Mkuu huyo waziwazi ni hewa kabisa hawezi elewa kituwewe mbona umelishwa maneno na JK na watu wamenyamaza. Acha kumnaga mwenzako mkuu, jadili hoja yako na siyo kumjadili mtu mwenye mtazamo tofauti na wako.
Jiulize kwa nini JK anapigiwa saluti siku ya maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika (tarehe 9 mwezi wa 12)?
Jibu ni simple tu, Tanganyika ipo, ila kwa sasa ipo dormant, na njia mojawapo ya kuifanya active ni kupitia katiba