Ndiyo wanyakyusa hao hao
Aisee,wanawake wa kinyakyusa huwezi kuoa bila sherehe,utakuwa unatengeneza ugomvi kuanzia ngazi ya familia hadi ukoo. Ni watu wa kufuatiliana sana kimaisha,namshukuru Mungu niliponea chupu chupu.
Ndiyo wanyakyusa hao hao
Aisee,wanawake wa kinyakyusa huwezi kuoa bila sherehe,utakuwa unatengeneza ugomvi kuanzia ngazi ya familia hadi ukoo. Ni watu wa kufuatiliana sana kimaisha,namshukuru Mungu niliponea chupu chupu.
Uliponea chupu chupu kuuwawa au?
Acha niishie hapo,itoshe kusema tu wanyakyusa wanapaswa kuoana wenyewe kwa wenyewe.
Unazingua wewe mrombo...jibu swali.
Jimbo lipi tena jamani? Uchaguzi si ulishapita🤔kwa hiyo jimbo lipo wazi..........
Mhhhhh usitufanyie hivyo watangaza nia..........Jimbo lipi tena jamani? Uchaguzi si ulishapita🤔
Mimi nimesema ukweli babe Trouble, napenda tusherehe ila iwe simple tu ila hapo kwenye shela 😛 harusi yenyewe mara moja bana acha tu tufanye😀Hapa wanajifanya hawapendi shughuli ilaaa... Wadada ukizungumzia ndoa basi kichwani inakuja pcha ya shela la bei, matarumbeta, ukumbi uliopambwa vizuri rangi ya sare aipendayo.
Subiri 2025 utapita bila kupingwa mkuuMhhhhh usitufanyie hivyo watangaza nia..........
Any matured lady, anayejua majukumu ni nini hawezi kupenda sherehe. Wapenda sherehe ni watu wa show off, yupo radhi atumie iphone 12 wakat anakaa room ya 50k per month ili watu wamuone. But a matured lady atatumia Nokia ya tochi huku akitimiza majukumu muhimu kama kipato chake hakiruhusu!Leo humu kila mwanamke hapendi sherehe. Tehe teh.
sidhani kama unanifikia wewe, mimi nacheka hadi naudhi. Napenda ujinga hatari. Mwanaume asiyependa kucheka simpendihivi Kuna mtu huwa anapenda kucheka Kama Mimi humu !?
sherehe sio ndoa cha muhimu ni kufunga ndo takatifuWote tunafahamu kuwa suala la ndoa ni jambo la heshima na baraka katika misingi ya kijamii na kiimani.
Swala la kufanya ndoa kama sherehe kubwa liko katika maamuzi na mapenzi ya wanandoa wenyewe japo linaweza chagizwa na wazazi ama walezi pia.
Leo nataka nipate tathmini kutoka kwa wachumba esp. wadada je, wewe upo tayari kufunga ndoa bila kuinvolve sherehe?
are you sure?Astaghafirullah X 3, hakuna ndoa inayofungwa msikitini
Aseeesidhani kama unanifikia wewe, mimi nacheka hadi naudhi. Napenda ujinga hatari. Mwanaume asiyependa kucheka simpendi
Umeadimika.Mimi nimesema ukweli babe Trouble, napenda tusherehe ila iwe simple tu ila hapo kwenye shela harusi yenyewe mara moja bana acha tu tufanye
Mkuu hii ID yako nimeipenda sn.Uliwaza nn hasa?Umeadimika.