Warning: Don't try to talk to me.........

Warning: Don't try to talk to me.........

astakafululah, kuna mtu kaiba pasiwedi angu.

Kwani maana ya yala maneno ni nini?
Sijui kizungu kwanza.
Kha hiyo pasiwedi umejiibia mwenyewe umeitoa kwenye mfuko wa sketi umeiweka kwenye mfuko wa skini taiti zile za ki Guan zhou
 
Si yule room mate aka bed mate....
Huyo hatuhusiani zaidi ya kuchangia nyumba tu.
Ni housemate, but tunaitana roommate (sijui why)

mmh, kuna wengine waweza kuwa nazo hata 5 lol
huyu ana jeuri ya kufunga PM kweli? Sidhani labda pet, jeuri hiyo anayo.
Tena kama sio personal kihivyo ndo namwita kwa raha zangu.
I was actually referring to muuza Pet.
Niliandipa PM ndefuuuu, nikianza:
Dear muuza Pet, nilitaka tu kukwambia kua
nilifurahi sana na mchango wako
katika ile thread ya XXX uliposema XXX etc.

Nilipotuma nikaona ina bounce:
Sorry, Muuza Pet cannot receive your PM at the moment
Please get smarter and try again later. :lol: :lol: :lol:
 
Mi nina siku nyingi kweli sija-fall in love.
Nahisi kama bet fulani hivi, I want to try. :A S 39:

Sina hakika kama hiyo maneno hujaribiwa !
Ijaribiwayo ndy hua kamili.
Ikamilikayo huishia njiani .
 
Refer to the heading above,

I would like to wrn you that if you try to talk to me you will surely fall in love with me and when you fall i will definitely break your heart into pieces.............

Imetolewa na utawala
Ingia kwenye profile ya mdau mamaTulli kisha soma signature yake.
 
Huyo hatuhusiani zaidi ya kuchangia nyumba tu.
Ni housemate, but tunaitana roommate (sijui why)


I was actually referring to muuza Pet.
Niliandipa PM ndefuuuu, nikianza:
Dear muuza Pet, nilitaka tu kukwambia kua
nilifurahi sana na mchango wako
katika ile thread ya XXX uliposema XXX etc.

Nilipotuma nikaona ina bounce:
Sorry, Muuza Pet cannot receive your PM at the moment
Please get smarter and try again later. :lol: :lol: :lol:
Teh Teh Teh Kongosho kasema ni "Toothless cant even kill a fly" Mi nikasema sitii neno hapo maana nsijeingizwa mkumboni miye

Halafu hiyo PM uliyotuma haikuwa ya kucongratulate ndio maana ilidunda............. just nanihiiiii.......tu
 
[COLOR=#ff0000 said:
Judgement;3621535]Sina hakika kama hiyo maneno hujaribiwa !
Ijaribiwayo ndy hua kamili.
Ikamilikayo huishia njiani
[/COLOR] .

Officially nasema nimeipenda hii
 
Teh Teh Teh Kongosho kasema ni "Toothless cant even kill a fly" Mi nikasema sitii neno hapo maana nsijeingizwa mkumboni miye

Halafu hiyo PM uliyotuma haikuwa ya kucongratulate ndio maana ilidunda............. just nanihiiiii.......tu

Unaniwekea maneno mdomoni jamani, bora hata uniwekee mikononi.

I was actually referring to muuza Pet.
Niliandipa PM ndefuuuu, nikianza:
Dear muuza Pet, nilitaka tu kukwambia kua
nilifurahi sana na mchango wako
katika ile thread ya XXX uliposema XXX etc.

Nilipotuma nikaona ina bounce:
Sorry, Muuza Pet cannot receive your PM at the moment
Please get smarter and try again later. :lol: :lol: :lol:

Huyo hata kuandoka pongezi lazima uwe unajua kalkulas, si unaona kule si hasa anayoandikaga ma kalkulas ya kisiasa?
Afu anataka u-hit point straight

Mie siku hizi tunachekeana weeee
 
Unaniwekea maneno mdomoni jamani, bora hata uniwekee mikononi.



Huyo hata kuandoka pongezi lazima uwe unajua kalkulas, si unaona kule si hasa anayoandikaga ma kalkulas ya kisiasa?
Afu anataka u-hit point straight

Mie siku hizi tunachekeana weeee
Hahahahaaa sa unataka kuwa kama yule mheshimiwa fulani leo ukimwambia ulisema maneno yale atakataa kabisa atakwambia ulete ushahidi, i was just "Nanukuu"
 
Huyo hata kuandoka pongezi lazima uwe unajua kalkulas, si unaona kule si hasa anayoandikaga ma kalkulas ya kisiasa?
Afu anataka u-hit point straight
Mie siku hizi tunachekeana weeee
Kongosho Maidia nifundishe hizo hesabu za kalkulas,
Na mimi nikiongea ni hit herufi-spot la kijana yule.
Anti yangu alinifunza maarifa mengi ila kalkulas bado
Please, please, please... we ulifanyaje mchekeane? lol
 
Kongosho Maidia nifundishe hizo hesabu za kalkulas,
Na mimi nikiongea ni hit herufi-spot la kijana yule.
Anti yangu alinifunza maarifa mengi ila kalkulas bado
Please, please, please... we ulifanyaje mchekeane? lol
Tafuta kalikuleta ya sayantifiki sijui ndo wanaiita hivyo au kitabu cha four figure kitakusaidia
 
He he he, nenda si hasa afu uwe critical kwenye analysis lol.
Mie huoni siku hizi niko huko napita pita.

Kongosho Maidia nifundishe hizo hesabu za kalkulas,
Na mimi nikiongea ni hit herufi-spot la kijana yule.
Anti yangu alinifunza maarifa mengi ila kalkulas bado
Please, please, please... we ulifanyaje mchekeane? lol
 
Umerudi??
kili kili kili kili, akina mama mpokeeni mabeseni yake kichwani
Atakuwa kachoka, michele mletee maji anawe miguu, jangwani kuna vumbi kweli.
Na huyo ngamia wake mfungeni kwenye mti.

Msishahau kumwandalia butter naan.
 
refer to the heading above,

i would like to wrn you that if you try to talk to me you will surely fall in love with me and when you fall
i will definitely break your heart into pieces.............

imetolewa na utawala


Ukizoea kutenda siku ukimpata wa kukutenda utazimia yakhe...
 
Ukizoea kutenda siku ukimpata wa kukutenda utazimia yakhe...
Hahahahaaa nlishawahi na believe mi nshawahi si unajua kuruka stage hakuruhusiwi eeh naw am experienced
 
Tafuta kalikuleta ya sayantifiki sijui ndo wanaiita hivyo au kitabu cha four figure kitakusaidia
NIlishindwa kutumia hiyo kitu nilipokua shuleni ndio nijifunze leo?

He he he, nenda si hasa afu uwe critical kwenye analysis lol.
Mie huoni siku hizi niko huko napita pita.
Hiyo criticality nanunua wapi? au ni paji la kuzaliwa tu?
kama ni ya kuzaliwa, kama ni vya kusoma, bora niache tu.
Mi siwezi kwenda mbali na chit chat au MMU jamani. :disapointed:
 
Back
Top Bottom