetu Afrika, sasa iweje hatukumjua mpaka Mtu mweupe alivyokuja kututambulisha kwetu? Kama angekuwa kweli ni wetu si tungemjua tu tangia mwanzo tena kabla ya Mzungu?
Inawezekana ndiye aliyeitwa Mwanamalundi mtenda miujiza kwa wasukuma.
 
Alikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?
Kama umepaniki hivi!
 
Hongera mleta mada , kupingwa nilazima utapingwa kwa sababu tuna ishi katika ulimwengu wa watu wanao fikiri kwakutumia mioyo yao na imani zao adala ya, Akili, watu wana yatetea maandiko yaliyo tunzwa mikononi mwa watu kwamiaka , 2000,ninani awezae kujua kama kuna lililo tendeka lenye chembe za uongo..???.

Akuna anae weza ila tupo tunao amini hakuna ovu lolote lililo tendeka lakini nikwanini tunapo letewa ukweli tusi upokee nakuu chunguza kama ndio ukweli wenyewe ..??.

Napenda kuwa ambia ata samsoni yaweza kua alikuwa mweusi nandio maana alikua na, "RASTA" wewe usha muona mtu mweupe mwenye rasta ???.
Haya mavitabu yote ni mariwaya tu , tena yamekosewakosewa tu, yanajipinga yenyewe. Aya hii inakubali hiki aya nyingine inakipinga kile kile. !
 
Mungu hayupo?????? hizi imani zinngine bhana!!!! kwamba Yesu ni wa 16 wa kwanza alikuwa horus!!!?? duuuuu!
Huwezi kuamini kwa kuwa umefungwa NIRA ya kuamini maandiko hayo tangu utotoni, inakuwia vigumu kabisa kukubali habari mpya moyoni mwako.
 
Kama ni kweli usemalo kuwa Casera Borgia ni mtoto wa Pope Alexander VI aliyetumika kama Jesus. My question is Who is Brian Deacon?
1461666216421.jpg
huyu ni jamaa mmoja fundi garage ambaye hadi Leo watu wamemning'iniza majumbani kwao na shingoni wanasema ndio yesu.
 
THE AFRICAN NATURE OF JESUS

Wamisri na Jews tunaowaona Leo si wale waliyoishi zamani

Herodatus
Mwanahistoria wa kale wa kigiriki aliyewaona,aliwahi kusema haya kuhusu wao;

"The nubians,the Egyptians,and the Ethiopians have a broad noses,thick lips,woolly hair and they are burnt in skin[Black skinned]"

Woolly ni sufu

Ufunuo 1:12
Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu safi

In human race,wenye uwezo wa kuwa na nywele kama za sufu ni Black tu

w21-e1439448747998.jpg


Ufunuo 1:15
Na miguu yake kama shaba iliyosuguliwa sana,kana kwamba imesafishwa katika tanuru

Rangi ya shaba au bronze ni brown,baada ya kuchomwa kwenye tanuru inabadilika na kuwa nyeusi kwasababu ya Oxidation
so miguu yake ilikuwa kama hivi

2528199704_bd0146b921_b.jpg
Einsten Newton
wewe utakuwa ndg, yangu. Sema hatujuwani tu.

Kwa Uzi huu nimekuelewa sana. Na niseme tu nimefuatilia kuanzia ukulasa wa 1(kwanza) -27 na nimeona jinsi watu walivyo wagumu kuelewa au kuufuta uongo katika bongo zao na ku-save upya ukweli.
Pole sana kwa changamoto hiyo.

Awali niliwahi leta Uzi usemao, "Why Black People and White People" wengi walitilia maanani na wachache walibeza .(Sio Tija)

Tija ni Watu kuamka sasa na kujua nafasi yao na nivipi waitumie. Mwanzo tulikuwa na Dini hapa Afrika hatukuzitilia maanani wakaja watu kuichukua na kuibadili kwa masirahi yao kisha kutuletea kama kitu kipya na kwacho wakafanikiwa kututawala na kutuibia baadhi ya lasirimali zetu.
AFRIKA KUULISHA ULIMWENGU
sasa WANARUDI KWA NJIA YA UTANDAWAZI NA TEKNOLOJIA kutukomesha kabisaaa.

shida ni watu hatusomi na hatuulizi kwanini hiki na kile.
Hata vitabu vyetu vya imani vinatueleza wazi japo sio sana (kuna vingine imefeli) Ila bado hatuamki.

Wachungaji na Mashehe wametuibia sadaka kwa muda murefu sasa
staili ileile ya toa Mungu atakubariki ulipo toa. Yaani tungekuwa na dhahabu tungetoa dhahabu na tungekuwa na Almasi halikadhalika. Vyote walichukua sasa tunauza mahindi na nafaka zingine ili kukatoe Fedha.
(Kuna wakti nacheka nikitafakari kwa kina)
Hivi kuna watu hawajui kuwa Makao makuu ya Ukristo yapo wapi na makao makuu ya Uislama yapo wapi. Na migawanyo ya Sadaka zao huishia wapi?

Aibu juu yako......
maandiko yenyewe ya imani yamekataza viongozi wa waumini kuchukua sadaka..nitafute nikupe ushahidi....

Aisee ninamengi kwa kichwa nikisema niandike vidole vitachoka kuandika...
na

Asante sana #Einstein Newton
 
Nakuunga mkuno kwanza kwenye swala la njia za kiroho za mababu zetu. kuna umuhimu kuzienzi nakuzianzisha.

Pili ni msisitizo tu juu ya rangi ya huyu aliezushwa kuwapo hali kwamba hakuwapo.
Sisi tuliepata bahati kupita pale misri ba ethiopia, tumefubdishwa kuwa hapakuwai kutokea kiumbe anaitwa yesu kristo alietembea ktk ardhi hii ya duniani. hadithi ya yesu ni miungoni mwa stolen legacy za ngano zetu.
Misri kuna document ambayo waingereza waliiba inaitwa THE BOOK OF COMING FORTH DAY AND NIGHT wao wakaita THE BOOK OF THE DEAD. kuna mwandishi alikuwa anaitwa HUNEFER ANI ktk temple ya Abadyos kwenye hicho kitabu kuna hadith ya Auset na Osiris na Heru ambayo ya familia yenye story kama ya Yesu. ambayo ya miaka ya 1250BCE.
Wazungu wamekopi na kubadili majina ya wahusika nakusema Yoseph, Maria na Yesu so strange.

MABABU ZETU WALITUACHIA SIRI KWENYE MAWE YA MAPYRAMID. WAZUNGU WAMESHINDWA KUHARIBU USHAHIDI ULIOACHA KWENYE MAWE NDIO MAANA LEO WANAUMBUKA. NITAENDELEA ....
Mnepha Nimependa ulichonacho kwa kichwa.
endelea kutupia hapa tafadhali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom