majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 463
- 649
Nawapa tahadhari wadau wenzangu humu, kuhusu jamaa wanaodai wanaotoa mikopo kwa kutumia jina la MO FOUNDATION.
KWA KIFUPI. NI MATAPELI NA MTATAPELIWA KAMA MIMI.
Website zao.
mohamedfoundation.site
USIDANGANYIKE, INAFUNGUKA MPAKA WAENDA KUJAZA FORM, KUINGIZA NIDA NA VITAMBULISHO VYOTE!
WATADAI ULIPE DHAMANA KWA MKOPO UTAKAO, HALAFU WATAKUJA KUDAI ULIPE BIMA YA MKOPO. HUTAPATA KITU, NARUDIA HUPATI MKOPO WALA NINI, ZAIDI YA WAO KUKU BLOCK, KUKUWEKA BUSY NK.
NAMBA ZAO ;
0616522982
0654129952
JiHADHARINI WADAU
mohamedfoundation.site
OGOPA MATAPELI!
Karibu Mohamed Foundation
Tunakopesha online kuanzia 300,000 hadi 10,000,000 kwa watanzania wote Bara na Zanzibar.
NIKUHUDUMIE NINI TAFADHALI.?
Huduma ya mikopo inapatikana online kupitia website yetu, Hivyo ingia kwenye website yetu hapa chini uweze kusoma vigezo na masharti pamoja na kuomba mkopo.
WEBSITE 👇
mohamedfoundation.site
akiba yako imepokelewa kikamilifu tafadhari subiri dakika 30 wakati tukikamilisha mkopo wako
HONGERA NDUGU KUPITIA AKIBA YAKO AKAUNT YAKO IMEWEZESHWA KIKAMILIFU KWA KUMBUKUMBU NAMBA MODF/(455TF)/TLRHFAQQSZX/576-2025
HATA HIVYO UNATAKIWA KULIPIA BIMA YA MKOPO , BIMA YA MKOPO NI SHARTI LA LAZIMA KWANI ENDAPO UTASHINDWA KULIPA BIMA ITAFIDIA NA ITAKUA NA JUKUMU LA KUKUTAFUTA PIA.
BIMA NI TSH 25,000/= LIPIA SASA ILI UWEZE KUINGIZIWA MKOPO WAKO NDANI YA DAKIKA 5 KWA USAJILI UMEKAMILIKA. LIPIA KUPITIA NAMBA ULIYOTUMIA KULIPIA AKIBA
Jamani nimeshapigwa 45,000/-..
Nanyi msiingie mkenge kwa hawa watu wanaotumia vibaya jina na picha ya MO DEWJI..
KWA KIFUPI. NI MATAPELI NA MTATAPELIWA KAMA MIMI.
Website zao.
MOHAMED FOUNDATION – Loan Servicing Agency
mohamedfoundation.site
WATADAI ULIPE DHAMANA KWA MKOPO UTAKAO, HALAFU WATAKUJA KUDAI ULIPE BIMA YA MKOPO. HUTAPATA KITU, NARUDIA HUPATI MKOPO WALA NINI, ZAIDI YA WAO KUKU BLOCK, KUKUWEKA BUSY NK.
NAMBA ZAO ;
0616522982
0654129952
JiHADHARINI WADAU
MOHAMED FOUNDATION – Loan Servicing Agency
mohamedfoundation.site
Karibu Mohamed Foundation
Tunakopesha online kuanzia 300,000 hadi 10,000,000 kwa watanzania wote Bara na Zanzibar.
NIKUHUDUMIE NINI TAFADHALI.?
Huduma ya mikopo inapatikana online kupitia website yetu, Hivyo ingia kwenye website yetu hapa chini uweze kusoma vigezo na masharti pamoja na kuomba mkopo.
WEBSITE 👇
MOHAMED FOUNDATION – Loan Servicing Agency
mohamedfoundation.site
akiba yako imepokelewa kikamilifu tafadhari subiri dakika 30 wakati tukikamilisha mkopo wako
HONGERA NDUGU KUPITIA AKIBA YAKO AKAUNT YAKO IMEWEZESHWA KIKAMILIFU KWA KUMBUKUMBU NAMBA MODF/(455TF)/TLRHFAQQSZX/576-2025
HATA HIVYO UNATAKIWA KULIPIA BIMA YA MKOPO , BIMA YA MKOPO NI SHARTI LA LAZIMA KWANI ENDAPO UTASHINDWA KULIPA BIMA ITAFIDIA NA ITAKUA NA JUKUMU LA KUKUTAFUTA PIA.
BIMA NI TSH 25,000/= LIPIA SASA ILI UWEZE KUINGIZIWA MKOPO WAKO NDANI YA DAKIKA 5 KWA USAJILI UMEKAMILIKA. LIPIA KUPITIA NAMBA ULIYOTUMIA KULIPIA AKIBA
Jamani nimeshapigwa 45,000/-..
Nanyi msiingie mkenge kwa hawa watu wanaotumia vibaya jina na picha ya MO DEWJI..