Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,537
- 31,985
Hii nimeiona leo live kwa mkenya mmoja imetokea hapa uganda eneo la Chikesa nyuma ya stand ya mabasi ya Namaiba
Ndugu zangu iwapo utandesha gari maeneo hayo ukisimama kuna vijana hawa ni wahuni, matapeli wanaoshirikiana na jeshi la polisi la Uganda.. Naamini mkuu wa majeshi Uganda atafwatilia kama sio anajua huu uhuni...
Wakikuhisi una hela wanakufwata dk kadhaa mara tairi ina pancha ama ina shida fulani usisimame nenda na pancha kasimamie huko mbele
Hawajamaa ni mafundi magari.. Unapowapa warekebishe tairi kama pancha la kwanza wanafungua shockups zote na kila kitu badae wanakuita kukuonyesha uchafu uliopo ambaoo kiuhalisia haujatoka kwenyegari yako.. Pale ndipoo unashangaa wanakwambia nunua hiki mara kile kutoka kubadili tairi 3000mpaka laki saba za Uganda
Nimefurahii huyu mwanamke mkenya nakuita jembe alichofanya alimwita mumewe wakati anakuja akaja na polisi wale jamaa wakakimbia akabaki mmoja anakomaa... Mama akasema ataita breakdown na wahusika atawafuata kwa gharama zake... Gafla ikaja gari ya jeshi... Wakashuka na kumkamata yule mpuuzi ambae aliamua kubaki
Yule mpuuzi akamwambia polisi amwambie yule mama kusaidiwa wamfungie atoe laki tano za Uganda
Kiukwelu ile ni michezo yao ya wahuni na polisi wa Uganda.. Mwanzo nilidhani watawakamata matokeo yake polisi anaomba mama wa watu akubaliane na haoo wahuni.. Walipooona defender ya jeshi kazi ikaisha wakaondoka na polisi huku mama akisema na polisi wanahusika na hawa waunii
Kama sio wanajeshi kuja na kumuamuru yule mhuni afunge gari kama alivyoikuta kwakweli mama wa watu angeteseka sana
Naomba mjue mkienda Uganda mkipita Chiseka nyuma ya stand ya Namaiba mkiona mtu anakufwata ondoa gari kwa speed
Kama waganda wanalia sembuse we foreigner utazaa mapacha
Ndugu zangu iwapo utandesha gari maeneo hayo ukisimama kuna vijana hawa ni wahuni, matapeli wanaoshirikiana na jeshi la polisi la Uganda.. Naamini mkuu wa majeshi Uganda atafwatilia kama sio anajua huu uhuni...
Wakikuhisi una hela wanakufwata dk kadhaa mara tairi ina pancha ama ina shida fulani usisimame nenda na pancha kasimamie huko mbele
Hawajamaa ni mafundi magari.. Unapowapa warekebishe tairi kama pancha la kwanza wanafungua shockups zote na kila kitu badae wanakuita kukuonyesha uchafu uliopo ambaoo kiuhalisia haujatoka kwenyegari yako.. Pale ndipoo unashangaa wanakwambia nunua hiki mara kile kutoka kubadili tairi 3000mpaka laki saba za Uganda
Nimefurahii huyu mwanamke mkenya nakuita jembe alichofanya alimwita mumewe wakati anakuja akaja na polisi wale jamaa wakakimbia akabaki mmoja anakomaa... Mama akasema ataita breakdown na wahusika atawafuata kwa gharama zake... Gafla ikaja gari ya jeshi... Wakashuka na kumkamata yule mpuuzi ambae aliamua kubaki
Yule mpuuzi akamwambia polisi amwambie yule mama kusaidiwa wamfungie atoe laki tano za Uganda
Kiukwelu ile ni michezo yao ya wahuni na polisi wa Uganda.. Mwanzo nilidhani watawakamata matokeo yake polisi anaomba mama wa watu akubaliane na haoo wahuni.. Walipooona defender ya jeshi kazi ikaisha wakaondoka na polisi huku mama akisema na polisi wanahusika na hawa waunii
Kama sio wanajeshi kuja na kumuamuru yule mhuni afunge gari kama alivyoikuta kwakweli mama wa watu angeteseka sana
Naomba mjue mkienda Uganda mkipita Chiseka nyuma ya stand ya Namaiba mkiona mtu anakufwata ondoa gari kwa speed
Kama waganda wanalia sembuse we foreigner utazaa mapacha