Was Jesus Black?

Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
jesus-3.jpg


Idadi kubwa ya wakiristo na wasiyo wakristo wamedanganywa kwa kuaminishwa kuwa yesu ni white[Mzungu]
Hata michoro mingi inayotumika kumwakilisha yesu imekuwa ikimsadifu kama whiteman

Jaribu kugoogle tu neno "Jesus",99.999% ya picha utakazoletewa ni za mzungu anayefananishwa na Yesu

Hizo zote si picha za Yesu,ni picha za mtoto wa Pope Alexander wa sita aitwaye Casera borgia

Sad-fact ni kwamba,si tu Yesu alikuwa ni Black au African Hebrew

Bali characters wote wa kwenye Biblia kuanzia Adam mpaka Paul walikuwa ni Blacks

Huo ndiyo ulikuwa ukweli kabla ya miaka ya 1400
Mambo yalianza kubadilika wakati wa Renaissance period,kuanzia karne ya 14 mpaka ya 17 chini ya Pope Alexander VI

Ndipo Europeans walipoanza kumsadifu[Depict] Yesu kama Whiteman

Casera Borgia
[Casera Borgia kushoto Yesu kulia]
tumblr_lyiztg63km1qisa2ko1_500.jpg


Inaendelea page ya kwanza
This is interesting.
 
This is interesting.
Mkuu,I recommend you to do your own research on this subject

Whites distorted our great history,manipulated it and kept the truth away from the public

But unfortunately,many blacks still don't know,greatness of their own race.
And whites use this advantage to extend their false sense of superiority

This is too sad!
 
Asante mtoa mada kwa elimu iliyokidhi vigezo na masharti yote.

Tutafurane. Naona kuna umuhimu wa kuandika kitabu.
 
Mwaronk said:
nifafanulie kuhusu unavyosema Mungu hayupo (enstein)

Kuna sababu nyingi

Kwanza ni uwezo wa sayansi kuelezea kila kitu kwa ufanisi bila kumuhusisha Mungu

Nitakupa sababu moja itakayokufikirisha

Wanasema Mungu ni
1.Mwenye uwezo wote
2.Mwenye ujuzi wote
3.Mwenye upendo wote

Lakini kwanini kuna Maovu?
Maovu ni chanzo mateso hapa duniani

Watoto wachanga wanakufa somalia kwa njaa.

somalia_famine_1_AP110726118117.JPG


Mungu mwenye upendo wote asingekubali viumbe wake wateseke kwa Maovu

Mungu mwenye ujuzi wote,angejuwa jinsi gani maovu yanatokea na jinsi ya kuyazuia yasitokee

Mungu mwenye uwezo wote,asingeshindwa kuyazuia hayo maovu

Lakini kwanini dunia imejaa maovu,mateso na mahangaiko?

Kama Mungu aliyaruhusu,basi hana upendo wote

Kama alitaka kuyazui lakini akakosa njia ya kuyazui basi hana ujuzi wote

Kama alitaka na akawa na njia ya kuyazui lakini akashindwa basi hana uwezo wote!
 
This is the truth. Even christianity originated from Africa. The oldest temple with pictures depicting Jesus birth was found in Nekkhen, in Sudan.
Jiulize; Kwa nini story nyingi za kiafrika zinafanana kwa kiasi fulani na story za kwenye biblia?
 
Yesu Sio mtu halisia bali ni mtu ambae ni character katika story
 
acha ujinga wewe...wewe ndo utakuwa asili ya nyani. hiyo melanin kwa nini mzungu akizaa huku mtoto hawi mweusi? hizo akili za kuambiwa changanya na zako. we unakusumbua unyani tu. huulizi hayo maswali. kuna wazungu kibao wamezaa afrika na watoto wao bado ni weupe hiyo melanin why haikufanya kazi kwao? nenda kule uarabuni ukawaone wanoishi kwnye majangwa utawaona kama ni weusi au weupe. nenda jangwa la Great Basin Desert, Sonoran Desert, Chihuahuan Desert . una kariri tu kwa kusikia sikia na kusimuliwa huko vijiweni ukishavuta mibhangi yako na huyo jamaa mnamwita jah. huna hata uwezo wa kufikiria. na huyo jamaa atawapiga fix sana



We wangekuita GuJike tu,maana ni mgumu wa kuelewa

Daudi alikuwa mwebrania,waebrania wote walikuwa Dark skinned

Inawezekana hujui,kwanini wewe una rangi nyeusi
Melanin ndiyo inayofanya ngozi yetu kuwa nyeusi

Melanin hiyohiyo ndo inayolinda ngozi yetu na mionzi mikali ya jua[Utra violet]

Mzungu hawezi kukaa sehemu yenye joto,bila kupata skin cancer kwa sababu hana melanin za kutosha

Ibrahim aliishi middle east[wakati huo]

Asilimia kubwa ya Middle east,ilikuwa ni jangwa,hivyo kulikwa joto kali

sasa Ibrahim angewezaje kuishi huko kama alikuwa white skinned?

Nenda basra Iraq,kule kuna joto kali sana lakini wenyeji wa kule ni weusi japokuwa wapo Iraq

Ukiona naongopa fanya utafiti wako ili uujue ukweli

Kuelimisha Miafrika kama nyie heri uwafundishe panya kutegua mabomu!
 
Ni ujinga kukaa hapa kuzungumzia historia ambayo imejaa mateso na miaka 100 baada ya hiy historia bado ni majanga tu. miafrika inaishi kwa historia mpaka leo. adam na hawa walikuwa weusi sema na hilo. so what? hata kama Mungu ni mweusi so what? imetusaidia nini sisi waafrika ambao bado ni tegemezi kwa wazungu na kila siku tunabaki kulalama tu.....mi naichukia sana mijitu yenye akili za kipumbavu nawaza kama ingepigwa risasi tu ijifie huko mbali tuwalishe mamba na wanyama wengine. wenzenu wanawaza kuvumbua vitu mbalimbali ninyi MNAKAZANA TU YESU ALIKUWA MWEUSI, WAAFRIKA WANA HISTORIA KUBWA. SO WHAT? hata hamna mnalovumbua zaidi ya kuvumbua matumizi ya viungo vya albino. x$*&^%$#@%&(((()(&^%%$$XX kabisa.



Kwel mkuu
 
Ni ujinga kukaa hapa kuzungumzia historia ambayo imejaa mateso na miaka 100 baada ya hiy historia bado ni majanga tu. miafrika inaishi kwa historia mpaka leo. adam na hawa walikuwa weusi sema na hilo. so what? hata kama Mungu ni mweusi so what? imetusaidia nini sisi waafrika ambao bado ni tegemezi kwa wazungu na kila siku tunabaki kulalama tu.....mi naichukia sana mijitu yenye akili za kipumbavu nawaza kama ingepigwa risasi tu ijifie huko mbali tuwalishe mamba na wanyama wengine. wenzenu wanawaza kuvumbua vitu mbalimbali ninyi MNAKAZANA TU YESU ALIKUWA MWEUSI, WAAFRIKA WANA HISTORIA KUBWA. SO WHAT? hata hamna mnalovumbua zaidi ya kuvumbua matumizi ya viungo vya albino. x$*&^%$#@%&(((()(&^%%$$XX kabisa.
HV na ww kumbe n mzungu vle eeh??
 
acha ujinga wewe...wewe ndo utakuwa asili ya nyani. hiyo melanin kwa nini mzungu akizaa huku mtoto hawi mweusi? hizo akili za kuambiwa changanya na zako. we unakusumbua unyani tu. huulizi hayo maswali. kuna wazungu kibao wamezaa afrika na watoto wao bado ni weupe hiyo melanin why haikufanya kazi kwao? nenda kule uarabuni ukawaone wanoishi kwnye majangwa utawaona kama ni weusi au weupe. nenda jangwa la Great Basin Desert, Sonoran Desert, Chihuahuan Desert . una kariri tu kwa kusikia sikia na kusimuliwa huko vijiweni ukishavuta mibhangi yako na huyo jamaa mnamwita jah. huna hata uwezo wa kufikiria. na huyo jamaa atawapiga fix sana
HV umeshawah kusoma genetic?
 
GuDume said:
acha ujinga wewe...wewe ndo utakuwa asili ya nyani. hiyo melanin kwa nini mzungu akizaa huku mtoto hawi mweusi?
Hivi we binti nati zipo vizuri kichwani?

Nani hawi mweusi mtoto au Baba?

Kati ya white na Black ipi ni Dominant na ipi recessive gene?
hizo akili za kuambiwa changanya na zako. we unakusumbua unyani tu. huulizi hayo maswali. kuna wazungu kibao wamezaa afrika na watoto wao bado ni weupe hiyo melanin why haikufanya kazi kwao?
Kwanza unajua melanin ni kitu gani?

Mzungu akizaa na mwafrika lazima mtoto atakuwa black kwa sababu black ni dominant gene

Muangalie Bob marley kwa mfano,baba yake ni white ila yeye ni mweusi
una kariri tu kwa kusikia sikia na kusimuliwa huko vijiweni ukishavuta mibhangi yako na huyo jamaa mnamwita jah. huna hata uwezo wa kufikiria. na huyo jamaa atawapiga fix sana
Na unajua Jah ni nani?

Yaani nyie kina mama mliopewa mimba uzeeni mna tabu kweli

Na mtoto utakaye zaa,lazima afanane na mimi kenge we!
 
GuDume said:
Ni ujinga kukaa hapa kuzungumzia historia ambayo imejaa mateso na miaka 100 baada ya hiy historia bado ni majanga tu.miafrika inaishi kwa historia mpaka leo.adam na hawa walikuwa weusi sema na hilo. so what? hata kama Mungu ni mweusi so what?imetusaidia nini sisi waafrika ambao bado ni tegemezi kwa wazungu na kila siku tunabaki kulalama tu...mi naichukia sana mijitu yenye akili za kipumbavu nawaza kama ingepigwa risasi tu ijifie huko mbali tuwalishe mamba na wanyama wengine. wenzenu wanawaza kuvumbua vitu mbalimbali ninyi MNAKAZANA TU YESU ALIKUWA MWEUSI, WAAFRIKA WANA HISTORIA KUBWA. SO WHAT? hata hamna mnalovumbua zaidi ya kuvumbua matumizi ya viungo vya albino. x$*&^%$#@%&(((()(&^%%$$XX kabisa.
Kujielezea kwenyewe hujui,unaandika hovyo hovyo

Mods muwe mnawapima members wenu akili kabla ya kuwaruhusu

Sio kila mwenye email basi anafaa kuwa member wa JF kama huyo dada hapo juu

So what,so what,so what!!so olewa upate mme wako

Sio kutwa unamvalia kanga moja shemeji yako
 
Kujielezea kwenyewe hujui,unaandika hovyo hovyo

Mods muwe mnawapima members wenu akili kabla ya kuwaruhusu

Sio kila mwenye email basi anafaa kuwa member wa JF kama huyo dada hapo juu

So what,so what,so what!!so olewa upate mme wako

Sio kutwa unamvalia kanga moja shemeji yako
Duuuh ?.... ngoja kwanza nikaone maajabu ya paka dume, ,,, nitakuja baadae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom