Warioba ashitakiwe

Warioba ashitakiwe

labda ungeeleza kwamba nisababu gani zimewafanya jaji kissanga na nyalali wasihukumiwe kwa uhaini ila warioba. kama kigezo cha idadi ya watu waliohojiwa na warioba hakikutimia ni kwanini jK aliikubali ripoti na kuchagua wajumbe kwaajili ya next step? isn't that insanity? tafakari bana. au mwnykiti wenu ndiye Mungu wenu?
 
mkuu siyo viroba ,huyo amelewa sembe la riz1 alilo shindwa kulipeleka beijing akaamua kuwagawia vijakazi wa lumumba kama huyo.
itakuwa wewe ni mmoja wapo kati ya watanzania wachache waliopata bahati ya kutoa maoni ndio maana ikapatikana rasmu ya ajabu kama hii ambayo haitambui sehemu ya mito na maziwa kuwa tunavyo hapa nchini.
 
Kwa hoja yako hii, kwa nini na aliyemteua kuwa mwenyekiti wa tume na kumpa hdidu za rejea zinazoruhusu kuujadili muungano, na ikibidi kuubadilisha ili kuuboresha, naye asishtakiwe?

Kama kuujadili au kubadilisha muundo ni kuuvunja, kwa nini aliyeruhusu kwa kutoa hadidu za rejea, tena hata alivyochangia bungeni katiba kile kilichoitwa hotuba ya ufunguzi, alisema waziwazi kuwa mapendekezo ya Warioba yanawezekana ila tu kuna changamoto, kwa nini humjumuishi katika wanaotakiwa kushtakiwa?
 
mirembe panakufaa sana wewe. nendeni basi katushitakieni sisi sote kwani warioba na wenzake ni wajumbe tu wakuwakilisha kile tunachokitaka.

Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.
 
Mfumo wa serikali mbili unawafaidisha zaidi viongozi wa chama tawala! Na ni ufisadi mtupu!
 
Hakuna nchi yenye mambo ya hovyo kama watanganyika,lawama zangu nazipeleka kwa Nyerere kwa kutunyima elimu,kenya mambo kama haya ya ujinga hayapo sababu wanajielewa kutokana na elimu waliyopewa kwa kasi tangu uhuru.Kama warioba anatuhumiwa kwa hili ninyi wenye akili(CCM) kwa nini msingejifungia ndani mkaandaa katiba kwa niaba ya watanzania kama katiba zilizopita?kama mliyataka maoni yetu wananchi tuliyoyatoa kupitia kwa Warioba kwanini myakate?Nahisi mna lenu jambo na mlaaniwe ILA KUBWA ZAIDI MSHUKURU TANGANYIKA BADO INAWAJINGA WENGI SANA WA KUBURUZA ILA YOTE HAYA YANA MWISHO.
 
Hakuna nchi yenye mambo ya hovyo kama watanganyika,lawama zangu nazipeleka kwa Nyerere kwa kutunyima elimu,kenya mambo kama haya ya ujinga hayapo sababu wanajielewa kutokana na elimu waliyopewa kwa kasi tangu uhuru.Kama warioba anatuhumiwa kwa hili ninyi wenye akili(CCM) kwa nini msingejifungia ndani mkaandaa katiba kwa niaba ya watanzania kama katiba zilizopita?kama mliyataka maoni yetu wananchi tuliyoyatoa kupitia kwa Warioba kwanini myakate?Nahisi mna lenu jambo na mlaaniwe ILA KUBWA ZAIDI MSHUKURU TANGANYIKA BADO INAWAJINGA WENGI SANA WA KUBURUZA ILA YOTE HAYA YANA MWISHO.
wewe utakuwa umelogwa au huenda si mtanzania mtu wa kigali wewe. sisi Watanzanyika tuko timamu na sio wajinga. ujinga upo nchini kwenu.
 
Hakuna nchi yenye mambo ya hovyo kama watanganyika,lawama zangu nazipeleka kwa Nyerere kwa kutunyima elimu,kenya mambo kama haya ya ujinga hayapo sababu wanajielewa kutokana na elimu waliyopewa kwa kasi tangu uhuru.Kama warioba anatuhumiwa kwa hili ninyi wenye akili(CCM) kwa nini msingejifungia ndani mkaandaa katiba kwa niaba ya watanzania kama katiba zilizopita?kama mliyataka maoni yetu wananchi tuliyoyatoa kupitia kwa Warioba kwanini myakate?Nahisi mna lenu jambo na mlaaniwe ILA KUBWA ZAIDI MSHUKURU TANGANYIKA BADO INAWAJINGA WENGI SANA WA KUBURUZA ILA YOTE HAYA YANA MWISHO.
Umeongea pointi ya Msingi, kama CCM wanataka yapite wanayotaka wao tu kulikuwa na haja gani ya kuunda tume kwa gharama kubwa ili kuchukua maoni ya wananchi?, si wangekaa tu kamati kuu ya CCM wakapitisha katiba wanayotaka!!!?, hawa jamaa ni wapuuzi sana, naungana na wewe mkuu, it wont last for eternity, yana mwisho.
 
Maoni ya watanzania wangapi?

Watanzania kwa mujibu wa sensa ya 2012 wanafikia milioni 44.9, wanaoruhusiwa kupiga kura wanfikia milioni 20. Waliotoa maoni katika kuunda rasimu wanafika laki 3.5 kwa misingi hii hata yeye aliyefungua Bunge la Katiba anapohoji idadi ya watu anajikanganya nafikili ingekuwa ana akili kama angesema watanzania hawana haja ya kutengeneza Katiba mpya kwa sababu hawakujitokeza kutoa maoni. Hii maana yake nini! kama mkutano wa kujadili upatikanaji wa maji umeitishwa kukawa na watu sema 200 halafu waliotoa dukuduku lao kuhusu suala hili ni 10 maana yake hawa 190 wanaridhika na hali iliyopo hivyo hskuns haja ya kuleta maji au mradi wowote wa maendeleo kwa tafsiri yako. Naomba tutofautishe kati ya kura ya maoni na kutoa maoni, mbona wabunge wetu wanaenda bungeni kutunga sheria wakiwa karibia 350 kati ya wananchi milioni karibia 45 bila hata kukusanya sahihi za wananchi ili kujua kama ndiyo mtazamo wao lakini tunakubali? ni ujinga ambao umetokana na kuwa na majibu kabla ya swali. Dhamira yako ni kupinga mapendekezo ya Serikali 3 lakini sababu yako inapelekea kujikanganya zaidi kuliko kueleweka.
 
Watanzania kwa mujibu wa sensa ya 2012 wanafikia milioni 44.9, wanaoruhusiwa kupiga kura wanfikia milioni 20. Waliotoa maoni katika kuunda rasimu wanafika laki 3.5 kwa misingi hii hata yeye aliyefungua Bunge la Katiba anapohoji idadi ya watu anajikanganya nafikili ingekuwa ana akili kama angesema watanzania hawana haja ya kutengeneza Katiba mpya kwa sababu hawakujitokeza kutoa maoni. Hii maana yake nini! kama mkutano wa kujadili upatikanaji wa maji umeitishwa kukawa na watu sema 200 halafu waliotoa dukuduku lao kuhusu suala hili ni 10 maana yake hawa 190 wanaridhika na hali iliyopo hivyo hskuns haja ya kuleta maji au mradi wowote wa maendeleo kwa tafsiri yako. Naomba tutofautishe kati ya kura ya maoni na kutoa maoni, mbona wabunge wetu wanaenda bungeni kutunga sheria wakiwa karibia 350 kati ya wananchi milioni karibia 45 bila hata kukusanya sahihi za wananchi ili kujua kama ndiyo mtazamo wao lakini tunakubali? ni ujinga ambao umetokana na kuwa na majibu kabla ya swali. Dhamira yako ni kupinga mapendekezo ya Serikali 3 lakini sababu yako inapelekea kujikanganya zaidi kuliko kueleweka.
kama umeoa au kuolewa basi hiyo ndoa ina matatizo sana.
 
Huwezi elewa rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa na mzee msomi Warioba kwa kuwa unaonyesha kuwa akili yako ni fupi shame on you

Hii Thread haina maana yoyote mana imeandikwa na mtu asiyejua ki2 yani mbulula. JK unaweza kumlinganisha na Warioba. Huyu mzee ndo mzalendo wa kweli kwani kudai Tanganyika ndo usaliti au uhaini msiandike vitu kwa ushabiki wa simba na yanga. Kama unataka ujue ukweli kuwa Tanganyika ilikuwepo soma ule mkataba wa Muungano muulize JK wako kwanini wanauficha hawauweki hadharani. NA WARIOBA NI JEMBE NA NI SISIEM DAMU LAKINI HAKUONYESHA UCHAMA ZAIDI ILA UZALENDO NDO UMEMSUKUMA KUTULETEA RASIMU ILIYO NA MUUNDO WA TANZANIA TUNAYOITAKA. KWANI NYIE WANASISIEM NDO MMEPEWA HATI MILIKIA YA KUWAAMULIA WATANZANIA HATIMA ZAO KINACHOTAKIWA SIO KUTUMIA NGUVU JENGENI HOJA
 
kuelewa nini acha janjajanja sema kuelewa nini? nina wasiwasi hiyo rasimu huenda hujaisoma na ni miongoni mwa watu ambao hawakuojiwa na tume ya warioba ila umelishwa maneno na Warioba sasa anakuendesha kama roboti.:spider:

Roboti ni wewe unaeendeshwa na ccm wanajali maslahi yao bila hata kumfikiria mwananchi,warioba katoa mawazo ya wananchi boya wewe
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.

[h=2]Re: Warioba ashitakiwe[/h]

Upuuzi kama huu ndiyo unaoifanya JF ionekane kijiwe cha wajinga !Mtu mzima anakurupuka kama vile mlevi.

MODS;uhuru wa mawazo usifike mahali ukakosa heshima.

Tabia hii chafu na ya kijinga ya kuwa dhalilisha watu waliopewa dhamana na wananchi na mbaya zaidi mtu moja kushambuliwa na wajinga wasiofikiri sawa haikubaliki kwenye jamii .Ni vizuri Jf ikalinda heshima na Ustaarabu kwenye Michango ya Members.
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.

Kwani sasahivi kuna muungano?? Mbona Zanzibar walishauvunja siku mingi tu.
 
kuelewa nini acha janjajanja sema kuelewa nini? nina wasiwasi hiyo rasimu huenda hujaisoma na ni miongoni mwa watu ambao hawakuojiwa na tume ya warioba ila umelishwa maneno na Warioba sasa anakuendesha kama roboti.:spider:

Acha kutumia
 

Attachments

  • IMG_5601430969291.jpeg
    IMG_5601430969291.jpeg
    12.9 KB · Views: 51
Back
Top Bottom