The more you hate the more you love...ngoja nicheki na Bishanga atakuwa anahitaji vitu hivi vifuatavyo...Senene, Rubisi, Mwani, Omulamba...hapa lazima aniachie Koku...:eyebrows:
The more you hate the more you love...ngoja nicheki na Bishanga atakuwa anahitaji vitu hivi vifuatavyo...Senene, Rubisi, Mwani, Omulamba...hapa lazima aniachie Koku...:eyebrows:
msalie Mtume Kongosho,mtoto wa mwenzio ni mwanao pia,hivi kabebi kako unaweza kumpa kiwembe TF?Mie nimeisifia, si nimesema napedna wa Mujini.
Ni nzuri sana akchwali unamfaa sana Koku maana umeshakuwa CEO.
Au Bishanga anataka mwanae apate vi-clerk vya mapenzi? Vitampasua kichwa bure maana vitaanza kwenda nje kujifunza vikiwa ndoani bora huyu wetu tunamjua, tumlea mwenyewe, tumemuona wenyewe anapata U-CEO.
TFoa kwa Koku
akipokea hiyo 'hongo' yako, wewe na yeye nawashtaki kwa 'jamuhuri'
mmeghilibu mtoto, mmemnyima haki ya elimu, na mengine ntayafremu nihakikishe mnatiwa hatiani
Khaaaaa!!! Koku haendi tena Form 5 nampeleka straight Stanford au Harvard University.....oa:eyebrows:
:lol::lol:..Shauri zao ngoja Koku aje awagomee nyumbani ndipo watakaposhangaa chezeiyaaa........
msalie Mtume Kongosho,mtoto wa mwenzio ni mwanao pia,hivi kabebi kako unaweza kumpa kiwembe TF?
Wanajamvi, nisaidieni hapa; huu ni waraka au wosia?
ndo manake,au umeelewaje Kaizer?
msalie Mtume Kongosho,mtoto wa mwenzio ni mwanao pia,hivi kabebi kako unaweza kumpa kiwembe TF?
Nakunongóneza siri yako: Wanasoma ili waolewe na wajanja. teh teh , sasa shule ya nini kishampata mjanja
Ona sasa unavojigamba...
nilianza kufikiria kukusamehe ila nimeahirisha
Yaani hivi kweli Bishanga yuko radhi kumpeleka Koku kwingine kuliko kuanza na mimi wa karibu....but wait unajua Bishanga huu muda Koku aliomaliza shule ingekuwa vizuri nikawa naonana nae kumpa nasaha mbili tatu...i tell you from the bottom of my heart, hands, fingers and legs..you'll see the positive change in herTwangu twenyewe tujanja tunatafuta akina Koku tu
Ila tumesoma mpaka Makerere
Yaani hivi kweli Bishanga yuko radhi kumpeleka Koku kwingine kuliko kuanza na mimi wa karibu....but wait unajua Bishanga huu muda Koku aliomaliza shule ingekuwa vizuri nikawa naonana nae kumpa nasaha mbili tatu...i tell you from the bottom of my heart, hands, fingers and legs..you'll see the positive change in her
ndugu yangu si mpaka aoelewe,wanetu hawa wa leo si unajua mawazo yao yalivyo kuhusu ndoa,acha nimweleze tu na mapema.duuuh.......!!!!!! bishanga wewe ni kibhoko hakyamungu, haya mausia si ungesubiri hadi siku ya harusi yake ndo ukampa, sasa siku hiyo ya harusi utasema nini wakati umeshasema yoteeeeee.............????
Anyway nakuomba ni kopi na kujipesitia nami nimtunzie binti yangu shanice anayetimiza mwaka mmoja leo tangu kuzaliwa ili siku ya harusi yake miaka kadhaa ijayo nimsomee................!!!!