Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

Waraka wangu kwa JWTZ, Watanzania

sijui kama una ujasiri wa kumwitw Manyerere mjinga !!! Labda kana huishi TZ!!!
Manyerere amekaa ikulu ya Nyerere miaka 20!!

We vipi? Kukaa ikulu kunamuondoleaje mtu ujinga? Hebu tuambie mchango wa Manyerere katika ujenzi wa taifa la Tanzania! Hawa waandishi waliojaa unafiki na kujikomba kwa akina Kikwete?
 
Nadhani wewe utakuwa sio mtanzania na kama nia mtanzania basi utakuwa ni mwehu.

hii dhana ya kuwavuwa utanzania wanaopinga vita na muelekeo wa mh kikwete kuhusu wanyarwanda mnaitowa wapi? mmekuwa na uzalendo wa ovyo kabisa. jadili hoja na mtupatie sababu za kutushawishi kwanini tuingie vitani? je hii sio tamthilia ya uzushi ili tuache kujadili mambo na matatizo yetu?
 
Bado naamini kupitia Tanzania ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati kutakuwa na amani, kuna watu watapigwa au kuna watu watatulizwa kwa ukomavu wa diplomasia tuliojaliwa, Naifananisha Tanzania sawa na Nabii yuko mmoja katika waovu wengi Ushindi siku zote hauzuiliki wala haukwepeki.
 
hivi hakuna namna ya kuwaondoa watusi humu jf????????????????????? ban!!!!!!!!!!!!

Acha ujinga wako wewe, una picha ya mtusi humu? Halafu inaonekana wewe ni kilaza tu na hujui kuwa kuna watutsi ambao ni watanzania na wamejaa serikalini? Badala ya kufikiri namna ya kujadili namna ya kuondoa matatizo yanayolikabili taifa wewe unawaza watutsi tu!!
 
Bado naamini kupitia Tanzania ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati kutakuwa na amani, kuna watu watapigwa au kuna watu watatulizwa kwa ukomavu wa diplomasia tuliojaliwa, Naifananisha Tanzania sawa na Nabii yuko mmoja katika waovu wengi Ushindi siku zote hauzuiliki wala haukwepeki.

chuki

usichangie hoja kama lilivyo jina lako kichukichuki, kupitia tanzania ya mwalimu Nyerere haswa ukombozi wa mataifa mbalimbali ulipatikana. Kupitia ccm hii na kikwete huyu Tanzania imepoteza karibu heshima na ubora wa ushawishi kimataifa.

Hebu tuambieni ni sababu gani mhimu kabisa na za lazima kuiingiza Tanzania vitani? nikweli kunahiyo vita au kiinimacho chenu wana wa kubuluzwa na matukio na kuelekea hukohuko hatamashimoni mkiiacha njia sahihi. Uzalendo wenu upokuwateketeza wanyarwanda na kuwakomboa wakongomani mbona watanzania wanateketea kwa dawa za kulevya na hatuna afya wala elimu bora mmekaa kimya? Haya mauwaji ya mapadri, mashehe kumwagiwa tindikali, uchomaji wa makanisa nk mbona mpo kimya wazalendo njaa nyinyi.
 
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg

Haya ndiyo matatizo ambayo wababaishaji na waandishi wanafiki kama Manyerere wanapaswa kumbana KIKWETE ashughulike nayo siyo mnatuimbia huruma kwa wacongo wakati dada, mama na wake zenu wanalala MZUNGU WA NNE hosptailini! NI UNAFIKI ULIOJE?
 
Hii ni makala ya kichochezi. Manyerere hapa anaonyesha uzalendo uliopotoka (misplaced patriotism).

Tofauti kati ya Tanzania na Rwanda bado kabisa hazijafikia hata chembe ya hatua ya kuzilazimu nchi hizi kwenda vitani. Hivi endapo ingekuwa nchi zikiwa na tofauti kidogo tu kati yao basi inabidi ziende vitani hii dunia ingekalika kweli?

Kama watu wote wangekuwa na mawazo kama ya Manyerere basi saa hizi China ingekuwa inapigana na Japan (mgogoro kuhusu visiwa vya Senkaku au Diaoyu), India ingekuwa inapigana na Pakistan (mgogoro kuhusu eneo la Kashmir), Urusi ingekuwa inapigana na Japan (mgogoro kuhusu visiwa vya Kuril), Kenya ingekuwa inapigana na Uganda (suala la kisiwa cha Migingo), Marekani ingekuwa inapigana na Urusi (suala la Edward Snowden), Ethiopia ingekuwa inapigana na Misri (mgogoro kuhusu maji ya Mto Nile)….orodha ni ndefu.

Sitashangaa Manyerere, kutokana na uchungu alionao kwa Tanzania, akishauri tupigane na Rwanda na Malawi kwa wakati mmoja. Haya mambo ya vita yamepitwa na wakati. Tulipigana na Uganda zaidi ya miaka 30 iliyopita na athari zake tunaziona hadi leo. Anachofanya Paul Kagame ni kupiga kelele tu na sidhani kama makelele yake ni tishio kwa Tanzania kwa namna yoyote ile.

Manyerere hana uchungu wowote na Tanzania bali ni mnafiki fulani mwenye lengo la kujikomba kwa watawala wetu! Tuna matatizo kibao yanatukabili kama taifa mbona sijamsikia akikomaa nayo?
 
Hapa hakuna cdm wala ccm,hapa ni Pk bin mende,kama ni mjomba ako tutawanyoa..

We wadanganye wachache mimi huwezi niambia ujinga eti hapa ni utanzania utanzia au ujinga kushobokea wakongomani mkiacha vijana, mama, baba na watanznia wenzetu wanamatatizo mengi wakifa na kuteketea.

Sasa mnajifanya eti hakuna cdm au sijuwi nini ilikupalalaizi mambo mpate uungwaji mkono? Cdm inafaa waendeleze mijadala yao kutetea watanzania ili huu upuuzi na propaganda za kishushu wawaachie nyinyi wa Ikulu na akina Ighondu mnaobabakia hata mambo yasiyo na mashiko kutudhalilisha watanzania.
 
Aisee...kumbe siye tunawasaidia wacheza ndombolo? siyo binadamu hawa lakini?
So kwakuwa wanacheza ndombolo hawatakiwi kusaidiwa?
Kenyata kule somalia anafanya nini?
LoL...Masikini "mhaya" mjinga.



Tumeshamaliza kujisaidia matatizo yetu?
 
Hata ramani ya choo na kiwanja tupia picha hapo serekali itakujengea...,wew kama ukiguswa sanvu unacheka serekali haikubali..

Eti unaumwa na uzalendo kwa hiyo hii picha inawakilisha tundu la choo? nakuuliza hawa watanzania wanateseka hivi mmewatatulia shida zao hata mruke mipaka mpaka kongo DRC? Njaa zitakuuweni enyi walamba viatu vya magogoni.

quote_icon.png
By CRITICAL MIND
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
 
Vikundi vyote vinatakiwa kunyang'anywa slaa,wameanza na hao wabishi..

Kabla ya kuvuka mipaka, hawa wanauwa mapadri, kumwagia tindikalia mashekhe na kutesa akinla kibanda, ulimboka, kulipuwa mabomu na kuuwa wanzania wasio na hatia nk mmefikia wapi?
 
Bwana Rutajumbukirwa nadhani utafiti ulioufanya si sahihi maana mwenyewe ni mwenyeji wa BUKOBA na kilichosemwa ni sahihi
 
Watu wamefukuzwa kwenye maeneo yao ya asili na kuchomewa nyumba zao na wengine kuuawa na hao watoto wa KAGAME. Ni wazi.
 
Serekali ipo kwa ajili ya kuwezesha watu wake katika maendeleo na pia kulinda taifa na watu wake na pia kutoa msaada pale inapobidi,wewe usiejishuhulisha unasubiri ufanyiwe kila kitu hata choo subir ujengewe

we zumbukuku kweli, akina mama wanateseka, wazee wanateseka, watanzania wakawaida wanateseka halafu unasema choo! nimekuuliza hiyo picha inawakilisha tundu la choo? na je mmemaliza matatizo hayo hata mruke na kuvuka mipaka kuwasaidia wakongomani? Njaa itakuuwa wewe, acha kutuletea propaganda za kipuuzi hapa eti vita unafahamu madhara ya vita wewe? umekaa kuandika ujinga hapo eti mzalendo uzalendogani hata vitanda vimetushinda sembuse madawa?
 
Bwana Rutajumbukirwa nadhani utafiti ulioufanya si sahihi maana mwenyewe ni mwenyeji wa BUKOBA na kilichosemwa ni sahihi
 
Watu wamefukuzwa kwenye maeneo yao ya asili na kuchomewa nyumba zao na wengine kuuawa na hao watoto wa KAGAME. Ni wazi.

hizi ndizo naziita propaganda za watu wajingawajinga. Walemapadri kule zanzibar wapigwa risasi na wanyarwanda? wale mashehe na tindikali Arusha na zanzibar na mmoja kuuliwa zanziba ilikuwa wanyarwanda hebu tusaidie hapa ilitusadiki kwamba hata kule bukoba sio watanzania wanaua wenzao ila wanyarwanda!
 
THANKS Mawaidha safi kweli ila vita na huyu mlafi naomba tusiwe na mawazo haya kwa sasa itadidimiza uchumi wetu kupindukia la msingi ni toforget about kenya,uganda and rwanda to bind together with drc and burundi remember tz and drc is almost 1/4 of africa continent but what is need after push away m23 is UN or whatever to extend special powerfull military base ni estern drc and southern lets bind into congo and ban kenya/uganda/rwanda from entering their goods in our markets but if they want buy from us lets them buy 'cause we export
 
Wananchi tuna maisha magumu sana hatuitaji vita na mleta mada umeongea vita vya msingi lakini unakosea unapo sema tumalizie kigal ujue majeshi wengi wanakufa huko bila sisi kujua coz vita havichagui huyu mganda au mtz au mkenye kikiwaka sote tutakwenda na maji mpaka mkuu wa nchi ataingia mitini usione hao mapolis wetu wanakuwana mikwala na kuzunguka na magari barabarani vita vikija tz wote watakimbia hata wewe huto post kitu JF
hapo umenena mkuu
 
Tulia hata kama unataga tutakupeleka jkt tukuvue huo uraia,unafikiri unapiga kinanda hapa tutakata hivyo vidole,wewe kama ni mzima alaf unaombaomba tulia tutakupa kazi...

Nadhani umekuwa zuzu 100% unaulizwa matatizo ya afya kwa watanzania mmeyatatua hata mruke mipaka kuenda DRC hilo hapo juu ndo jibu? hebu lisome ujione ulivyo mtupu! acheni kushobokea mambo ya kinafiki huna hoja yoyote nakuonea huruma yote unayoulizwa huna majibu umebaki mipasho demeti.
 
Back
Top Bottom