EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,108
- Thread starter
- #61
Mtaka cha uvunguni sharti ainame so itabidi ujifunze, pili nitakufundisha katika moja ya strategy za kukufanya u fall, tatu hata ukitaka chit chat au MMU darasa linaweza endelea tuNIlishindwa kutumia hiyo kitu nilipokua shuleni ndio nijifunze leo?
Hiyo criticality nanunua wapi? au ni paji la kuzaliwa tu?
kama ni ya kuzaliwa, kama ni vya kusoma, bora niache tu.
Mi siwezi kwenda mbali na chit chat au MMU jamani. :disapointed: