Warioba ashitakiwe

Warioba ashitakiwe

Wana JF poleni sana kwa kuumizwa na Upumbavu wa Waziwazi lakini hapo alipo nina imani huyo Ushuzi waziwazi anajiharishia na angojee Kuwa chizi sasa
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.
unayepaswa kushitakiwa ni wewe.Uccm wako usituletee na huyo Raisi wako.Anasema tulipaswa kujiunga na OIC ambapo sharti lake ni Nchi kuwa ya Kiislamu.upuuzi gani huu
 
Huwezi elewa rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa na mzee msomi Warioba kwa kuwa unaonyesha kuwa akili yako ni fupi shame on you

Yaani we kizibo kweli.....unaelewa maana ya kufanya sampling? Kiwango cha uwakilishi kikisha kidhi haja na kama hakuna variation utaongezaje namba bila sababu...? Katika sampling kitu kikubwa ni kuangalia variation na uwakilishi wake
 
Huo utakuwa wendawazimu kweli. Amekosea nini ashitakiwe?
 
wewe utakuwa umelogwa au huenda si mtanzania mtu wa kigali wewe. sisi Watanzanyika tuko timamu na sio wajinga. ujinga upo nchini kwenu.

"Huwezi kuacha kutukana sababu amka yako,kula kwako na lala yako inategemea uwepo wa CCM"
 
Hakuna sababu ya kubishana hapa mwenye akili utamjua tu huhitaji hata kukosoa mtu ukweli wote unajulikana.
Jiulize maswali haya machache
  1. Kwa nini watu wana hofu sana na serikali tatu wakati bado hatujaamua kuingia humo?
  2. kwa nini chama tawala wote wawe na msimamo mmoja?
  3. Kwa nini Rais amjibu Warioba badala ya kuzindua bunge na kuliachia liamue?
  4. Kulikuwa na sababu gani kuunda tume halafu muikatae?

well said, haiwezekani watu wote wa ccm wawe na msimamo mmoja, wamelazimisha na hawako huru kuamua, wengne wanapigia debe serikal mbil midomoni tu lakini moyoni wako tofauti ila wanakubliana na fikra za mwenyekiti.
 
Kafara ilianzia kwa Dr. Sengodo Mvungi, nguli wa mambo ya sheria...Kikwete hata kumtaja marehemu hakuthubutu; ukishaonja damu ya binadamu katu huachi! WAZIWAZI, Kikwete akishammaliza na Jaji Sinde Warioba, mjumbe mwingine wa tume atakayefuatia ni nani? Dr. Salim Ahmed Salim? Jaji Agustino Ramadhani? Mzee Butiku? Profesa Mwesigwa Baregu au Profesa Palamagamba Kabudi? Kumbuka kabla ya Kikwete kuokotwa na Raisi Mwinyi huko mitaa ya Lindi, wengi wa hawa tayari walikuwa magwiji kwenye mambo ya siasa na uongozi. Kila mwenye akili anajua Dr. Sengodo Mvungi hangenyamazia hivi vitisho kupitia mipasho isiyo na hadhi hata ya kuingizwa kwenye hansard ya Bunge Maalum La Katiba hivyo ilibidi anyamazishwe milele. Who's next?
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.

Halafu hivi hii Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilikuwa ni ya Warioba au ya Rais wa JMT? Yaani ni nani kati ya hawa wawili aliiunda hii tume?
 
Huyu waziwazi bila nguo ameshawehuka apelekwe mirembe waziwazi Maana akili yake kukaa wazi imeingia kinyesi
some people think going arround throwing insult is a bigdeal.
Minyoo how sure are you that you are not a PILE of human excrement masgueraiding as a human being?
 
Jadili rasimu usimjadili Warioba yeye atapita lakini taifa litabaki.
Kama wewe uliishia mitini bila kutoa maoni yako wapo walojitokeza.
 
kuelewa nini acha janjajanja sema kuelewa nini? nina wasiwasi hiyo rasimu huenda hujaisoma na ni miongoni mwa watu ambao hawakuojiwa na tume ya warioba ila umelishwa maneno na Warioba sasa anakuendesha kama roboti.:spider:

Wakati tume inahoji wananchi muda wote uko kilabuni sasa unalalamika nini? Nyamaza huna hoja. Mngese we.
 
Hakuna sababu ya kubishana hapa mwenye akili utamjua tu huhitaji hata kukosoa mtu ukweli wote unajulikana.
Jiulize maswali haya machache
  1. Kwa nini watu wana hofu sana na serikali tatu wakati bado hatujaamua kuingia humo?
  2. kwa nini chama tawala wote wawe na msimamo mmoja?
  3. Kwa nini Rais amjibu Warioba badala ya kuzindua bunge na kuliachia liamue?
  4. Kulikuwa na sababu gani kuunda tume halafu muikatae?

Point,ccm wanalazimisha kila jambo?
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.

Washitakiwe wazazi wako kwa kuzaa JUHAA
 
Huyu mzee taifa lilimuamini matokeo yake ameisaliti nchi na kuamua kuvunja muungano kwa njia za panya, pale anaposema kwenye katiba eti serikali ya jamhuri (TANZANIA) itakuwa na mamlaka na vyombo vya usalama tu na itajiendesha kupitia michango ya wanachama yaani Tanganyika na Zanzibar. kuweka mawazo mfu eti itaruhusiwa kukopa kutoka mashirika mbalimbali wakati haina sifa zaidi ya kumiliki vifaru na ndege za kivita. wanadai ni mapendekezo ya wananchi wakati najua tukianzia hapa members wa jamiiforum kama sio unafiki waliohojiwa na tume ya Warioba hawazidi asilimia 10, leo hii anaongelea mawazo ya jamaa zake na kuwalisha watanzania uongo! tarafa yangu ya kimwani hukufika kabisa!!!!!:nod: Sasa huyu mzee na wapambe wake kwa nini wasishitakiwe kwa uhaini wa kutaka kupindua nchi na kuvunja muungano kupitia upotoshaji huu?
TANZANIA NCHI YANGU NAKUPENDA POPOTE NTAKUTETEA WAZIWAZI BILA KUPEPESA MACHO WALA KIJIFICHA.

Inaisha wiki sasa hamna hata mtu mmoja ambae ameweza japo kwa 10% kujibu HOJA za Jaji Warioba!
 
Jamani nikitamka japo `nyamonenke' kwa mtoa mada itakuwa ni kama first aid kwangu dhidi ya hii sumu aliyonirisha !
 
Back
Top Bottom